Kuoa na kuolewa ni muhimu aisee

Kuoa na kuolewa ni muhimu aisee

Nawaza mama mkwe anapokea simu, mama acha nikupongeze manake mawanao sio mchezo, ila nyakati zingine haya mambo ukisikia hata mtu anapiga kelele muelewe maana raha anayopata kwa wakati ule hata dunia ikisikia haujali kabisa
Mama mkwe kuna kiasi kidogo nakutumia hapo maana kazi anayofanya hili jembe lako ni balaa mama angu 😆

Ila mapenzi ni matamu bana ukieka kuumizwa pembeni.....ni rahaaaaaaaaa
 
Mama mkwe kuna kiasi kidogo nakutumia hapo maana kazi anayofanya hili jembe lako ni balaa mama angu 😆

Ila mapenzi ni matamu bana ukieka kuumizwa pembeni.....ni rahaaaaaaaaa
Kabisa hasa yakiwa ya halali ni raha mpk raha, kuna muda mpka unamfikiria Mungu aliwaza nini mpka akaeka hili tendo maana mtu awe na vyotr alivyo navyo bila kupata tendo hili bado anaona anakosa kitu kikubwa mno
 
Huwa namshamgaa jamaa angu mmoja anamsafirisha mbali uko alfu maskini anakuna liwa kimoja kimoja

Demu anampenda jamaa kn show apiggi vyema

Demu ake ananiambia goroko mshauri jamaa ako awe anakunywa hata kivant na red bull Kam wee unavyo tupiaa tukitoka out achane na unywaji wa spriti

Kumbee nikaja muelewa demu kuwa jmaa ampigi show kisawasawa demu

Jmn sitaki kuendelea ila kilichotokeaaa .......joto mtot alikuwa nao mkubwaa mno na mtoaji Ni mla chpisi kavu na yai mishaki hat minne amalizi
😀 😀 😀 😀 goroko77 bana ila mi nimekuelewa
 
Kwa nilicho kisoma imebidi niitishe kikao cha dharura cha hisia za mwili wangu nimekubalina na hisia zangu kuwa nikuandikie barua ya kuomba mechi ya kirafiki, ni imani yangu utanikubalia ombi hili.
Wako mpendwa
Lucha.
Endelea kusimamisha ujitese😆
 
Huwa namshamgaa jamaa angu mmoja anamsafirisha mbali uko alfu maskini anakuna liwa kimoja kimoja

Demu anampenda jamaa kn show apiggi vyema

Demu ake ananiambia goroko mshauri jamaa ako awe anakunywa hata kivant na red bull Kam wee unavyo tupiaa tukitoka out achane na unywaji wa spriti

Kumbee nikaja muelewa demu kuwa jmaa ampigi show kisawasawa demu

Jmn sitaki kuendelea ila kilichotokeaaa .......joto mtot alikuwa nao mkubwaa mno na mtoaji Ni mla chpisi kavu na yai mishaki hat minne amalizi
Ndo ivo ...mambo haya ni balaa😆
 
Kabisa hasa yakiwa ya halali ni raha mpk raha, kuna muda mpka unamfikiria Mungu aliwaza nini mpka akaeka hili tendo maana mtu awe na vyotr alivyo navyo bila kupata tendo hili bado anaona anakosa kitu kikubwa mno
Kabisa,kile kitu ni muhimu sana aisee
 
Back
Top Bottom