Kuongezeka kwa vijana waokota makopo

Kuongezeka kwa vijana waokota makopo

Mimi na mzee wangu kwenye shughuli ya usafi huwa tunayakusanya makopo mengi tunayajaza kwenye stoo then tunapima baada ya wiki unapata kahela ka kusevu kwa siku hiyo.
Kilo bei gani?
 
Kazi sio makopo tu wake wanapeleka makopo, magunia au masalfeti machakavu, chupa za konyagi, kvant, wine, chuma chakavu chote, madumu na ndoo zilizochoka kwahiyo kutwa nzima japo anachoka kupiga elfu ishirini waliyoongezewa wafanyakazi ni kitu cha kawaida kabisa
 
Hiyo biashara inalipa sana japo watu wanaichukulia poa
1 tonne ya makopo ni laki 4, sasa achague aokote makopo au awacheke waokota makopo. Siku ambayo atajifunza "solid waste management" ataacha kuwacheka hawa waokota makopo. Utupaji ovyo taka wa wengi umekuwa fursa kwa waokota makopo kupiga fedha maana wao wanakwenda kuuza na wengine wananunua huku wakiingia kitaa kukusanya.

Tena mie huwa nina wa-support kwa kutunza taka ngumu zote wakipita tu nawapa limfuko au nawapelekea wananilinda hata kama ni buku 2
 
Nch hii kuna watu waajabu mada nzuri kama hii mnaleta mzaha
Hii ni kazi kama ilivyo kazi nyingine na tena ukipata ka-mashine ka kushindilia mzigo utapiga hela nyingi maana utakuwa una uwezo wa kusafirisha mzigo mkubwa. Ofisi ya kwanza unaiweka dampo, kwenye miji hii mikubwa kuna madampo ya kisasa na yana uzio kabisa, pale unakuwa na vijana wako wa kazi mnapiga kazi kwa umoja alafu ofisi yako ya pili unanunua majaba makubwa unaweka kwenye kumbi za harusi au mikutano (ila unaongea nao kama sehemu ya kuku-support maana mswahili hakawii kukupiga hela wakati hapo na wewe unamsaidia kuondoa uchafu. Na ofisi ya tatu ni kuzama mtaani kwa kushirikia na vijana wengine ambao kimsingi unawapoza.

Kwa siku za mbele huku ukiendelea na mchakato ni kufungua kampuni / kikundi kinachojikita na usafi ambapo kupitia hicho kikundi kitarahisha pia upatikanaji wa malighafi kwa unafuu na tena unawajengea wateja wako utaratibu wa kutenganisha taka
 
Recycling inalipa ukiwa na kiwanda sio kuokota makopo. Kilo moja mtu atakupa 4OO! Gunia kubwa ubebalo likely lina kilo 3 sasa ujaze gunia kiasi gani ili ufikie 1OK ambayo kujikimu haitoshi kwa siku nzima.
Niliwahi kuona mtu anaokota nikamuuluza gunia moja ukiuza unapata sh ngapi akaniambia 2000 nikashangaa sana
 
Hii ni kazi kama ilivyo kazi nyingine na tena ukipata ka-mashine ka kushindilia mzigo utapiga hela nyingi maana utakuwa una uwezo wa kusafirisha mzigo mkubwa. Ofisi ya kwanza unaiweka dampo, kwenye miji hii mikubwa kuna madampo ya kisasa na yana uzio kabisa, pale unakuwa na vijana wako wa kazi mnapiga kazi kwa umoja alafu ofisi yako ya pili unanunua majaba makubwa unaweka kwenye kumbi za harusi au mikutano (ila unaongea nao kama sehemu ya kuku-support maana mswahili hakawii kukupiga hela wakati hapo na wewe unamsaidia kuondoa uchafu. Na ofisi ya tatu ni kuzama mtaani kwa kushirikia na vijana wengine ambao kimsingi unawapoza.

