Kuoa mwanamke masikini

Kuoa mwanamke masikini

Wakuu hii ishu ya kumuowa mwanamke masikini asiekuwa na kila kitu mnaichukuliaje, kuna wanaume wengine kama mimi kigezo cha sura na tako wala sikipi uzito.

Mimi ni mpambanaji na kiuchumi walau niko vizuri inakuwaje nioe mwanamke masikini? yaani siku anakuja kwangu anakuja na kabegi kake ka nguo tu.
Mwanaume atakula kwa jasho hii ndo kanuni if you wish to go against it,you have crossed a red line
 
Mwanamke akiwa na ;

1: Tako
2: Rangi ya andazi
3: Macho ya kurembua
4: Mguu na pale kwenye joint za goti kwa nyuma kueleweke
5:nywele za asili, ( siyo kipilipili)
6:kipochi manyoya chenye utelezi wa kutosha, joto na kufinyia kwa ndani
7: Tabia njema

Huo ni utajiri tosha tofauti na hapo achana nae atakurudisha nyuma
eeeee kuna jela , noma sana , mimi nachojua pesa karatasi
 
Uchumi ndio umetufikisha hapa… watu tunaonana mizigo….

Ukweli ni kwamba japokua Una hela sasa hivi mtoa mada ulikulia tabu au ushawahi ku struggle na pesa ujanani, kuna kipindi ulikua uncertain na uchumi wako, that’s why Unaona uwe na uhusiano na mwanamke anaye offer security, pole sana insecurities zako zitakuletea mahusiano yasio na furaha au utabaki mwenyewe baada ya mahusiano kuvunjika, leo Unaoa mwanamke ana kazi/biashara nzuri akifukuzwa kazini, biashara ikifa ndoa inakufa!!! Ni chaguo lako lakini
 
Unasemaje kuhusu huyu..
dss.jpg
 
utaoaje maskini wakati hakuna mwanamke anayependa kuolewa na maskini, anakuja na kibegi baada ya miaka mitano ana anzisha visa mgawane mali,kuoa mwanamke maskini ni uzuzu
 
Kuna mwanamke ni masikini mwenye akili (mawazo na maono ya kimaendeleo) ila TU kakoswa support.
Mm upande wangu nitaoa anaenipa aman na fuhara swala la utajiri au umasikini sio kipaumbele sana
Wanaume wengi tunahitaji amani na upendo nyumbani,mimi nikitoka kazini nawahi nyumbani maana wife ananipa amani na furaha kuliko kazini nikiwa nyumbani nasahau dunia nyingine hahahah
 
Kwahiyo wewe una amini katika 50/50???
naipinga 50/50 .kwa sababu unamuoa fukara anaemiliki begi la lipstick tu baadae anakusumbua,wakati umehaso sana kufika mahali ulipo.ambapo nimekosoa nihapo ulipo dai mwanaume atakula kwa jasho.ndomana nikauliza andiko la 50/50 limetoka kwenye kitabu gani?..maana mwanamke masikini ni unyonyaji,unahangaika we ye anafika kula jasho lako hiyo haikubaliki ndugu
 
Wakuu hii ishu ya kumuowa mwanamke masikini asiekuwa na kila kitu mnaichukuliaje, kuna wanaume wengine kama mimi kigezo cha sura na tako wala sikipi uzito.

Mimi ni mpambanaji na kiuchumi walau niko vizuri inakuwaje nioe mwanamke masikini? yaani siku anakuja kwangu anakuja na kabegi kake ka nguo tu.
Oa tu chief ila atapojua mji apo ndipo utaelewa kwanini mbuzi alikua na mkia mfupi
 
naipinga 50/50 .kwa sababu unamuoa fukara anaemiliki begi la lipstick tu baadae anakusumbua,wakati umehaso sana kufika mahali ulipo.ambapo nimekosoa nihapo ulipo dai mwanaume atakula kwa jasho.ndomana nikauliza andiko la 50/50 limetoka kwenye kitabu gani?..maana mwanamke masikini ni unyonyaji,unahangaika we ye anafika kula jasho lako hiyo haikubaliki ndugu
Kwaiyo unahis ukioa tajiri siku mkiachana mtagawana had Mali zake ulizomkuta nazo? Ukiona tajiri jua awezi kosa mbinu ya kulinda Mali zake.
 
Back
Top Bottom