Kuongezeka kwa vijana waokota makopo

Kuna mwamba anapita kitaa chetu kuokota makopo.

Siku akagonga geti, akawa anaulizia makopo. Bahati nzuri tulikuwa tumefanya house party siku kama 4 nyuma, tukakusanya makopo yaliyotumika sehemu moja.

Jamaa alijaza almost nusu ya mfuko wake.

Toka siku hiyo namkusanyia makopo, kila j2 anakuja kuchukua mzigo wake.
 
Dah bonge la biashara ....

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Sababu ya ukosefu wa ubunifu nchini, Hakuna uwiano wa raslimali tele zilizopo na wasaka ajira. Raslimali na fursa ni nyingi Sana kuliko idadi ya watu. Fursa zinaonwa na wageni tu. Hata recycling industry inaweza ikaajiri wengi tu.
Huyu mleta uzi huu hajui hustling

Inaelekea yeye anaishi kwa kutegemea mshahara, karidhika
Hapo alipo

Ova
 
Haya ni marobota ya makopo ya chupa za maji each kilo 200 yapo mkao wa kusafarishwa viwanda vya ulaya na china, uongozwa kwenye makontena ya futi 40.Bei inategemea soko la dunia. Bei zote zipo google.
 

Attachments

  • file-20201022-17-zhqad8.jpg
    270.3 KB · Views: 18
  • file-20200619-43229-iojclp.jpg
    161.4 KB · Views: 15
  • Australian-Company-Claims-It-Can-Recycle-Plastic...-ANY-Plastic.jpg
    71.3 KB · Views: 16
  • plastics-cover-1(1).png
    530.6 KB · Views: 17
Huyu mleta uzi huu hajui hustling

Inaelekea yeye anaishi kwa kutegemea mshahara, karidhika
Hapo alipo

Ova

Unajua wanadai eti wanaipatia tahadhari serikali hiko ni kichekesho, wasomi wasome hawatokuja kuajiriwa wote kwa sababu serikali zetu bado zina uchumi wa tia maji tia maji, na serikali haijawahi kuiona fursa ikawaelekeza watu, watu ndio huona fursa na serikali hutunga sheria ili na yenyewe pale kwenye fursa wapate chochote ikiwamo kodi, Siri ya biashara ya makopo wanaijua wanaoifanya, kutafuta ukiremba mbona utapoteana tu baadae
 
Unajua inahitajika chupa ngapi za maji ifikishe kilo 1? Je kilo 10?

Bei yake unajua?

Hii biashara ni ngumu sana na hailipi kama ulivyosema, ni vile tu ajira hakuna na mtaji hakuna.
Kg 1=400

Kwa siku mtu wa kawaida mwenye kupambana anatoka na kg 30-40 Kwa maana neti Moja,

Kwa mtu aliyepo dampo kabsa anaweza kimbiza mpaka kg -50-60
40times 400= 16000

NB: hio Kasi unayoiona ni vile bei imefumka IPO juu tofauti na kipimdi Cha nyuma kg Moja ikiwa mia hamsini.
 
Si kuna mturuki ananunua plastic Ana machine Ana saga alafu Ana export ulaya huko
Waokota makopo lazima wawepo

Ova
Huyo mturuki huenda akawa anatoa hela ya maana sio hawa wanaonunua gunia sh.4OO kwa teja.
 
Kilo 4O za makopo msifanye masihara yani. Unless uniambie unachanganya na material mengine. Halafu ukimaliza unatoka na 16,OOO tu!? Aisee kwa ile hustle acha tu niendelee kupambana na udalali.
 
Hii biashara Ina utajiri hatari Mimi nilifanya ya kusaga plastic, mashine ikanizingua najipanga kuagiza mashine za kisasa toka china za kusaga plastic.
Kusaga plastic kisha ulikuwa unafanyaje baada ya kuisaga? Unaiuzaje
 
Hii taarifa nzuri sana na imejitosheleza.
 
Hii issue juzi tu tulikuwa tunaijadili na jamaangu baada yakumuona kijana tunaemfahamu akiwa anaokota hayo makopo, kipindi cha nyuma alikuwa bishoo sana.
 
Kumbe ni chain ndefu ya biasharaa...!! Sema kuokota mpaka yafike kilo sio mchezoo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…