Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

Hahaha kumbe wapo Hadi buzirayombo,mganza?
 
Wanao lia hapa ooh ubaguz,Ni wale ambao walikuwa wanakula bata miaka ile,kipnd mnakula bata kipindi kile Kuna watu walikuwa wanateseka,Kama nyny mnahisi kubaguliwa kwa ss,Basi ujue kipnd kile pia Kuna watu walibaguliwa na nyny mkala bata.tulieni hivyohivyo dawa iingie.
 
Tusijikite katika kuenzi ubguzi wa aina yoyote nchi hii.
Mawazo kama haya hayajengi.
 
Hawa ndo wabaguzi namba moja nchi hii.nashangaa wanapiga kelele humu ndani.tulieni nchi ijengwe,kwa maslahi ya taifa lote.
 
Mkuu ukikubali kubagua ujue kuna muda utabaguliwa.
Miaka inaenda na kupanda mbegu za ubaguzi ni rahisi , tatizo utakapovuna maana ni kwa machungu.
Mwalimu aliepuka sana dhambi hii.
 
Hawa ndo wabaguzi namba moja nchi hii.nashangaa wanapiga kelele humu ndani.tulieni nchi ijengwe,kwa maslahi ya taifa lote.
Tupige kelele kwa Lipi? Mnaopiga kelele Ni nyie maskini
Kilimanjaro haina shida za kupiga kelele Kama Ni miundombinu vijijin ndio inaongoza,Kama Ni shule ndio inaongoza Kitaifa,Kama Ni kiuchumi Ni ya pili kwa watu wake kuishi maisha Bora kwa 90% baada ya dar,pole kwa chuki zako pambana na Hali yako maskini wa FIKRA wewe
 
Unathubutu kwa wilaya moja ?!. Mbogwe, Nyanghwale, Rorya nk zina nini ?! @ masanja
 
Mkuu ukikubali kubagua ujue kuna muda utabaguliwa.
Miaka inaenda na kupanda mbegu za ubaguzi ni rahisi , tatizo utakapovuna maana ni kwa machungu.
Mwalimu aliepuka sana dhambi hii.
inakera Sana ,watu walifanyiwa mazuri mpaka wakaanza kujinadi humu,na bado wanafanyiwa mazuri,Cha ajabu wakifaniwa mazuri na wenzao wafanane Kama wao,tayari kwao kero wanaamza kubwata ovyo.selfish selfish you people.
 
Ukabila hapa nchini upo kitambo Sana sema ni jambo ambalo tu watu hawajaamua kulizungumzia kwa muda mrefu ama ni kwakua ni wanufaika wa mfumo huo au kwa sababu nyingine mbali mbali.

Binafsi nimeona ajira zikitolewa kwa vigezo vya ukabila, tenda kadhaa hata maamuzi ya mahakamani na mpangilio wa kesi . Unakuta wakili ni wa kabila flani kesi yake anapangiwa hakimu au jaji wa kabila lake, hapo niambie unashindaje hiyo kesi.

Haya maswala yapo Sana na hayatakaa yaishe.
 
Kama unayajua hayo,unalialia nn,si utilize magoda!! Watu wajenge nchi??!! fikra zako zimekaa ki selfishness!!!! Nchi hii hatuhubiri Nani zaidi,tunataka equality.
 
inakera Sana ,watu walifanyiwa mazuri mpaka wakaanza kujinadi humu,na bado wanafanyiwa mazuri,Cha ajabu wakifaniwa mazuri na wenzao wafanane Kama wao,tayari kwao kero wanaamza kubwata ovyo.selfish selfish you people.
Mkuu usipojua historia ya nchi hii utatafuta maadui wa kufikirika na hatimaye kujipandia kambegu ka ubaguzi usio na tija.
Utafanya hivyo ukifikiri ndio unaweka mambo sawa.
Utaingiza Ukikuyu na Ujaluo.

Bahati nzuri wengine tulisoma enzi za Mwalimu na alilielezea vizuri sana tatizo unaloliongelea na alitoa na mwelekezo na mna ya kulitatua , elimu,
Kumbuka Mwalimu alikuwa Chancellor wa Chuo Kikuu cha DSM
 
Kama unayajua hayo,unalialia nn,si utilize magoda!! Watu wajenge nchi??!! fikra zako zimekaa ki selfishness!!!! Nchi hii hatuhubiri Nani zaidi,tunataka equality.
Nan anaepiga kelele Kati ya Mimi na wewe? Una stress pamoja na chuki za inferiority complex wewe karibu ROMBO KILIMANJARO uondoe stess huko migombani hadi maghorofa yapo usiogope
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…