Kuongezeka kwa vijana waokota makopo

Kuongezeka kwa vijana waokota makopo

Hali sio shwari wadau kuna jambo limeibuka vijana wengi wameji ingiza kwenye hii shughuli ya kuokota makopo na kwenda kupima ili kupata mkate wa kila siku.
Miaka ya nyuma tulizoea kuona vichaa na wavuta madawa "mateja" ndio ilikuwa kazi yao hii. Leo hii nimeshangaa kuona hadi wasomi wameingia kwenye kuokota makopo wakapime kwa Hali tulipofikia Hali ni mbaya ni vizuri serikali ikaangalia jinsi kuleta mabadiliko kwenye sector ya kilimo pengine itasaidia kuondokana na wimbi la huu umaskini
Ajabu ni kuwa watu wanaotoa tahadhari za maana kama wewe wanaitwa siyo wazalendo na wanaosifia ujinga huitwa wazalendo. Mkuu umetoa angalizo muhimu kweli kweli. Na hali bado ndiyo mbichi kabisa. Ukija kwenye braketi ya umri wa miaka 7 mpaka 16, kuna raia wengi kama nyuki. Ina maana miaka kumi ijayo kusipokuwa na maandalizi yoyote hali nchi inaweza isitawalike. Tanzania tuna ardhi na maji, na tuna uwezo kabisa wa kuilisha dunia kama tungekuwa na viongozi makini.
 
Hali sio shwari wadau kuna jambo limeibuka vijana wengi wameji ingiza kwenye hii shughuli ya kuokota makopo na kwenda kupima ili kupata mkate wa kila siku.
Miaka ya nyuma tulizoea kuona vichaa na wavuta madawa "mateja" ndio ilikuwa kazi yao hii. Leo hii nimeshangaa kuona hadi wasomi wameingia kwenye kuokota makopo wakapime kwa Hali tulipofikia Hali ni mbaya ni vizuri serikali ikaangalia jinsi kuleta mabadiliko kwenye sector ya kilimo pengine itasaidia kuondokana na wimbi la huu umaskini
Sukuma gang on the move
 
Hali sio shwari wadau kuna jambo limeibuka vijana wengi wameji ingiza kwenye hii shughuli ya kuokota makopo na kwenda kupima ili kupata mkate wa kila siku.
Miaka ya nyuma tulizoea kuona vichaa na wavuta madawa "mateja" ndio ilikuwa kazi yao hii. Leo hii nimeshangaa kuona hadi wasomi wameingia kwenye kuokota makopo wakapime kwa Hali tulipofikia Hali ni mbaya ni vizuri serikali ikaangalia jinsi kuleta mabadiliko kwenye sector ya kilimo pengine itasaidia kuondokana na wimbi la huu umaskini
Vibaya kuiba mkuu, wacha wajitafutie ridhiki na kutimiza malengo ya ilani ya ccm
 
Hali sio shwari wadau kuna jambo limeibuka vijana wengi wameji ingiza kwenye hii shughuli ya kuokota makopo na kwenda kupima ili kupata mkate wa kila siku.
Miaka ya nyuma tulizoea kuona vichaa na wavuta madawa "mateja" ndio ilikuwa kazi yao hii. Leo hii nimeshangaa kuona hadi wasomi wameingia kwenye kuokota makopo wakapime kwa Hali tulipofikia Hali ni mbaya ni vizuri serikali ikaangalia jinsi kuleta mabadiliko kwenye sector ya kilimo pengine itasaidia kuondokana na wimbi la huu umaskini
Pole kwa kuwa na mtazamo wa kizamani. Siku hizi kazi ni kazi mradi ujipatie kipato cha kuedesha maisha yako. Kazi ya kuokota makopo inahitaji mtu mwenye msimamo na moyo mkubwa sana. Watu wengi wanaona aibu- lakini kama wewe ni msomi na umeweze kuokota makopo- hakuna kazi yoyote inayoweza kukushinda hapa duniani. Kwenye vyombo vya habari nimesikia SUMA JKT wameagiza magari ya kukusanya taka taka barabarani- hii inaonyesha biashara ya taka inalipa na kutengeneza ajira. Kwa vijana.
 
