Kuona Dada wa Kazi (house girl) mwenye degree ya Accounting pamoja na CPA inafundisha Uwekezaji wa kusomesha mtoto haupaswi kutumia gharama kubwa

Kuona Dada wa Kazi (house girl) mwenye degree ya Accounting pamoja na CPA inafundisha Uwekezaji wa kusomesha mtoto haupaswi kutumia gharama kubwa

Ndugu Atoto amesema huyo binti anafanya kazi UDOM na ana own daycare facility. Sioni sababu ya kuviamini vyombo vya habari vya nchi yetu.

Aweke ushahidi. Kupinga maelezo ya video.

Sio mtu anajitungia tu. Kama clouds walivyoweka video. Na yeye Atoto aweke ushahidi kwamba huyo dada mi staff wa udom..
 
Yaani usome cpa kisha ukafundishe twishen?
Tatizo ndio linaanzia hapo kuwa wewe na huyo mleta mada hamujielewi Kuna wanasoma CPA kibao huhitaji tuition kutoka Kwa watu wenye CPA wawafundishe Hadi majumbani

Kuna tuition centre kibao za kufundisha wanafunzi wanasoma CPA na wamiliki wa hizo tuition centre ni matajiri na hutumia hao wenye CPA kufundisha

Mashule mengi private ya secondary ambako wanafunzi wao wa O level na A level ambao hufaulisha sana somo la Bookkeeping na Accountancy Huwatumia sana wenye CPA kuundisha tuition part time kwenye shule zao .

Yaani wewe unaishi Dunia unayoijua mwenyewe huelewi kinachoendelea sokoni ndio maana unashamgaa mwenye CPA kufundisha Tuition

Vyuo vikuu wamejaa pia na CPA zao wanafundisha wanavyuo wanaochukua digrii za Accounting wewe hata huelewi uko gizani umejifungia kufanya kazi za u house girl
 
Hizi elimu mnazo soma ziendane na connection na network. Kuna watu hawana elimu ila wapo kwenye mifumo ya ajira na wanalipwa mishahara mikubwa sana.


Nadhani tunahitaji kujitathimini. Mtu unasomea engineering ila hauna rafiki, ndugu, mwanafamilia, jirani wala mtu yoyote unaemjua ambaye anafanya kazi katika hiyo taaluma.
 
Sikatai Kuna digrii na digrii mfano mwenye CPA sio rahisi sana kukosa Cha kufanya akiingia kuomba mfano part time shule za private za sekondary na vyuo private Huwa Wana shida sana kupata walimu wazuri hayo masomo wakijua ana CPA shule yeyote ya hata jirani eneo anakaa watampa part time job ya kufundisha nadhani yeye analenga zaidi ajira Rasmi za serikali kabweteka .CPA Kwa Tanzania hii pamoja na uhaba wake wa ajira mwenye CPA sio mtu wa kufanya kazi za u house girl huyo kichwa chake kibovu na hii clip imetoka watu serious hawawezi mwajiri hayuko vizuri kichwani huyo
CPA haina part time mkuu. Usione herufi 3 tu, waulize wahasibu kuisoma tu gharama zake, waulize hadhi yake. Ile ni kimataifa wala si kitaifa.
Hivi unadhani inasomwa na yeyote? Labda tu aamue kukusaidia,ila sidhani kama kuna mtu mwenye CPA amekosa ajila mpaka aende kukusanya hizo elfu kumi kumi.
Uulizie kwanza gharama za hilo somo, uangalie uhitaji wa hao watu sokoni,utajua hujui. CPA aje kukupiga somo nyumbani? Labda iweje! Wewe uwe mhasibu wa kawaida unayejua CPA? Sawa inawezekana. Certificate utayipata wapi kama hujalipia na kwenda chuo?
Mi si mhasibu,ila kwa ka akili kangu nilivyoona ile kitu,waachie wenyewe. Serikali inaifadhili?
Ofisi yoyote huko bandarini atakayoingia mbona anapokelewa kama malikia? Hata akiapply nchi za nje mbona atapelekwa? Siyo yeye atajipeleka! Wachangamshe jukwaa lakini CPA kitu kingine aise
 
Hizi elimu mnazo soma ziendane na connection na network. Kuna watu hawana elimu ila wapo kwenye mifumo ya ajira na wanalipwa mishahara mikubwa sana.


