Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

Kanda ya Ziwa yote High School enzi zake ilikuwa mpaka Tabora boys .
 
Mnashida sana na ikulu ndio maana kelele nyingiiii. Mtu umiliki robo eka ya mchaichai halafu ujione tajiri . hauko seroius.
 
Kwanza huko Kilimanjaro ni makaburini tu kama ilivyo Kinondoni makaburini. Nani anaishi huko ? Mkifa ndio mnapelekwa kuzikwa.
 
Kwani Gonja Mawole siyo Kilimanjaro au huko kwenye Magadi wilaya ya Siha siyo Kilimanjaro ? Kawadanganye wasiofika huko. Huko machame kwenyewe shina la mgomba kama paja la mbuzi, ardhi haina rutuba. Mnasema nyie matajiri ni lini Kanda ya Ziwa ilikuja kuomba msaada wa chakula huko ? We vipi ?
 
Afrikan nature
 
Eleza ni rais gani ametokea Kilimanjaro katika awamu zote zilizopita.
Usitake kupindisha mada ili kukidhi matakwa yako tu na kusahau kwamba wanaokusoma wana ufahamu zaidi ya ulio nao wewe.
Na hatatoka huko Rais wa nchi hii kwa ubaguzi wenu wa kidenzi. Mtatawaliwa mpaka mwisho wa dahari.
 
Vipi utaratibu wa kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa chato wakati Arusha au mwanza au geita hamna ni sawa?
Ni sawa.sio lazima kilichopo arusha na mwanza kiwepo,au kilichopo geita na dodoma kiwepo,au kilichopo lindi na tanga kiwepo.ndio maana ikaitwa nchi.wanauchumi wanayajua haya , resources allocation, distribution and sharing.
 
Na hatatoka huko Rais wa nchi hii kwa ubaguzi wenu wa kidenzi. Mtatawaliwa mpaka mwisho wa dahari.
Kwani wewe ni shetani atakayezuia waTanzania wakiamua?
Hapo ulipo wewe ni mbaguzi zaidi ya hao unaowaita wabaguzi.

Kwa nini urundike watu wote wa eneo katika kundi moja; mbona huko kwenu kuna watu wenye akili timamu kuliko yako? Kamwe hatuwezi kuwaweka ndugu na jamaa wooote wanaotokea huko unakotoka wewe kuwa nao wote ni wapuuzi kama wewe. Kama ni ukichaa ni wako, sio wa hao ndugu zetu waTanzania wengine unaojifanya kuwasemea hapa.
Bure Kabisa.
 
nani alibaguliwa fara
acha kukurupukia topic,Hilo swali muulize mtoa mada,Kama hukumuelewa tafuta reply ya joesky pia.kwa nn wanasema Bora kugawa majimbo?!!! acha jazba njoo na hoja,unaongea na mtu mwenye akili kubwa bwna mdogo. Magoda yako wewe!!! Zzzzzyuhuuuu!!!!
 
Utaendaje kujenga hospital ya wilaya kijijni ukaacha Makao Makuu ya Wilaya ?
wewe umelewa CHUKI tu. hujui historia ya wilaya ya mwanga na mkoa kilimanjaro kwa ujumla upo hapa kubwabwaja tu.

kukuelewasha ni kwamba mwaka 1980 wakati wilaya ya mwanga inaanzishwa kulikuwa hakuna hospitali ya wilaya. sasa badala ya serikali kujenga hospitali mpya, kituo cha afya cha usangi kilipandishwa hadhi kuwa hospitali ya wilaya.

hata bila ya ukweli huo wa kihistoria, hakuna suala la upendeleo hapo. kwanza, mwanga mjini na usangi ziko ktk wilaya moja. pili, mbunge cd msuya unayemsingizia kuwa ana upendeleo, hatokei usangi, kwao ni chomvu.
 
Kanda ya Ziwa yote High School enzi zake ilikuwa mpaka Tabora boys .

Tabora Boys ilikuwa ni shule ya serikali ya mkoloni. sasa tueleze enzi za Tabora Boys kulikuwa na shule gani nyingine ya serikali ya mkoloni ktk Tanganyika? wasomi wa nchi nzima waliokuwa wakisomeshwa na serikali miaka ya 1950 na 60 walikuwa wanapelekwa Tabora Boys na wakifaulu wanakwenda Makerere. Nakushauri usome HISTORIA utaona kwamba Tabora ilichukua wanafunzi toka kanda zote za Tz. Viongozi wengi ktk awamu ya kwanza walisoma pamoja Tabora na baadae wakasoma Makerere.
 
Sawa mwalimu hakupendelea kwao ila alipendelea maeneo mengine,ndo maana Kuna maeneo tofauti na mara yamekua na maendeleo kuliko mkoa wa Mara toka enzi zake.Usipo wapenda wa kwenu ww ni mtumwa.
 
Huo ndio ukweli mchungu
 
Tanga school
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…