Kuoga na mume au mke wako...

Kuoga na mume au mke wako...

Hivi kulitachi nywele bei gani jamani kuna kimada kinanichuna sana kila wiki nakipa 70,000/= kwa ajili ya kulitachi nywele mmmh huu usafi jamani kweli gharama.

Kaka hapa imebidi nicheke tu kwa kweli!.......yaani every week wachunwa 70k? kwa ajili ya nywele tu.....je, makorokocho mengine bei gani sasa? Mkuu kwa hesabu ya harakaharaka si chini ya 500k inabidi utenge kwa ajili ya huyo bibie kila mwezi ........khaah!....mkuu au kwa sababu ya ki longa longer?
 
sasa watu si kama hawa jamani..... hivi PK yuko wapi...awaone wenzake wanoyajua ya Loreal and skin rejuvenation...duh!!!! hongera kaka...huyo memsap wako si atakuwa anang'aa kama kioo!!!


Shishi, mwenzangu huyo amebakiza miezi afikishe miaka 52, sijivunii ila ukimwona utafikiri ni late 30s. Ila siri kubwa ni kwamba by her 28th birthday alikuwa ameshamaliza kuzaa watoto wetu wanne, ikabaki kujipendezesha, binti yangu watu wanafikiri ni mdogo wake!!! Kuna wakati alikuwa anasumbuliwa na face rushes or say small pimples nikampeleka kwa yule mama pale njia ya Alhassan Mwinyi Road sijui wanamwita Patricia au nani vile, ila ameandika ni skin care proffessional na alimshughulikia kwa natural skin care products within a week akarudia baby face yake. Kumbe alisafiri akala one of the italian dish/cusine ilikuwa na cheese nyingi sana ikaleta pimples, wataalam wanajua.

Pia aina ya vyakula kwa mamsapu ni muhimu, usifikiri kumtwika mibia na minyama ni ulaji bora!!! Atazeeka tumbo kule, makalio kule, kifua kule yaani kama miss bantu!!! Mfanye model kwa mavazi na vyakula vingi wiwe vya virutubisho zaidi, of course usi-undermine the four categories of carbohydrates, protein, vitamins, fats and oils. Katika vyote punguza carb and fats and oils!!!! Google ulaji bora kwa afya!!! Maji not less than 8 glasses a day. Actually, alishajua mimi sipendi matipwatipwa hivyo anajua kujiweka fit!!!! Tuwe wazi kwa wenzi wetu kwa kile tunachokitaka na kitafanyika and you will be happy forever!!!!
 
Maane
Nimekukubali ndugu yangu.Unajua unachotakiwa kufanya ili kumsupport mwenzi wako ili umfurahie na wewe in the process unapanda chati vibaya sana.Kuna wenzio humu hawajui AA wala Bee kwenye haya maswala.Matokeo yake hawawezi hata kuwashauri wenzi wao kuhusu kujitunza, hawajui hata wanapodanganywa na kuchunwa ati ritach ( re-touch)shilingi 70,000/- kwa wiki!
Unastahili pongezi na uendelee na moyo huo huo.

Haswa WoS, yaani kila mwanamme akibalidilika (wengi wao) for women entertaiment in all angles hata cheating na matamanio yasiyo ya lazima hakuna kwa pande zote. Mbona ndoa na mahusiano yangedumu sana, na tungekuwa na family bond hakuna mama wa kambo (mbali na wale wafiwa na akaamua kuoa tena) na mateso yake. Yaani ikitokea sokomoko ndani nikikumbuka watoto wangu kama mamsapu atanitishia kuondoka huwa nakaa kimya kabisa enzi hizo. Siku hizi ndoa nyingi ni mateso ya kujitakia tu!!! Amani ya ndoa ni mbegu kwa jamii bora.
 
Wakuu nisaidie hivi kuna umuhimu wowote wa kuoga na mke wako?au ni fasheni tu!!!

asikwambie mtu, unainjoi ile mbaya! Chuma mboga hunikoma bafuni. Ila uswaz soo, haya mambo yanahitaji faragha
 
Kaka hapa imebidi nicheke tu kwa kweli!.......yaani every week wachunwa 70k? kwa ajili ya nywele tu.....je, makorokocho mengine bei gani sasa? Mkuu kwa hesabu ya harakaharaka si chini ya 500k inabidi utenge kwa ajili ya huyo bibie kila mwezi ........khaah!....mkuu au kwa sababu ya ki longa longer?

Mkuu we acha tu kisa eti najiexpress
 

Pia aina ya vyakula kwa mamsapu ni muhimu, usifikiri kumtwika mibia na minyama ni ulaji bora!!! Atazeeka tumbo kule, makalio kule, kifua kule yaani kama miss bantu!!! Mfanye model kwa mavazi na vyakula vingi wiwe vya virutubisho zaidi, . Actually, alishajua mimi sipendi matipwatipwa hivyo anajua kujiweka fit!!!! Tuwe wazi kwa wenzi wetu kwa kile tunachokitaka na kitafanyika and you will be happy forever!!!!

mhhhh Maane baba taratibuuuuu utatufanya sie masanamu ya michellini tukajinyonge kwenye mti wa mchicha bureeeeeeeeeee
 