Nadhani tunahitaji kujitathimini. Mtu unasomea engineering ila hauna rafiki, ndugu, mwanafamilia, jirani wala mtu yoyote unaemjua ambaye anafanya kazi katika hiyo taaluma.
Huku unajua bila kushikwa mkono hutoboi
 
Tatizo ndio linaanzia hapo kuwa wewe na huyo mleta mada hamujielewi Kuna wanasoma CPA kibao huhitaji tuition kutoka Kwa watu wenye CPA wawafundishe Hadi majumbani

Kuna tuition centre kibao za kufundisha wanafunzi wanasoma CPA na wamiliki wa hizo tuition centre ni matajiri na hutumia hao wenye CPA kufundisha wenzaa

Mashule mengi private ya secondary ambako wanafunzi wao wa O level na A level ambao hufaulisha sana somo la Bookkeeping na Accountancy Huwatumia sana wenye CPA kuundisha tuition part time kwenye shule zao .

Yaani wewe unaishi Dunia unayoijua mwenyewe huelewi kinachoendelea sokoni ndio maana unashamgaa mwenye CPA kufundisha Tuition

Vyuo vikuu wamejaa pia na CPA zao wanafundisha wanavyuo wanaochukua digrii za Accounting wewe hata huelewi uko gizani umejifungia kufanya kazi za u house girl
Wewe akili huna. Akili yako inawaza kuajiriwa tu ulivyo zero brain.

Mantiki ya kusoma cpa sio ukafundishe, kufundisha iwe ni part time job yako. Kwa sababu kufundisha watu wa cpa sio lazima uwe na CPA. You don't need a cpa certificate to train cpa candidates, ukiwa unaelewa accounting and finance unafundisha tu. Kukariri maswali na majibu yake nayo unahitaji uwe na certificate?

Kwa nini usiseme huyo mtu aaanzisha kampuni ya kuandaa hesabu, kutafsiri hesabu, kuandaa kodi, kutafsiri kodi, kushauri masuala ya fedha na kodi

Sasa wewe umekomalia kuajiriwa, kufundisha, kuajiriwa kufundisha.
 
Hizi elimu mnazo soma ziendane na connection na network. Kuna watu hawana elimu ila wapo kwenye mifumo ya ajira na wanalipwa mishahara mikubwa sana.


Nadhani tunahitaji kujitathimini. Mtu unasomea engineering ila hauna rafiki, ndugu, mwanafamilia, jirani wala mtu yoyote unaemjua ambaye anafanya kazi katika hiyo taaluma.
sasa mkuu hzo connection na network unazipata wapi, umesoma kijijini huko msingi, sekondari shule za kata hukohuko kijijini, a level labda unasogea kidogo wilayani, ghafla umemaliza six unajikuta chuo course uliyochagua, umejichagulia tu maana hukuwa na muongozo maana huko kijijini waliofika six/chuo wa kuhesabu/hawapo, mara paaap umemaliza chuo,
 
Wewe akili huna. Akili yako inawaza kuajiriwa tu ulivyo zero brain.

Mantiki ya kusoma cpa sio ukafundishe, kufundisha iwe ni part time job yako. Kwa sababu kufundisha watu wa cpa sio lazima uwe na CPA. You don't need a cpa certificate to train cpa candidates, ukiwa unaelewa accounting and finance unafundisha tu. Kukariri maswali na majibu yake nayo unahitaji uwe na certificate?

Kwa nini usiseme huyo mtu aaanzisha kampuni ya kuandaa hesabu, kutafsiri hesabu, kuandaa kodi, kutafsiri kodi, kushauri masuala ya fedha na kodi

Sasa wewe umekomalia kuajiriwa, kufundisha, kuajiriwa kufundisha.
Taja CPA Review centre iliyo na mtu anaefundisha CPA huku yeye akiwa hana CPA?Unajua CV zote za wanaofundisha hizi Centers hua zinatumwa NBAA?Unadhani zinatumwa kwa Nini?

