Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeuliza na kuhitaji jibu ama ushaconclude mwenyewe kuwa asili yake aijulikani?Je mwenge ni tambiko au ni uchawi au ni kitu kisichojulikana vizuri? Yaaan asili yake haijulikan
Out of topic,
Anayejua naomba anijuze,
Kuna shida gani kumuaca mtoto aogelee beach (baharini) jioni??
Sayansi haina uwezo wa kuthibitisha uchawiInabidi utoe ushahidi wa kisayansi ili jamii ikuelewe
Thus hawataki uraia pacha sababu diaspora wao awalogwi wapo mbali akili zao zipo fresh wanaogopa wataleta vuguvugu la mageuzi kwa maiti hai.CCM imelispoil sana taifa letu kwa matambiko ya kichawi
Basi uchawi haupoSayansi haina uwezo wa kuthibitisha uchawi
Nimeuliza , naitaji majibuWewe umeuliza na kuhitaji jibu ama ushaconclude mwenyewe kuwa asili yake aijulikani?
View attachment 2473444
MAJIRA YA LAANA YAMEKOMA, SASA NI MWANZO WA MAJIRA MAPYA YA BARAKA TELE KWA TAIFA LETU.
Leo nachukua fursa hii kumpongeza mama kwa kuupiga mwingi.
Rais wetu Samia Suluhu Hassan baada ya kusoma kuhusu laana zinazotumaliza kutokana na kukimbiza mwenge, akaamua auondoe na kuweka Tanzanite madini adhimu, adimu na ya thamani kubwa duniani.
Wachawi wa taifa hili walitaka tuendelee kuishi kwenye laana, hebu jiulize, iweje daraja la Tanzanite liwekewe mwenge badala ya Tanzanite?
Mama akaamua kuwatosa baharini wachawi wote, daraja limepata hadhi yake na thamani yake halisi.
Kitendo hiki kwenye ulimwengu wa kiroho ni pigo kubwa sana kwa wachawi ambao nia yao ilikuwa taifa liendelee kulala kwa huzuni kwa kuuabudu mwenge.
Isaya 50:11 SRUVDC
Tazama, ninyi nyote mwashao moto, mjifungiao hiyo mienge; endeni ninyi katika muali wa moto wenu, na katikati ya mienge mliyoiwasha. Mtayapata haya kwa mkono wangu; mtalala kwa huzuni.
Isaya 50:11 BHN
Lakini nyinyi mnaowasha moto, na kujifanyia silaha za mienge, tembeeni kwa mwanga wa moto huo, miali ya moto mliowasha nyinyi wenyewe. Mtakachopata kutoka kwa Mwenyezi-Mungu ni hiki: Nyinyi mtalala chini na mateso makali
Isaiah 50:11
[11]Behold, all you [enemies of your own selves] who attempt to kindle your own fires [and work out your own plans of salvation], who surround and gird yourselves with momentary sparks, darts, and firebrands that you set aflame!–walk by the light of your self-made fire and of the sparks that you have kindled [for yourself, if you will]! But this shall you have from My hand: you shall lie down in grief and in torment. [Isa. 66:24.]
Sayansi ni sehemu tu ya elimu zilizopo duniani na sio mwisho wa elimu.Basi uchawi haupo
HeeeeMwenge ni ushirikina mtupu. Kuna siri nzito sana kwenye mwenge wa washaji na wanao uzima ni waganga wa kienyeji.
He tried to cast it awayRIP Shujaa Magufuli
mbona wanaukimbiza kila mwaka sasa?View attachment 2473444
MAJIRA YA LAANA YAMEKOMA, SASA NI MWANZO WA MAJIRA MAPYA YA BARAKA TELE KWA TAIFA LETU.
Leo nachukua fursa hii kumpongeza mama kwa kuupiga mwingi.
Rais wetu Samia Suluhu Hassan baada ya kusoma kuhusu laana zinazotumaliza kutokana na kukimbiza mwenge, akaamua auondoe na kuweka Tanzanite madini adhimu, adimu na ya thamani kubwa duniani.
Wachawi wa taifa hili walitaka tuendelee kuishi kwenye laana, hebu jiulize, iweje daraja la Tanzanite liwekewe mwenge badala ya Tanzanite?
Mama akaamua kuwatosa baharini wachawi wote, daraja limepata hadhi yake na thamani yake halisi.
Kitendo hiki kwenye ulimwengu wa kiroho ni pigo kubwa sana kwa wachawi ambao nia yao ilikuwa taifa liendelee kulala kwa huzuni kwa kuuabudu mwenge.
Isaya 50:11 SRUVDC
Tazama, ninyi nyote mwashao moto, mjifungiao hiyo mienge; endeni ninyi katika muali wa moto wenu, na katikati ya mienge mliyoiwasha. Mtayapata haya kwa mkono wangu; mtalala kwa huzuni.
Isaya 50:11 BHN
Lakini nyinyi mnaowasha moto, na kujifanyia silaha za mienge, tembeeni kwa mwanga wa moto huo, miali ya moto mliowasha nyinyi wenyewe. Mtakachopata kutoka kwa Mwenyezi-Mungu ni hiki: Nyinyi mtalala chini na mateso makali
Isaiah 50:11
[11]Behold, all you [enemies of your own selves] who attempt to kindle your own fires [and work out your own plans of salvation], who surround and gird yourselves with momentary sparks, darts, and firebrands that you set aflame!–walk by the light of your self-made fire and of the sparks that you have kindled [for yourself, if you will]! But this shall you have from My hand: you shall lie down in grief and in torment. [Isa. 66:24.]
Mwenge ni mungu ndio maana anaombwa alete amani. Jiulize kile kimoto kinaletaje amani? Shetani haja yake kubwa ni kuabudiwa Rejea Mathayo 4:Kwann asitoboe , Kwan inahusiana vipi na Maisha yake?
Ni wachawimbona wanaukimbiza kila mwaka sasa?
Kwa hiyo uo wenge ni Kwa ajili ya uraisi, au ni tambiko Kwa ajili ya raisi?, Ili Mambo yake yaende vizurMwenge ni mungu ndio maana anaombwa alete amani. Jiulize kile kimoto kinaletaje amani? Shetani haja yake kubwa ni kuabudiwa Rejea Mathayo 4:
8Kisha Ibilisi akamchukua mpaka juu ya mlima mrefu, akamwonesha falme zote za ulimwengu na fahari zake, 9akamwambia, “Hivi vyote nitakupa kama ukipiga magoti na kuniabudu.” 10Hapo, Yesu akamwambia, “Nenda zako Shetani! Imeandikwa:
‘Utamwabudu Bwana Mungu wako
na kumtumikia yeye peke yake.’”
Ni wachawi
Dah ila haya ni matusi makubwa, hii ndio hatari ya hawa watu kubadilisha maneno kwenye vitabu vitukufu.Jioni (wakati wa jua kupunga) ni muda ambao mashetani wengi hutoka na kuanza kuzunguka zunguka. Mashetani wameiga utamaduni wa Mungu
Mwanzo 3:8
[8]Kisha wakasikia sauti ya BWANA Mungu, akitembea bustanini wakati wa jua kupunga.
And they heard the voice of the LORD God walking in the garden in the cool of the day: