Kuongezeka kwa vijana waokota makopo

Kuongezeka kwa vijana waokota makopo

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Hali sio shwari wadau kuna jambo limeibuka vijana wengi wameji ingiza kwenye hii shughuli ya kuokota makopo na kwenda kupima ili kupata mkate wa kila siku.
Miaka ya nyuma tulizoea kuona vichaa na wavuta madawa "mateja" ndio ilikuwa kazi yao hii. Leo hii nimeshangaa kuona hadi wasomi wameingia kwenye kuokota makopo wakapime kwa Hali tulipofikia Hali ni mbaya ni vizuri serikali ikaangalia jinsi kuleta mabadiliko kwenye sector ya kilimo pengine itasaidia kuondokana na wimbi la huu umaskini
 
Hali sio shwari wadau kuna jambo limeibuka vijana wengi wameji ingiza kwenye hii shughuli ya kuokota makopo na kwenda kupima ili kupata mkate wa kila siku.
Miaka ya nyuma tulizoea kuona bidhaa na wavuta madawa "mateja" ndio ilikuwa kazi yao hii. Leo hii nimeshangaa kuona hadi wasomi wameingia kwenye kuokota makopo wakapime kwa Hali tulipofikia Hali ni mbaya ni vizuri serikali ikaangalia jinsi kuleta mabadiliko kwenye sector ya kilimo pengine itasaidia kuondokana na wimbi la huu umaskini
Vijana wakiumee wameamua kuokota makopo maana njaa kalii kaka.
Vijana wakikee wameamu kujiuzaa mitandaonii maana njaaa kalii...

Nani mkombozi???
 
Hali sio shwari wadau kuna jambo limeibuka vijana wengi wameji ingiza kwenye hii shughuli ya kuokota makopo na kwenda kupima ili kupata mkate wa kila siku.
Miaka ya nyuma tulizoea kuona vichaa na wavuta madawa "mateja" ndio ilikuwa kazi yao hii. Leo hii nimeshangaa kuona hadi wasomi wameingia kwenye kuokota makopo wakapime kwa Hali tulipofikia Hali ni mbaya ni vizuri serikali ikaangalia jinsi kuleta mabadiliko kwenye sector ya kilimo pengine itasaidia kuondokana na wimbi la huu umaskini
yaani ndugu yangu we acha tu hata huku kwetu wapo mimi huwa nashangaaga tu hali ni ngumu huku mtaani.
 
Unajua inahitajika chupa ngapi za maji ifikishe kilo 1? Je kilo 10?

Bei yake unajua?

Hii biashara ni ngumu sana na hailipi kama ulivyosema, ni vile tu ajira hakuna na mtaji hakuna.
Mimi na mzee wangu kwenye shughuli ya usafi huwa tunayakusanya makopo mengi tunayajaza kwenye stoo then tunapima baada ya wiki unapata kahela ka kusevu kwa siku hiyo.
 
Hali sio shwari wadau kuna jambo limeibuka vijana wengi wameji ingiza kwenye hii shughuli ya kuokota makopo na kwenda kupima ili kupata mkate wa kila siku.
Miaka ya nyuma tulizoea kuona vichaa na wavuta madawa "mateja" ndio ilikuwa kazi yao hii. Leo hii nimeshangaa kuona hadi wasomi wameingia kwenye kuokota makopo wakapime kwa Hali tulipofikia Hali ni mbaya ni vizuri serikali ikaangalia jinsi kuleta mabadiliko kwenye sector ya kilimo pengine itasaidia kuondokana na wimbi la huu umaskini
Nani akulete mabadiliko kwenye sector ya kilimo

Acha tu waendele kujingizia kipato
Kwa kuokota makopo.....

Ova
 
Wache waseme tu hawajui kuwa recycling inalipa sana. Wanasubiri elfu ishirini nyongeza ya serikali halafu wanakuja kupiga kelele.
Recycling inalipa ukiwa na kiwanda sio kuokota makopo. Kilo moja mtu atakupa 4OO! Gunia kubwa ubebalo likely lina kilo 3 sasa ujaze gunia kiasi gani ili ufikie 1OK ambayo kujikimu haitoshi kwa siku nzima.
 
Back
Top Bottom