YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Hehehehe[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Jirani changamka tushone sare [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehehe[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Jirani si unajijua lakini...ngoja nimvute taratibu taratibu 😃😃😃😂😂Jirani changamka tushone sare [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
nimepigika sana kufika hapa nilipo leo...na niliwahi kuachwa kwa sababu ya umasikini wangu, leo nimejipata iweje nichukue mwanamke hohehae anaenuka changamoto na matatizo?Hovyo [emoji57]
Ukwel mtupu.Mimi sioni shida ya umasikini wake ila tatizo linakuja kwenye familia yake kujiweka mabegani mwako.
Unamuoa yeye na familia yake nzima, uwasomeshe wadogo zake, watoto wa ndgu zake, uwajengee wazazi wake nk hilo ndo janga ila kama ni yeye tu mbona unammudu vizuri.
Uko sahihi mkuu.Mimi sioni shida ya umasikini wake ila tatizo linakuja kwenye familia yake kujiweka mabegani mwako.
Unamuoa yeye na familia yake nzima, uwasomeshe wadogo zake, watoto wa ndgu zake, uwajengee wazazi wake nk hilo ndo janga ila kama ni yeye tu mbona unammudu vizuri.
Jirani si unajijua lakini...ngoja nimvute taratibu taratibu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23]
nimepigika sana kufika hapa nilipo leo...na niliwahi kuachwa kwa sababu ya umasikini wangu, leo nimejipata iweje nichukue mwanamke hohehae anaenuka changamoto na matatizo?
Nishakwambia huu mwaka hauishi,, siwezi kuwaangusha majirani zangu 😂😂Mvute tucheze mapiano jirani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na akija, unaanza kuhudumia familia tatu(kwenu, kwao na hapo kwako).mwanamke hana kila kitu yaani pesa hana shule yenyewe hana.. ifikie muda na sisi tuweke vigezo vigumu
Nishakwambia huu mwaka hauishi,, siwezi kuwaangusha majirani zangu [emoji23][emoji23]
nakaziaNishakwambia huu mwaka hauishi,, siwezi kuwaangusha majirani zangu 😂😂
Kwahiyo sisi masikini watoto wetu wasiolewe?
Sawasawa,, mjiandae tu michango ya harusi 😊😎nakazia
Ndio unaoa mkuu, kaa na wazee wakupe abcmwanamke hana kila kitu yaani pesa hana shule yenyewe hana.. ifikie muda na sisi tuweke vigezo vigumu
Tatizo huwezi kujua siku ukimuwezesha tabia yake halisi ni ipi.Wakuu hii ishu ya kumuowa mwanamke masikini asiekuwa na kila kitu mnaichukuliaje, kuna wanaume wengine kama mimi kigezo cha sura na tako wala sikipi uzito.
Mimi ni mpambanaji na kiuchumi walau niko vizuri inakuwaje nioe mwanamke masikini? yaani siku anakuja kwangu anakuja na kabegi kake ka nguo tu.
Wakuu hii ishu ya kumuowa mwanamke masikini asiekuwa na kila kitu mnaichukuliaje, kuna wanaume wengine kama mimi kigezo cha sura na tako wala sikipi uzito.
Mimi ni mpambanaji na kiuchumi walau niko vizuri inakuwaje nioe mwanamke masikini? yaani siku anakuja kwangu anakuja na kabegi kake ka nguo tum
We jamaa, mwanamke kazi yake ni kuzaa kwa uchungu ila wewe kula kwa jasho. Yaani hapa unataka ale kwa jasho na kuzaa kwa uchungu kweli?Wakuu hii ishu ya kumuowa mwanamke masikini asiekuwa na kila kitu mnaichukuliaje, kuna wanaume wengine kama mimi kigezo cha sura na tako wala sikipi uzito.
Mimi ni mpambanaji na kiuchumi walau niko vizuri inakuwaje nioe mwanamke masikini? yaani siku anakuja kwangu anakuja na kabegi kake ka nguo tu.