Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

Wapi nimesapoti watoe bikira?

Ingependeza wewe ukachukua jukumu la kuwashauri wanaume waache kutoboa bikira za wanawake wasio wake zao.
Maamuzi wa kutoa bikra yapo kwa mwanamke mwenyewe kama akiwa na msimamo sizani kutakuwa na mwanaume mwenye uwezo wakumbadilisha mtazamo na msimamo unasababishwa na malezi ya wazazi wake
 
Wababa mjue kwamba kuna bikra aina mbili. Pwani waeza pata bikra fulani ingine ikawa mtihani. Kwa bara pia unaweza pata moja upande mwingine ikawa mtihani.
UCHAGUZI NI WENU KWENDA BARA AU VISIWANI
Hebu fafanua
 
Mm binafsi niligoma kuoa mwanamke ambae sio bikra nimempata na mwez wa 12 ndoa yetu siwez oa mwanamke ambae muda wote anamkumbuka jamaa aliyemtoa bikra
Kabra ya kumpata huyo bikra ulikuwa ushapita na wangapi mkuu au ni wa ngapi uliwatoa bikra na hukuwaoa na zaidi ulijua kabisa nafsini mwako hukuwa na nia ya kuwaoa?
 
Mm binafsi niligoma kuoa mwanamke ambae sio bikra nimempata na mwez wa 12 ndoa yetu siwez oa mwanamke ambae muda wote anamkumbuka jamaa aliyemtoa bikra
Kabra ya kumpata huyo bikra ulikuwa ushapita na wangapi mkuu au ni wa ngapi uliwatoa bikra na hukuwaoa na zaidi ulijua kabisa nafsini mwako hukuwa na nia ya kuwaoa?
 
Ni kweli. Binafsi ninachokijua hao Bikra siku bikra ikitoka huwa watulivu sana, lakini punde huanza kutamani kujua tofauti ya kujamiiana na wengine tofauti na aliemtoa bikra.

Oa mwanamke alieamulia kutulia , mwanamke hatulizwi.
 
Baadae kuja kuongea na demu akasema alipewa dawa ya kufunga na mama yake kumfanya awe na utepe tena.

Mumewe mpaka leo anaamini kambikiri mkewe kumbe demu keshabikiriwa toka kinda. Hata mimi sikumkuta na bikra.
Dùh,
Ila nasikia hata Kariakoo kuna dawa za Wachina za kutengeneza bikra. Bibi yeyote anaweza kuwa sealed akitaka
 
Kuna msemo... 'Harusi imesema' kama akikutwa na bikra siku ya harusi.

Yaani akibikiriwa na damu zitiririkie kwenye shuka maalumu lililoandaliwa mahsusi, basi ni vigelegele na nderemo!
Kumbe tena kuna bikra feki!
 
Ni wanaume wengi siku hizi kujawa na uwoga juu ya wanawake, ile hofu ya wanawake kutakeover everything ndo tatizo...

Zamani ilikua ni ishu ya uaminifu na kujitunza ila siku hizi ni hofu tu ya wanaume. Anahisi kuoa bikra kutapunguza ile hofu aliyonayo kua mkewe kuna siku atakua juu yake, ama mkewe kuna mtu atamuheshimu zaidi yake. Basi njia mojawapo ndo hiyo walau awe amembikiri, walau ajivunue hilo tu.

It's not guaranteed kua mke bikra ni muaminifu. Mbaya zaidi huu utandawazi bikra zinanunuliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…