Kilo moja ya makopo ya maji aina hii ya plastic uitwa PET waokota makopo uuza vijiweni sh 400 hadi 500 kwa kilo vijiweni uuza viwandani kwa sh 700.
.Plastic ya aina ya plastic ngumu uitwa HDPE mfano ndoo,mabeseni,viti,nk waokotaji uuza vijiweni sh 700 had 800 kwa kilo, vijiweni uuza 900 hadi 1000 kwa kilo viwandani, baada ya kusaga chenga za plastic chupa za maji uuzwa sh 900 hadi 1050 kwa kilo na plastic ngumu uuzwa kwa Wachina kuanzia 1300 hadi 1500.
 
Vijana wakiumee wameamua kuokota makopo maana njaa kalii kaka.
Vijana wakikee wameamu kujiuzaa mitandaonii maana njaaa kalii...

Nani mkombozi???
Tena telegram pana madalali kabisa unachagua sample,sema tu wengine tushastaafu mazoezi ya mtu na mtu.
Upande wa kina dada ni mtihani Sana kwa maisha ya sasa maana kupata Kazi ni mtihani kupata mume napo ni mtihani.
 
Unajua inahitajika chupa ngapi za maji ifikishe kilo 1? Je kilo 10?

Bei yake unajua?

Hii biashara ni ngumu sana na hailipi kama ulivyosema, ni vile tu ajira hakuna na mtaji hakuna.

Inalipa kwa wenye vijiwe vya kukusanya,wenye mashine za kusaga plastic na wanunuzi wa chenga za plastic.
 
Kilo bei gani?
Hapa mitaa kilo ni 850 - 950/=

Aidha bidhaa zingine chakavu bei zake ni
  • Mabox sh 300/= kwa kilo
  • Plastic za vyombo 700/=
  • Aluminum 3000/=
 
Chupa za plastic za maji zikisagwa usafirishwa nje ya nchi ulaya, china kule pana demand kubwa Sana zinaenda viwandani kutengeneza nguo, viatu, na bidhaa zote za leather.
Plastic ngumu zinatengeneza mabomba ya maji, na vitu vingine
 
Nina mpango wa kuzalisha mbolea za taka za mazao uhakika wa soko la mbolea hai upoje yaani mbolea vunde, mbolea ya asili isiyo na chemical.
 
Ajabu ni kuwa watu wanaotoa tahadhari za maana kama wewe wanaitwa siyo wazalendo na wanaosifia ujinga huitwa wazalendo. Mkuu umetoa angalizo muhimu kweli kweli. Na hali bado ndiyo mbichi kabisa. Ukija kwenye braketi ya umri wa miaka 7 mpaka 16, kuna raia wengi kama nyuki. Ina maana miaka kumi ijayo kusipokuwa na maandalizi yoyote hali nchi inaweza isitawalike. Tanzania tuna ardhi na maji, na tuna uwezo kabisa wa kuilisha dunia kama tungekuwa na viongozi makini.
Vijana wametelekezwa wizara ya vijana haina ubunifu wowote.
Raslimali tele zimejaa hazitumiki.
 
Sababu ya ukosefu wa ubunifu nchini, Hakuna uwiano wa raslimali tele zilizopo na wasaka ajira. Raslimali na fursa ni nyingi Sana kuliko idadi ya watu. Fursa zinaonwa na wageni tu. Hata recycling industry inaweza ikaajiri wengi tu.
 
Recycling inalipa ukiwa na kiwanda sio kuokota makopo. Kilo moja mtu atakupa 4OO! Gunia kubwa ubebalo likely lina kilo 3 sasa ujaze gunia kiasi gani ili ufikie 1OK ambayo kujikimu haitoshi kwa siku nzima.
Hata hizo mizani wanazotumia kupimia hayo makopo zimekaa kiwizi sana.

Ukiona kilo 4 ujue kilo halisi ni kama 6 hivi.
 
Back
Top Bottom