Kwa siku za mbele huku ukiendelea na mchakato ni kufungua kampuni / kikundi kinachojikita na usafi ambapo kupitia hicho kikundi kitarahisha pia upatikanaji wa malighafi kwa unafuu na tena unawajengea wateja wako utaratibu wa kutenganisha taka
Jamaa hawaelewi hili, wao ni kulalamika tu wabongo ni wavivu, binafsi sijawahi kuwaza ajira napambana kivyangu kunusuru familia yangu kwenye umaskini.
 
Recycling inalipa ukiwa na kiwanda sio kuokota makopo. Kilo moja mtu atakupa 4OO! Gunia kubwa ubebalo likely lina kilo 3 sasa ujaze gunia kiasi gani ili ufikie 1OK ambayo kujikimu haitoshi kwa siku nzima.
Si kuna mturuki ananunua plastic Ana machine Ana saga alafu Ana export ulaya huko
Waokota makopo lazima wawepo

Ova
 
Hali sio shwari wadau kuna jambo limeibuka vijana wengi wameji ingiza kwenye hii shughuli ya kuokota makopo na kwenda kupima ili kupata mkate wa kila siku.
Miaka ya nyuma tulizoea kuona vichaa na wavuta madawa "mateja" ndio ilikuwa kazi yao hii. Leo hii nimeshangaa kuona hadi wasomi wameingia kwenye kuokota makopo wakapime kwa Hali tulipofikia Hali ni mbaya ni vizuri serikali ikaangalia jinsi kuleta mabadiliko kwenye sector ya kilimo pengine itasaidia kuondokana na wimbi la huu umaskini
...Sio makopo! Ni chupa za Maji na juisi za plastiki ... Na wanasadia Sana katika kuiweka miji yetu safi...la sivyo chupa za plastiki zingekuwa zimezagaa ovyo! Waponezwe!
 
Si kuna mturuki ananunua plastic Ana machine Ana saga alafu Ana export ulaya huko
Waokota makopo lazima wawepo

Ova

Yule mturuki unamfahamu? Basi wale jamaa ukiwa na center yako ya kukusanyia makopo wewe mtaji wako ni muunzani tu hasa kipindi cha jua uwe na kijana mwaminifu upate location nzuri mtaji wa laki nne kulaza mia hamsini kila wiki ni kawaida kabisa, tena uifanye kwa ustaadi mtu anapima mzigo na kuondoka isiwe tena ndio kijiwe cha kuuza na kuvutia bange na unga maana watoto wa mjini walijiongeza ikawa ndio sehemu za biashara na kulaza mateja, hapo anzia makopo ya maji, kopo za redbull, chupa za wine, sandarusi, salfeti vyote vina soko tofauti maana plastiki inasagwa ni malighafi, sandarusi hutengeneza mifuko mipya tena baada ya kusagwa kwa hiyo ile kazi binafsi siwezi kuibeza kikubwa uifanye kiubunifu na mazingira plus uaminifu uwe juu.
 
Kazi sio makopo tu wake wanapeleka makopo, magunia au masalfeti machakavu, chupa za konyagi, kvant, wine, chuma chakavu chote, madumu na ndoo zilizochoka kwahiyo kutwa nzima japo anachoka kupiga elfu ishirini waliyoongezewa wafanyakazi ni kitu cha kawaida kabisa
...Na Mfanyakazi wakati anaingoja Alfu Ishirini Kwa Mwezi, yeye anaweza kuipata Kila siku!....
 
Ni sawa na biashara ya chuma chakavu kutoka msumbiji na malawi watu washatajirika miaka mingi, maana malawi walikua wanakuuzia hadi gari nzima kama chuma chakavu unaikata ukirudi bongo unatengeneza unauza kama nzima mtu atahangaika kuisajili mwenyewe, gari za Mo hadi leo wanang’ata chuma chakavu na biashara kama hauijui kamwe usiiseme au kuidharau kabisa yule unaemwona kama mwehu anaweza kukupiga gap parefu
 
Any hustle is a real hustle hivo wapambanaji usije kukatishwa tamaa kua kazi unayofanya hailipi, wewe pambania kombe hadi dakika ya mwisho huku ukiongeza ubunifu ndio maana ya mapambano
 
Back
Top Bottom