Kuona Dada wa Kazi (house girl) mwenye degree ya Accounting pamoja na CPA inafundisha Uwekezaji wa kusomesha mtoto haupaswi kutumia gharama kubwa

Kuona Dada wa Kazi (house girl) mwenye degree ya Accounting pamoja na CPA inafundisha Uwekezaji wa kusomesha mtoto haupaswi kutumia gharama kubwa

mkuu una cpa halafu unakuwa hg, mkuu vaa viatu vya huyo binti embu.
Kuna kitu hakiko sawa kwake pia

Qualifications zinavyozidi kuwa kubwa maana yake akili inatakiwa kufunguka zaidi kujua fursa Gani mtu afanye yenye Hadhi ya Elimu yake CPA aweza anzisha tuition ya masomo ya uhasibu ,akaomba kufundisha part time vyuo vonafunfishs somo la uhasibu au akaomba kufundisha shule za sekondary private zinazofundisha masomo ya biashara zenye O level au A level aweza jiunga na kampuni private za uhasibu kufanya kazi za ajira ya kudumu au part time Kwa kulipa au kujitolea nk opportunies are endless

Lakini kufanya kazi za u house zinaua CV yake sababu wakitaka aonyeshe experience ya fani yake hiyo kazi ya u house girl haikubaliki hapo anazidi kuua Cv mwisho wa siku hakuna atakayemhitaji
 
Huyo anayefanya kitu anajielewa kuliko cpa waliojifungia ndani wakilia hakuna ajira huku wanabeti mia tano ya kunyoa aliyoachiwa na mzazi na mhindi anaichukua bila huruma anaishia kujinyoa na wembe ili asiulizwe mbona hujanyoa ndevu.
 
Iyo pia ni kaz na inaripa sana tu

Ttzo lako mnazani wafanyakazi wote wa ndani hulipwa elf30/40/50.
Kuna wafanyakazi ulipwa ad lk2 per mwezi
Lakin pia uyo ana kituo cha kulea watoto day care je unajua day care inalipa kias gan
 
Kuna kitu hakiko sawa kwake pia

Qualifications zinavyozidi kuwa kubwa maana yake akili inatakiwa kufunguka zaidi kujua fursa Gani mtu afanye yenye Hadhi ya Elimu yake CPA aweza anzisha tuition ya masomo ya uhasibu ,akaomba kufundisha part time
mkuu kama una kazi yako au biashara inayokuingizia kipato mshukuru Mungu, usidhani hayo yote uliyosema watu hajajaribu, unajua kitaa kulivyo lakini? mkuu we acha tu, ukiona graduate anabeba zege usidhani kapenda ni kwamba kakosa namna.
 
mkuu kama una kazi yako au biashara inayokuingizia kipato mshukuru Mungu, usidhani hayo yote uliyosema watu hajajaribu, unajua kitaa kulivyo lakini? mkuu we acha tu, ukiona graduate anabeba zege usidhani kapenda ni kwamba kakosa namna.
Sikatai Kuna digrii na digrii mfano mwenye CPA sio rahisi sana kukosa Cha kufanya akiingia kuomba mfano part time shule za private za sekondary na vyuo private Huwa Wana shida sana kupata walimu wazuri hayo masomo wakijua ana CPA shule yeyote ya hata jirani eneo anakaa watampa part time job ya kufundisha nadhani yeye analenga zaidi ajira Rasmi za serikali kabweteka .CPA Kwa Tanzania hii pamoja na uhaba wake wa ajira mwenye CPA sio mtu wa kufanya kazi za u house girl huyo kichwa chake kibovu na hii clip imetoka watu serious hawawezi mwajiri hayuko vizuri kichwani huyo
 
Labda kama kuna tatizo kiaina. Mbona hawa watu wanahitajika sana hasa nchi hizi za Africa? Ku apply au kupata passport ndo tatizo?!
Je,kwa zile gharama za masomo yao,ina maana ameshindwa hata kuanzisha kishughuli chake?
CPA kitu kingine aise
Huyo ana tatizo Tena kubwa.kiakili .CPA Ina soko haijafikia kiwango Cha chini hivyo kuwa mwenye nayo afikie kiwango Cha kuwa Housegirl.Huyo ana shida au lengo lake kudhalilisha CPA lakini sio Rahisi kuidhalilisha .Yeye ndie atadharirika
 
