Kuondolewa Mwenge na kuwekwa Tanzanite daraja la Salender (Tanzanite Bridge) ni ishara ya mwisho wa laana kwa Taifa letu

Mkuu hio ni biashara ya watu hio, a very lucrative, haiwezi kusitishwa, ni moja ya njia ya kupiga hela
 
Hakuna mabadiliko yoyote yatakayotokea kutokana na kitendo hicho.

Ugumu wa maisha uko pale pale.

Kwa bahati mbaya sana viongozi wetu huweka focus kwenye petty issues ambazo zina very litle impact kwenye maisha ya wananchi.

Kwakua umaskini na ujinga wa wananchi ndio capital yao.
 
Serikali ingejaribu kusitisha kuukimbiza walau kwa mwaka mmoja tuone kitatokea kitu gani aisee,
 
Tuanze kukimbiza tanzanite kila mwaka badala ya mwenge. Btw tanzanite ina umbo?
 
Umeandika meengi lakini jibu lako ni Rahisi kabisaaa!

Daraja linaitwa Tanzanite!
Iweje liwe na mwenge badala ya Tanzanite?

Vitu vingine sio hata kutumia nguvu nyingi kuvijadili,sababu makosa hapo ni dhahiri yalitokea na mhusika ni Engineer!

Sio kila kotu ni siasa.
 
Mawazo yako tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…