Wanaume wezangu napenda kuwakumbusha tena kuwa hawa viumbe wanawake ambao wametoka kwenye ubavu wetu MUNGU katuusia sana tuishi nao kwa AKILI na hvo kama ikitokea umezama kwa singo maza seriously nakutaka kuoa hakika kwanza huyo KIJANA aliemzalisha ni marehemu pamoja na BABA yake ambaye ni BABU wa huyo mtoto na kua makini kusoma majina ya kwenye makaburi na cheti cha kuzaliwa kama ni sahihi pasina shaka yeyote, La sivo ukafanya tofauti na haya maelekezo tambua kwamba unajchmbia kaburi kwa mikono yako mwnyew hawa viumbe hata kama unajfanya unajua mapenz kama SHARUKH KHAN watakuacha mchana peupe! hawa viumbe kuuza mechi ni jambo rahisi sana KAMA TIMU ZA ZENJI, hawa viumbe wanabadilika tabia haraka sana akishaanza kuchenyetwa na huyo singo baba wake kuliko KNYONGA anavobadli rang zake, hawa viumbe hawana akili japo hawapo MILEMBE, hawa viumbe wanakbur na dharau kuliko WAKINA JUNIOR, hawa viumbe wanaubongo wa SISIMIZI, KIJANA KAMA UNAWEZA JIEPUSHA JIEPUSHE AKIWEZEKANA HATA WAKIKUSALIMIA USIITIKIE NI WASHIRIKINA