Sikatai Kuna digrii na digrii mfano mwenye CPA sio rahisi sana kukosa Cha kufanya akiingia kuomba mfano part time shule za private za sekondary na vyuo private Huwa Wana shida sana kupata walimu wazuri hayo masomo wakijua ana CPA shule yeyote ya hata jirani eneo anakaa watampa part time job ya kufundisha nadhani yeye analenga zaidi ajira Rasmi za serikali kabweteka .CPA Kwa Tanzania hii pamoja na uhaba wake wa ajira mwenye CPA sio mtu wa kufanya kazi za u house girl huyo kichwa chake kibovu na hii clip imetoka watu serious hawawezi mwajiri hayuko vizuri kichwani huyo
Kuna ajenda inasukumwa hapo!
 
Sikatai Kuna digrii na digrii mfano mwenye CPA sio rahisi sana kukosa Cha kufanya akiingia kuomba mfano part time shule za private za sekondary na vyuo private Huwa Wana shida sana kupata walimu wazuri hayo masomo wakijua ana CPA shule yeyote ya hata jirani eneo anakaa watampa part time job ya kufundisha nadhani yeye analenga zaidi ajira Rasmi za serikali kabweteka .CPA Kwa Tanzania hii pamoja na uhaba wake wa ajira mwenye CPA sio mtu wa kufanya kazi za u house girl huyo kichwa chake kibovu na hii clip imetoka watu serious hawawezi mwajiri hayuko vizuri kichwani huyo
inawezekana, ila mkuu kuanzia 2016 mpaka leo parefu ujue, hv kichwa kinaweza kuwa sawa kweli?
 
Kuna kitu hakiko sawa kwake pia

Qualifications zinavyozidi kuwa kubwa maana yake akili inatakiwa kufunguka zaidi kujua fursa Gani mtu afanye yenye Hadhi ya Elimu yake CPA aweza anzisha tuition ya masomo ya uhasibu ,akaomba kufundisha part time vyuo vonafunfishs somo la uhasibu au akaomba kufundisha shule za sekondary private zinazofundisha masomo ya biashara zenye O level au A level aweza jiunga na kampuni private za uhasibu kufanya kazi za ajira ya kudumu au part time Kwa kulipa au kujitolea nk opportunies are endless

Lakini kufanya kazi za u house zinaua CV yake sababu wakitoka aonyeshe experience ya fani yake hiyo kazi ya u house girl haaikubaliki hapo anazidi kuua Cv mwisho wa siku hakuna atakayemhitaji
Hizo kazi zote ulizotaja ni za kuajiriwa, hakuna kazi uliyotaja ya cpa ya kujiajiri.

Shida iko hapo kwamba elimu yetu ni ya kuajiriwa tu na sio kujiajiri na hata ukitaka kujiajiri milolongo ni mingi sana.

Yaani usome cpa kisha ukafundishe twishen?
 
Na

Kuna kitu kinafanywa hapo, haya mahojiano yapo kimkakati. Vyombo vya habari vyetu sio vya kuamini sana


Kuna kitu kinafanywa hapo, haya mahojiano yapo kimkakati. Vyombo vya habari vyetu sio vya kuamini sana.
Kabisa Kaka,,na wameshawasoma watz wengi huzama mazima kwenye Jambo bila tafakari,,Maono na mitazamo zaidi Haswa kwenye haya ma sosho mediaz zinatumiwa Sana kupumbaza watz na matukio ya kutengeneza lengo tuendelee Kuwa bize na upuuzi mnoo kuliko ya msingi zaidi!!
 
Na



Kabisa Kaka,,na wameshawasoma watz wengi huzama mazima kwenye Jambo bila tafakari,,Maono na mitazamo zaidi Haswa kwenye haya ma sosho mediaz zinatumiwa Sana kupumbaza watz na matukio ya kutengeneza lengo tuendelee Kuwa bize na upuuzi mnoo kuliko ya msingi zaidi!!
Ndugu Atoto amesema huyo binti anafanya kazi UDOM na ana own daycare facility. Sioni sababu ya kuviamini vyombo vya habari vya nchi yetu.
 
Back
Top Bottom