Hata Kama huja ajiriwa na hizi centers,then kwa akili ya kawaida tu candidate gani wa CPA anataka kufundishwa na mtu asie na CPA?
 
Kuna kitu hakiko sawa kwake pia

Qualifications zinavyozidi kuwa kubwa maana yake akili inatakiwa kufunguka zaidi kujua fursa Gani mtu afanye yenye Hadhi ya Elimu yake CPA aweza anzisha tuition ya masomo ya uhasibu ,akaomba kufundisha part time vyuo vonafunfishs somo la uhasibu au akaomba kufundisha shule za sekondary private zinazofundisha masomo ya biashara zenye O level au A level aweza jiunga na kampuni private za uhasibu kufanya kazi za ajira ya kudumu au part time Kwa kulipa au kujitolea nk opportunies are endless

Lakini kufanya kazi za u house zinaua CV yake sababu wakitaka aonyeshe experience ya fani yake hiyo kazi ya u house girl haikubaliki hapo anazidi kuua Cv mwisho wa siku hakuna atakayemhitaji
Unaongea tu utadhani hizo kazi za part time zipo tu!!...watu hawataki hata ujitolee
 
Taja CPA Review centre iliyo na mtu anaefundisha CPA huku yeye akiwa hana CPA?Unajua CV zote za wanaofundisha hizi Centers hua zinatumwa NBAA?Unadhani zinatumwa kwa Nini?

Hata Kama huja ajiriwa na hizi centers,then kwa akili ya kawaida tu candidate gani wa CPA anataka kufundishwa na mtu asie na CPA?
1. Kwanza sio lazima kusoma cpa ukasome kwenye tuition centres. Sio lazima.
2. Kwa kua sio lazima kufanya mitihani ya cpa uwe mwanafunzi wa centre hoyote, unaweza kusoma popote ama ukajisomea mwenyewe.
3. Usipende kutoa majibu ya jumla jumla' generalization syndrome'. Bro wangu alimaliza bcom UDSM akawa anafundisha wenzake nyumbani huku na yeye anafanya na wote walifaulu. Yeye alikua anayajua hivyo alikua anafanya kwa ajili ya certificate tu ama kua certified.

Ndio maana nikakwambia huhitaji cheti cha CPA kufundisha watu wa cpa, kama unajua utafundisha tu na watafaulu. Kujua jambo sio lazima uwe na certificate yake, unajua tu. Certificate ni formality tu.
 
1. Kwanza sio lazima kusoma cpa ukasome kwenye tuition centres. Sio lazima.
2. Kwa kua sio lazima kufanya mitihani ya cpa uwe mwanafunzi wa centre hoyote, unaweza kusoma popote ama ukajisomea mwenyewe.
3. Usipende kutoa majibu ya jumla jumla' generalization syndrome'. Bro wangu alimaliza bcom UDSM akawa anafundisha wenzake nyumbani huku na yeye anafanya na wote walifaulu. Yeye alikua anayajua hivyo alikua anafanya kwa ajili ya certificate tu ama kua certified.

Ndio maana nikakwambia huhitaji cheti cha CPA kufundisha watu wa cpa, kama unajua utafundisha tu na watafaulu. Kujua jambo sio lazima uwe na certificate yake, unajua tu. Certificate ni formality tu.
Hakuna lugha ya:
'Yeye alikua anayajua hivyo alikua anafanya kwa ajili ya certificate tu ama kua certified.'

Aikua hafundishi wenzake Ila alikua anajisomea nao/wanafundishana.Kama ni hio style ya Kaka yako basi nchi nzima(mikoa/majiji yenye vyuo vikuu) huko mitaani ndicho kinachofanyika especially kwa vijana fresh from school.
 
Hahaha, mkuu, usilete sababu, mpe mtoto wako elimu bora kadri inavyowezekana.

Kati ya CPA 10K hii nchi huyo mmoja hawez fanya tusisomeshe watoto wetu IST.
Atakuwa anachakatwa na baba mwenye nyumba siyo bure! Ndiyo maana hata haoni shida kufanya hiyo kazi. Huyo ni mke mdogo!
 
