Imalamawazo
JF-Expert Member
- Jul 27, 2021
- 1,343
- 3,269
Kuoa ni kuhamisha mali kutoka kwa mwanaume kwenda kwa mwanamke. Hii haijalishi mwanamke ni tajiri au ni maskani, lazima kuna transfer of properties!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke maskini mkimbie kama kama na wewe ni maskini.. ila kama weye poa vuta tu jikoWakuu hii ishu ya kumuowa mwanamke masikini asiekuwa na kila kitu mnaichukuliaje, kuna wanaume wengine kama mimi kigezo cha sura na tako wala sikipi uzito.
Mimi ni mpambanaji na kiuchumi walau niko vizuri inakuwaje nioe mwanamke masikini? yaani siku anakuja kwangu anakuja na kabegi kake ka nguo tu.
Sawasawa nimekupatapata Mkuu 😀Huyo naona hatuendani... we jiandae tu😃😃😃
Vizuri kama umenipata 😊🤗Sawasawa nimekupatapata Mkuu 😀
Niko na mawazo yako, ila naongezea uelewa hapo.Mimi sioni shida ya umasikini wake ila tatizo linakuja kwenye familia yake kujiweka mabegani mwako.
Unamuoa yeye na familia yake nzima, uwasomeshe wadogo zake, watoto wa ndgu zake, uwajengee wazazi wake nk hilo ndo janga ila kama ni yeye tu mbona unammudu vizuri.
mwanamke hana kila kitu yaani pesa hana shule yenyewe hana.. ifikie muda na sisi tuweke vigezo vigumu
yeye anakuja na uchi wake na wewe si una uchi mkuuHahaha ww fala sana
Wengi wetu huingia kwenye ndoa kwa kigezo kwamba umri umewatupa kwahyo wanaingia kwa mkumbo ilhali hamna mapenzi ya dhati baina yao........wengi wetu huwa tunadhani vigezo vibayan ktk kuchagua mwanamke ni shepu na sura tu, lakini pia wengi wetu tunadhani kwamba kuoa mwenye kazi au elimu kubwa ndo ujanja, wengi wetu huwa tunadhani taasisi ya ndoa inaendeshwa kidini ndio maana ndo upendo ndani ya ndoa umekufa kwa sababu ya kuchaguana kwa itikadi za kidni, wengi wetu huwa tunadhani ndoa ni taasisi ya kiuchumi ndo maana upendo haupo tena coz watu wanachagua business partner badala ya love partner, wengi wetu hudhani.......endeleza comment hii kwa kuanza na neno wengi wetu hudhani.........
Unamjuaje kwamba huyu amefanana na MimiOa wa kufanana na wewe hao maskini achia maskini wenzao.
Mwenye nacho hajifichi. Utamjua tu kadri siku zinavyosonga.Unamjuaje kwamba huyu amefanana na Mimi
.......ni kweli bro, tunapaswa kuelewa hakuna muda sahihi wa kuoa ila kuna mwenzi sahihi wa kuoa, atukuja lini ktk maisha yako hilo ni la Mungu, na ndo huwa wakati sahihi......Wengi wetu huingia kwenye ndoa kwa kigezo kwamba umri umewatupa kwahyo wanaingia kwa mkumbo ilhali hamna mapenzi ya dhati baina yao
Kwa hio wote mnatakiwa muwe nacho au unamaanisha mfananeje nikiwa na Gari na wewe utembelee gari la kwako tukutane kwenye five star hotelMwenye nacho hajifichi. Utamjua tu kadri siku zinavyosonga.