Kuoa mwanamke masikini

Kuoa mwanamke masikini

naipinga 50/50 .kwa sababu unamuoa fukara anaemiliki begi la lipstick tu baadae anakusumbua,wakati umehaso sana kufika mahali ulipo.ambapo nimekosoa nihapo ulipo dai mwanaume atakula kwa jasho.ndomana nikauliza andiko la 50/50 limetoka kwenye kitabu gani?..maana mwanamke masikini ni unyonyaji,unahangaika we ye anafika kula jasho lako hiyo haikubaliki ndugu
Ngoja siku akiingia ndio atajua anaitaji ambacho alikuwa hakifikirii
 
Kwaiyo unahis ukioa tajiri siku mkiachana mtagawana had Mali zake ulizomkuta nazo? Ukiona tajiri jua awezi kosa mbinu ya kulinda Mali zake.
freshi ndo kila mtu atatumia zake,umasikini kwanza nilaana,ukioa masikini lazima kizazi chako kitarithi chembe chembe za kimasikini kutoka kwenye uko wa mama yao
 
Ubaya pisi masikini na zenye vipengele ndo nyingi kinoma bongo me cha kukushauri mkuu gongelea msumari hapohapo hadi upate pisi yenye inajiweza... Hizi habari za atakuheshimu akiwa hajiwewezi zipuuze kwani heshima ya mtu inatokana na malezi... PISI ZENYE VIPENGELE ZIKIMBIE KAMA UKOMA
 
Ubaya pisi masikini na zenye vipengele ndo nyingi kinoma bongo me cha kukushauri mkuu gongelea msumari hapohapo hadi upate pisi yenye inajiweza... Hizi habari za atakuheshimu akiwa hajiwewezi zipuuze kwani heshima ya mtu inatokana na malezi... PISI ZENYE VIPENGELE ZIKIMBIE KAMA UKOMA
Pisi njaa kali sio pisi kali
 
naipinga 50/50 .kwa sababu unamuoa fukara anaemiliki begi la lipstick tu baadae anakusumbua,wakati umehaso sana kufika mahali ulipo.ambapo nimekosoa nihapo ulipo dai mwanaume atakula kwa jasho.ndomana nikauliza andiko la 50/50 limetoka kwenye kitabu gani?..maana mwanamke masikini ni unyonyaji,unahangaika we ye anafika kula jasho lako hiyo haikubaliki ndugu
Bado haujakua kijana una mengi ya kujitunza
 
Ubaya pisi masikini na zenye vipengele ndo nyingi kinoma bongo me cha kukushauri mkuu gongelea msumari hapohapo hadi upate pisi yenye inajiweza... Hizi habari za atakuheshimu akiwa hajiwewezi zipuuze kwani heshima ya mtu inatokana na malezi... PISI ZENYE VIPENGELE ZIKIMBIE KAMA UKOMA
Sawa amekusikia vipi ulishaacha ule mchezo wako wa kukaba nyoka?
 
Pisi njaa kali sio pisi kali
Unakutana na toto la namna hii, hana kazi; utakuwa na ujasiri wa kumkataa..
leo3.jpg
 
Roho ya ubinafsi inakunyemelea.

Kama una mapenzi ya dhati kwa huyo mwanamke hilo sio swala la kufikiria.

Kuna kila dalili unaogopa majukumu ya ndoa.Na huo ni udhaifu kihisia kwa mwanaume.
 
Uchumi ndio umetufikisha hapa… watu tunaonana mizigo….

Ukweli ni kwamba japokua Una hela sasa hivi mtoa mada ulikulia tabu au ushawahi ku struggle na pesa ujanani, kuna kipindi ulikua uncertain na uchumi wako, that’s why Unaona uwe na uhusiano na mwanamke anaye offer security, pole sana insecurities zako zitakuletea mahusiano yasio na furaha au utabaki mwenyewe baada ya mahusiano kuvunjika, leo Unaoa mwanamke ana kazi/biashara nzuri akifukuzwa kazini, biashara ikifa ndoa inakufa!!! Ni chaguo lako lakini
Wanaume wengi tunahitaji amani na upendo nyumbani,mimi nikitoka kazini nawahi nyumbani maana wife ananipa amani na furaha kuliko kazini nikiwa nyumbani nasahau dunia nyingine hahahah
Anakupa amani ingawa ni masikini sana au sio?
 
Back
Top Bottom