Aaaaaaaaaaaaaaargh!!
Hakuna kitu kama hiki
Nilijaribu saaaaana kuwa karibu na Mwandani wangu ili tuoge pamoja.
Lakini, kadiri alivyozidi kunizowea, mambo yalianza kwenda mrama!
Shida kubwa ya kuoga na Mwanamke iko kwenye mambo ya nywele!
Inataka moyo sana kuoga na watu hawa, maana mara utasikia...ooooh unalowesha nywele zangu!!!......uuuuhhh!!! unaniloweshea rasta zangu..!! Wanawake ni wachafu sana, maana atakaa na zile nywele kwa wiki hadi 5 hazijagusa maji, japo wanajidai kupaka sijui ma nini.. sijui makemiko gani.....sijui ndo wanaita ma`enjoface, ..malipstick..mi siyajui!
Shiiit... tokea siku hiyo mimi sitaki lawama za kishenzi.
Hakuna sababu yoyote ya kuoga nao, mwache atangulie yeye kisha utafuatia wewe kwa raha zako..
Aaaahhhhh!!


kauli yako chafu.... wanawake sio wachafu....ila maumbile yao tofauti...na kama unashindwa kuoga na mwenzako dont discourage others.
 
mhhhh Maane baba taratibuuuuu utatufanya sie masanamu ya michellini tukajinyonge kwenye mti wa mchicha bureeeeeeeeeee

Si wengine ndo size zetu hizo tunazipenda mamichellini aaaah raaaaaaha ukioga nalo hilo yaaani mnaoga pipa kabisa.
 
Si wengine ndo size zetu hizo tunazipenda mamichellini aaaah raaaaaaha ukioga nalo hilo yaaani mnaoga pipa kabisa.



ahahahahah pipa zima halafu mnaanza kuchunana....raha kabisa!
 
ahahahahah pipa zima halafu mnaanza kuchunana....raha kabisa!

Sasa Shishi mimi huyu basi tena amenichuna vya kutosha naachana nae kabisa. Amenitumia sms oooh dear naomba ijumaa unisaidie laki moja kuna nguo nimeona Mr.Price,nimemjibu nimefulia.
 
Shishi, mwenzangu huyo amebakiza miezi afikishe miaka 52, sijivunii ila ukimwona utafikiri ni late 30s. Ila siri kubwa ni kwamba by her 28th birthday alikuwa ameshamaliza kuzaa watoto wetu wanne, ikabaki kujipendezesha, binti yangu watu wanafikiri ni mdogo wake!!! Kuna wakati alikuwa anasumbuliwa na face rushes or say small pimples nikampeleka kwa yule mama pale njia ya Alhassan Mwinyi Road sijui wanamwita Patricia au nani vile, ila ameandika ni skin care proffessional na alimshughulikia kwa natural skin care products within a week akarudia baby face yake. Kumbe alisafiri akala one of the italian dish/cusine ilikuwa na cheese nyingi sana ikaleta pimples, wataalam wanajua.

Pia aina ya vyakula kwa mamsapu ni muhimu, usifikiri kumtwika mibia na minyama ni ulaji bora!!! Atazeeka tumbo kule, makalio kule, kifua kule yaani kama miss bantu!!! Mfanye model kwa mavazi na vyakula vingi wiwe vya virutubisho zaidi, of course usi-undermine the four categories of carbohydrates, protein, vitamins, fats and oils. Katika vyote punguza carb and fats and oils!!!! Google ulaji bora kwa afya!!! Maji not less than 8 glasses a day. Actually, alishajua mimi sipendi matipwatipwa hivyo anajua kujiweka fit!!!! Tuwe wazi kwa wenzi wetu kwa kile tunachokitaka na kitafanyika and you will be happy forever!!!!


mmm Maane mbona watutia wivu we nawe...hivi mdogo wako yupo???? ahahahhaha. but am very impressed kwa kweli ni wachache watafanya hayo yote.. kazi kukwambia tangu tuoanane u no longer have a waist line duhhh mijiume mingine bwana!!! ukisema wataka cleanser waambiwa ya pesa nyingi halafu akitoka nje wanatawatamani wale wenye nyuso kama za watoto...hapo patawezekana kweli???
 
Sasa Shishi mimi huyu basi tena amenichuna vya kutosha naachana nae kabisa. Amenitumia sms oooh dear naomba ijumaa unisaidie laki moja kuna nguo nimeona Mr.Price,nimemjibu nimefulia.


Achana nae fisadi huyo!!!!! hiyo nguo ya laki=10k Ksh. ni mchuno tu!
 
mmm Maane mbona watutia wivu we nawe...hivi mdogo wako yupo???? ahahahhaha. but am very impressed kwa kweli ni wachache watafanya hayo yote.. kazi kukwambia tangu tuoanane u no longer have a waist line duhhh mijiume mingine bwana!!! ukisema wataka cleanser waambiwa ya pesa nyingi halafu akitoka nje wanatawatamani wale wenye nyuso kama za watoto...hapo patawezekana kweli???

Wenye mwelekeo kama Maane utawajua tu tangia uchumba.Ukiona mwanaume hana interest kujua unaji maintain vipi hata kama hakuwezeshi kifedha, ujue huyo ni bomu.Ukiona mwanaume kila mara anashangaa inakuwa vipi kila mara unataka kwenda salon au kwa beautician wako hata kama hatoi pesa mfukoni mwake..ujue mbele ya safari kuna shida.Ogopa mwanaume anayekushangaa kwanini unatumia pesa kwa ajili ya usafi wako binafsi, wake na familia - ati haoni kwanini ununue sabuni na shower gels, shampoo, bathroom cleaning agents etc akidai ati nunua Ommo au mbuni ni multi purpose utajuuuuuta kuolewa nae baadae!
You single ladies out there, msiseme hamkuambiwa!
 
Back
Top Bottom