1. Kwanza sio lazima kusoma cpa ukasome kwenye tuition centres. Sio lazima.
2. Kwa kua sio lazima kufanya mitihani ya cpa uwe mwanafunzi wa centre hoyote, unaweza kusoma popote ama ukajisomea mwenyewe.
3. Usipende kutoa majibu ya jumla jumla' generalization syndrome'. Bro wangu alimaliza bcom UDSM akawa anafundisha wenzake nyumbani huku na yeye anafanya na wote walifaulu. Yeye alikua anayajua hivyo alikua anafanya kwa ajili ya certificate tu ama kua certified.

Ndio maana nikakwambia huhitaji cheti cha CPA kufundisha watu wa cpa, kama unajua utafundisha tu na watafaulu. Kujua jambo sio lazima uwe na certificate yake, unajua tu. Certificate ni formality tu.
Kwa hio hapo no. 1&2 ukiwa unajisomea mwenyewe ndo unaita kujiajiri hivyo au?
 
Wewe akili huna. Akili yako inawaza kuajiriwa tu ulivyo zero brain.

Mantiki ya kusoma cpa sio ukafundishe, kufundisha iwe ni part time job yako. Kwa sababu kufundisha watu wa cpa sio lazima uwe na CPA. You don't need a cpa certificate to train cpa candidates, ukiwa unaelewa accounting and finance unafundisha tu. Kukariri maswali na majibu yake nayo unahitaji uwe na certificate?

Kwa nini usiseme huyo mtu aaanzisha kampuni ya kuandaa hesabu, kutafsiri hesabu, kuandaa kodi, kutafsiri kodi, kushauri masuala ya fedha na kodi

Sasa wewe umekomalia kuajiriwa, kufundisha, kuajiriwa kufundisha.


Sio kwamba ukishakuwa na CPA tu unaruhusiwa kufungua kampuni ya kukagua au kufanya mahesabu (Auditing Firm).

Ukiwa na CPA maana yake ni kwamba wewe ume graduate kuwa mhasibu. Ishu ya kuwa na muhuri ni ishu nyingine kabisa.
 
1. Kwanza sio lazima kusoma cpa ukasome kwenye tuition centres. Sio lazima.
2. Kwa kua sio lazima kufanya mitihani ya cpa uwe mwanafunzi wa centre hoyote, unaweza kusoma popote ama ukajisomea mwenyewe.
3. Usipende kutoa majibu ya jumla jumla' generalization syndrome'. Bro wangu alimaliza bcom UDSM akawa anafundisha wenzake nyumbani huku na yeye anafanya na wote walifaulu. Yeye alikua anayajua hivyo alikua anafanya kwa ajili ya certificate tu ama kua certified.

Ndio maana nikakwambia huhitaji cheti cha CPA kufundisha watu wa cpa, kama unajua utafundisha tu na watafaulu. Kujua jambo sio lazima uwe na certificate yake, unajua tu. Certificate ni formality tu.
The Assassin ,una maanisha ukijisomea, ukafaulu na mitihani ukapata certificate yako,unakuwa ticket kwamba ni certified? Basi ingelikuwa hivyo,kusingekuwepo haja ya kusoma hiyo course. Pamoja na zile gharama, leo hii ipo wazi mtu anaweza akapakua,akajisomea na akafanya mtihani.
Swali langu ni moja tu: vyuo vimefikia hatua tu ya kupokea pesa kisa mtu anajisikia kuwa mhasibu mwenye CPA?
Sipingi mawazo yako,ila napinga ukweli wake. Mtu anaweza kufanya mtihani wa medecin akapewa certificate,akaendelea na kazi?

Nadhani uulizie kwanza CPA ni nini na utofauti wake na certificate nyingine za uhasibu ni nini.
Na ikitokea(japo haipo),ukamuona mtu mwenye CPA analandalanda mtaani, ujue hiyo ni deal.
Hawa watu hutumia gharama kubwa sana kuwa certified,hawa watu wana soko kubwa sana,huwezi kusoma CPA bila uhakika wa ajira au uwezo wa kufanya mambo yako mwenyewe.
Kwanza karibia wote wanaosoma,unakuta tayari wapo kwenye ajira, na husomeshwa.

Mi sikubaliani na wewe, course za CPA usizichukulie kama chuo cha udereva au tuition ya preform one.
 
Back
Top Bottom