Kuona Dada wa Kazi (house girl) mwenye degree ya Accounting pamoja na CPA inafundisha Uwekezaji wa kusomesha mtoto haupaswi kutumia gharama kubwa

Sio kwamba ukishakuwa na CPA tu unaruhusiwa kufungua kampuni ya kukagua au kufanya mahesabu (Auditing Firm).

Ukiwa na CPA maana yake ni kwamba wewe ume graduate kuwa mhasibu. Ishu ya kuwa na muhuri ni ishu nyingine kabisa.
Safi sana. Kwanza kuwa na certificate si kigezo cha kuitwa certified. Hiyo Auditing firm yenyewe haihitaji kujilidhisha? Kuwa na cheti cha uhasibu haimaanishi wewe ni mhasibu.

Siku ikitokea kukawepo mfumo wa kutambua certificate za watu, ndo utajua kumbe miongoni mwa elfu 5 ya kundi flani,wanaokidhi vigezo hawazidi 500.
 
Umemjibu vizuri
 
Binafsi bado naona hatutakuwa na familia kama malezi ya watoto tutaachiwa wadada wa kazi, walimu, vitunza watoto.

Inabidi jamii igeuke na kuanza lea wenyewe
 
Tatfa taarifa zaidi uongeze maarifa usionekane kutokujua vitu vidogo vidogo vya wazi na kutia aibu ukoo wako
 
Analipwa vzuri ndo mana anafurahia
Hahahahaha hakuna kitu kama hicho. Mtafute Dr hospitali yoyote,mwambie aje awe mfanyakazi kwako,umlipe Mikioni 10. Bila makato, tuone kama atakuja! Msidhalilishe CPA kiasi hicho
 
Sio kwamba ukishakuwa na CPA tu unaruhusiwa kufungua kampuni ya kukagua au kufanya mahesabu (Auditing Firm).

Ukiwa na CPA maana yake ni kwamba wewe ume graduate kuwa mhasibu. Ishu ya kuwa na muhuri ni ishu nyingine kabisa.
Ni kwa nini isiwe hivyo?

Kwa nini fani nyingine kama uhandisi ukishajisajiri EGB unaruhusiwa kuanziaha kampuni na ukapata kazi ukafanya?

Ama madaktari, au unataka kusema daktari akimaliza internship na akasajiliwa na bodi yao ya taaluma haruhusiwi kutibu wagonjwa? Kama anaruhusiwa, kwa nini isiwe kwa wahasibu ama fani nyingine za kitaaluma?

Unaweza kunisaidia kujua kwa nini mkuu?
 
Kwa hio hapo no. 1&2 ukiwa unajisomea mwenyewe ndo unaita kujiajiri hivyo au?
Uwe inajitahidi kusoma jambo na ulielewe ili usiulize maswali yasiyo na kichwa wala miguu na kutia aibu ukoo wako.
 
Unaongea tu utadhani hizo kazi za part time zipo tu!!...watu hawataki hata ujitolee
kuna dada mmoja ana degree ya uhasibu, akaenda kampuni moja ajitolee, wakamwambia kama utajitolea bure kabisa tunaweza kukufikiria ila hatuna uwezo wa kukupa hata 1000 ya nauli, huyo dada kaolewa akamshirisha mumewe, mume kamwambia atakuwa anamsaidia nauli aendelee tu kujishikiza hapo apate uzoefu.

mambo ni magumu kitaa watu wanachukulia poa tu, sababu labda wanakazi au biashara.
 
Hahaha, mkuu, usilete sababu, mpe mtoto wako elimu bora kadri inavyowezekana.

Kati ya CPA 10K hii nchi huyo mmoja hawez fanya tusisomeshe watoto wetu IST.
Una manisha kuna idadi ya watu 10,000 wenye CPA??
 
Tatfa taarifa zaidi uongeze maarifa usionekane kutokujua vitu vidogo vidogo vya wazi na kutia aibu ukoo wako
Maarifa ntaongeza sikatai. Lakini ya kuniaminisha kwamba CPA ni kama cheti cha chuo chochote,hayo siyahitaji.

Labda ungejaribu kutafuta hiyo CPA ni nini kwanza,kwa uelewa zaidi.
 
Wameshiba na huenda hawakuhaha kupata kazi
 
Mhasibu na sura nzuri wapi na wapi? angekuwa marketing sawa
 
Maarifa ntaongeza sikatai. Lakini ya kuniaminisha kwamba CPA ni kama cheti cha chuo chochote,hayo siyahitaji.

Labda ungejaribu kutafuta hiyo CPA ni nini kwanza,kwa uelewa zaidi.
Basi usiendelee kubisha vitu usivyovijua, unaaibisha ukoo wako.
 
unasemea cpa au acca
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…