Kuoa single mother ni mtihani

Kuoa single mother ni mtihani

Hammer11

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2024
Posts
1,518
Reaction score
2,174
Iki ivi kiukweli mm ninafsi siwezi oa singles mother nina sababu kama kumi hivii na zina mashiko

1. Huna uhuru na mtoto ukimpiga unamwonea
2. Mkigombana kidogo simu kwa x wake
3. Kuchapiwa lazim uchapiwe wengine wameechan kwa ugumu wa maìsha akipata unafuu anatoa tunda
4. Kuchanganya familia yaaan watoto wansbaguana
5. Kiukweli mwanamke mpaka azaee kampenda huyoo jamaaa sana so unaingilia mspenzi ya watu
6. Mbona mabint mtaaan wengi kwann ubebevmzigo wa mtuuu
7. Ex wake akijipata broo huns chako
8. Singles mother automatically ni mke wa mtuu
9. Huwa wanakupenda tuu kwa ajiri ya mtoto/watoto wake

Na mwisho kabisa kuoa singo mother ni kujichimbia kaburi
 
Kuna falah mmoja humu alishikishwa single matha akaoa huwa nakutana nae kwenye thread kama hizi akiwatetea ngoja aje akuporomoshee mitusi

Uoe mke wa watu useme una mke?labda ukiulizwa ujibu ni mke wetu ukisema mke wangu unatafuta ugomvi na watu.
 
Iki ivi kiukweli mm ninafsi siwezi oa singles mother nina sababu kama kumi hivii na zina mashiko
1 huna uhuru na mtoto ukimpiga unamwonea
2 Mkigombana kidogo simu kwa x wake
3 kuchapiwa lazim uchapiwe wengine wameechan kwa ugumu wa maìsha akipata unafuu anatoa tunda
4 kuchsnganya familia yaaan watoto wansbaguana
5kiukweli mwanamke mpaka azaee kampenda huyoo jamaaa sana so unaingilia mspenzi ya watu
6 mbona mabint mtaaan wengi kwann ubebevmzigo wa mtuuu
7 x wake akijipata broo huns chako
8 singles mother automatically ni mke wa mtuu
9 huwa wanakupenda tuu kwa ajiri ya mtoto/watoto wake
Na mwisho kabisa kuoa singo mother ni kujichimbia kaburi
tarime tuna utaratibu unaoeleweka
single maza hawezi kuwa mke wa kwanza anakuwa nyongeza kwenye ndoa
 
Back
Top Bottom