Kuna kitu hakiko sawa kwake piamkuu una cpa halafu unakuwa hg, mkuu vaa viatu vya huyo binti embu.
Qualifications zinavyozidi kuwa kubwa maana yake akili inatakiwa kufunguka zaidi kujua fursa Gani mtu afanye yenye Hadhi ya Elimu yake CPA aweza anzisha tuition ya masomo ya uhasibu ,akaomba kufundisha part time vyuo vonafunfishs somo la uhasibu au akaomba kufundisha shule za sekondary private zinazofundisha masomo ya biashara zenye O level au A level aweza jiunga na kampuni private za uhasibu kufanya kazi za ajira ya kudumu au part time Kwa kulipa au kujitolea nk opportunies are endless
Lakini kufanya kazi za u house zinaua CV yake sababu wakitaka aonyeshe experience ya fani yake hiyo kazi ya u house girl haikubaliki hapo anazidi kuua Cv mwisho wa siku hakuna atakayemhitaji