Kuoa na kuolewa ni muhimu aisee

Kuoa na kuolewa ni muhimu aisee

Kwa nilicho kisoma imebidi niitishe kikao cha dharura cha hisia za mwili wangu nimekubalina na hisia zangu kuwa nikuandikie barua ya kuomba mechi ya kirafiki, ni imani yangu utanikubalia ombi hili.
Wako mpendwa
Lucha.
 
Hahahaah ila jaman🤣🤣🤣🤣
Genye hatari mrembo anataka dudu amechoka kuvumilia ...sema ndio hivyo vijana hawataki kuoa single maza wanaogopa kuchapiwa
 
wallah vile dada yangu 😆 😆 😆 😆 😆
Nawaza mama mkwe anapokea simu, mama acha nikupongeze manake mawanao sio mchezo, ila nyakati zingine haya mambo ukisikia hata mtu anapiga kelele muelewe maana raha anayopata kwa wakati ule hata dunia ikisikia haujali kabisa
 
Huwa namshamgaa jamaa angu mmoja anamsafirisha mbali uko alfu maskini anakuna liwa kimoja kimoja

Demu anampenda jamaa kn show apiggi vyema

Demu ake ananiambia goroko mshauri jamaa ako awe anakunywa hata kivant na red bull Kam wee unavyo tupiaa tukitoka out achane na unywaji wa spriti

Kumbee nikaja muelewa demu kuwa jmaa ampigi show kisawasawa demu

Jmn sitaki kuendelea ila kilichotokeaaa .......joto mtot alikuwa nao mkubwaa mno na mtoaji Ni mla chpisi kavu na yai mishaki hat minne amalizi
 
Back
Top Bottom