Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

Hahaha bado unaweweseka
Hujui kuwa ndizi za dar 80% zinatoka Moshi? Hujui tunailisha Kenya ndizi na parachichi kwa 90%? Pole Sana
Kwani uliwahi sikia lini matajiri Kilimanjaro tumeomba? Nyie pambaneni kuondoa umaskini wenu huko lake zone Hali Ni mbaya nenda meatu, bariadi,solwa ,nyan'gwale kunatisha
 
Kwanza huko Kilimanjaro ni makaburini tu kama ilivyo Kinondoni makaburini. Nani anaishi huko ? Mkifa ndio mnapelekwa kuzikwa.
Naam lazma tuzikwe kwetu maana kumejengwa vizuri,nyie hamzikwi kwenu maana Ni aibu vijumba vya nyasi
 
Kwanza huko Kilimanjaro ni makaburini tu kama ilivyo Kinondoni makaburini. Nani anaishi huko ? Mkifa ndio mnapelekwa kuzikwa.
Kama tusingekuwa tunaishi huko hii ripoti inayosema Kilimanjaro Ni mkoa wa pili tz kuwa na maisha Bora je Ni maisha ya misukule au nyani?[emoji1][emoji1]
 
Mnashida sana na ikulu ndio maana kelele nyingiiii. Mtu umiliki robo eka ya mchaichai halafu ujione tajiri . hauko seroius.
Nishakwbia unaweweseka,lini tumekwambia tuna shida ya ikulu?
Kumiliki ekar moja ya ardhi au kumi sio kigezo Cha utajir,mbna kwenu mna ardhi kubwa lkn ni maskini wa kupindukia?
Kilimanjaro UCHAGANI ulishawah ona nyumba ya nyasi hata moja tu?
 
Kanda ya Ziwa yote High School enzi zake ilikuwa mpaka Tabora boys .
Sasa Kama mlikuwa hamna mwamko wa elimu shule zingejengwaje? Si mlikuwa busy kuozesha mabinti na kucheza bogobogo?
Kilimanjaro shule sio zote zimejengwa na serikali Bali wananchi walihamasika wakachanga wakajenga then serikali inamalizia , pia vyama vya ushirika Kama kncu vilijenga mashule mengi mfano lyamungo,kncu ilikuwa na hela Hadi inaikopesha serikali
nk nyie mlitegemea mjengewe kwa 100% na serikali? Thubutuuu
Mpango wa shule za kata sisi Kilimanjaro tulishaumaliza tangu miaka ya 90,kule Kilimanjaro mashule yapo mengi Hadi madarasa yanalaliwa na mijusi na popo
 
Mtakuja tu maana huko hapawatoshi. Mtaenda wapi ?
Tulishawekeza tz yote na tunazid kuwekeza Hakuna sehemu yoyote tz ambayo hatujawekeza,tena tukija tunawaamsha akili na kuibua maendeleo unaona faida ya akili kubwa?
 
Hawajui kuwa watu walipiga kitabu tangu enzi,wanadhani watu wa KILIMANJARO wamesoma kwa elimu za juz juz ,haawajui kule kitabu kimepigwa tangu kabla ya uhuru
 
Ukweli ni kwamba makabila yote yana watu wenye pesa na watu maskini. Sio wasukuma wote ni maskini na sio wachagga wote wana pesa.
 
Hawez kukuelewa huyu machinga, hongera mtani kwa kumjibu kisomi
This is how the educated ones must handle such petty questions
 
Wachagga wengi sana ni maskini. Ni machinga wa kulala kwenye kiosk chake, wauza vitunguu na nyanya pale Himo, makondakta wachafu wa magari ya Sanya juu, Umbwe, Wengine hawaongei hata kiswahili.
 
Hakuna umaskini huko usijitekenye. Hii ni kwa sababu kuna high density ya population
Hahahaha kumbe jibu unalo
Sasa Kama Kuna watu wengi halafu Hakuna resourses ulitegemea nn?
Pia kumbuka ripoti ya nbs kuhusu umaskini inaangalia factors muhimu Kama makazi, miundombinu, huduma za kijamii nk
sasa mikoa ya ziwa makaz Bora Ni ya kuwinda na manati(simaanishi mjini namaanisha vijiji kwenye population kubwa)
Pia huduma za jamii Kama umeme huko Kuna watu Hadi sasa hawajawah ona umeme,maji ya bomba nk kuna vingi acha niishie hapa
 
Wachagga wengi sana ni maskini. Ni machinga wa kulala kwenye kiosk chake, wauza vitunguu na nyanya pale Himo, makondakta wachafu wa magari ya Sanya juu, Umbwe, Wengine hawaongei hata kiswahili.

Wkt huo huko kwenu nyie bado hamjengi vyoo eti kisa hauwezi kunya choo kimoja na dingi na maza ako.
 
Naam watu kama huko kwa n@nizakale attitude yao Ni kuozesha mabinti na kuchezea nyoka na kupanda fisi sasa umaskini ukiwepo wanaanza kusema watu wengine walipendelewa
 
Kwanza hongera mangi kwa kupiga kitabu kwa level hiyo
Hawa watu Ni wabaguz lkn hawaoni ubaguz wao wamekakia kuisema Kilimanjaro tu kina nizakale
 
WAKATI KANDA YA KASKAZINI IKIIMARISHWA KWA SHULE NA MIUNDO MBINU MLIKAA KIMYA SASA HIVI TUNATAKA KUBALANCE MIDOMO JUU SEMENI MPAKA MCHOKE
Kaskazn sii level Yako kule hawana mindset za kucheza baikoko Kama ww
 
Lakini pia tujiulize swali; Ni wapi ubaguzi umefanyika? Watu wanalia ubaguzi dhanio. Ubaguzi uko wapi hasa? Wachagga wamebaguliwa wapi? Kwa sababu kwenye teuzi wapo mawaziri, wqkuu wa taasisi, makatibu tawala na mabalozi.Ni wapi hasa wachagga wamebaguliwa?
 
Lingine la kujiuliza linalochukua nafasi mada hii ni madai kwamba Kilimanjaro ikipendelewa; Ni wapi hasa Kilimanjaro ilipendelewa? Nani alipendelea? Alipendeleaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…