Kuota mambo ya shule ni nini tafsiri yake?

Kuota mambo ya shule ni nini tafsiri yake?

Nitajaribu kujibu kwa kadiri ya uwezo wangu na uelewa wangu.

1.KUOTA UKO SHULE

Kwa tafsiri ya kawaida kabisa ni hivi, tunapeleka watoto shule ili kuwaandaa kwa ajili ya maisha yao ya baadae hivyo TAFSIRI ya mojawapo ya SHULE kwenye NDOTO ni MAANDALIZI.

Hivyo kuota kuwa upo shuleni,TAFSIRI mojawapo ni kuwa KUNA MAANDALIZI (FULANI) ambayo unapewa ALERT kuwa unapaswa KUYAFANYA kwenye specific area ya MAISHA yako..

Au hii yaweza kuwa alert unapewa kuwa Kuna maandalizi fulani ambayo ulipaswa kuyafanya na hukuyafanya na ndio sababu ya ww kukwama mahala fulani fulan kwenye maisha yako hivyo unapewa sign kwamba SHTUKA na chukua hatua ili UTOKE HAPO ULIPONASA

NB:Kibarua sasa ni hiki
NI WAJIBU WAKO KUJUA kujua ni wapi hapo ulipokwama na NI AINA GANI YA MAANDALIZI UNAPASWA KUJIANDAA for future au ulipaswa kujiandaa na hukujiandaa.

2. KUOTA UKO DARASA FULANI AU LEVEL FULANI (primary/secondary/high school au chuo)

Kwa tafsiri niliyosema kwamba Shule ni maandalizi hapo juu basi TAFSIRI ya kuota upo darasa gani au level gani, hii maana yake ni KIWANGO CHA MAANDALIZI unachohitaji KWA HATUA ILIYO MBELE YAKO (future),AU ili uvuke kufika unakopaswa KUWEPO sasa (PRESENT) au ili UTOKE ULIPONASA ambapo ndio sababu ilio ku hold usipige hatua hadi leo (PAST) (kimaisha kiafya kijamii kicheo kiroho kimahusiano kiuchumi nakadhalika inategemeana tu na MKWAMO wako)

Hivyo kuota uko darasa au level ambayo kimsingi ulishapita yaweza kuwa tafsiri kuwa u need to fix something in you past.Uli pita level hiyo lakin kuna eneo katika eneo hilo hukufanya sawa sawa now it has become ur stambling block so get rid of it first uendelee na maisha mana kwa hapo ulipo maandalizi yale kwenye level ile uliopita hayakua sawa sawa.FIX UR PAST TO UNLOCK UR CURRENT OR FUTURE SITUATION

Ukiota uko LEVEL ya JUU ambayo HUJAFIKA BADO mfano umeota uko high school na wakat elim yako ni secondary au unaota uko Diploma au Degree chuo wakati elim yako ni High school uliishia au unaota uko masters au Phd wakati ulifanya Degree tu basi TAFSIRI yake ni MAANDALIZI unayoyahitaji for FUTURE which just yet and on the way TO COME / HAPPEN TO YOU. Hivyo unahitaji maandaliz ya juu ambayo kwasasa HUNA na usipojiandaa basi UTAKWAMA au UNACHOPASWA KUPATA / KUEPUKA for your FUTURE'S SAKE itakula kwako.


3. KUOTA UNAFANYA MTIHANI.
Tafsiri ya mtihani ni KIPIMO CHA MAANDALIZI uliojiandaa nayo. Unaweza ota uko shule tu na hakuna mtihani maana yake unahitajintubkujiandaa lakin unaweza ota uko shule UNASOMA NA BAADAE KUNA MTIHANI, sasa basi;

ukiota unafanya mtihani maana yake ili utoke hapo ulipo au ili ufanikiwe unapokwenda huhitaji tu kufaya maandalizi ili kuvuka maandalizi hayo unayopaswa kufanya YATAPIMWA ,ili kupata GO AHEAD kwenye suluhisho unalohitaji.

3A. KUOTA SOMO UNALOFANYIA MTIHANI
Kwa tafsiri ya shule kama maandalizi na darasa/level uliopo kuwa Kiwango cha maandalizi basi kuota unafanya mtihani wa somo FULANI tafsiri moja wapo ya hii kitu ni AINA YA MAANDALIZI UNAYOHITAJI. hivy ukiona unaota sio tu uko shule bali uko level flan na pia unafanya mtihani tena mtihani wa somo fulani maana yake ndoto hii inakuwa MORE SPECIFIC kukusaidia kujua EXACTLY what you are supposes to DO TO PREPARE URSELF.It is ur task to find WHAT WHEN HOW.

3B. KUOTA UNAFANYA MTIHANI MGUMU SANA AUBWA KAWAIDA AU MWEPESI

Tafsiri iko wazi..Huu ni ugumu au wepesi wa JARIBU /TEST that is ahead of you..Kwamba kipimo utakachopimwa kitakua ndani ya uwezo au nje ya uwezo wako kulingana na maandalizi uliofanya.

3C.KUOTA UME FELI AU UMEFAULU
Hii nadhan kwa maelezo marefu niliotoa hapo juu nadhani itakuwa HOMEWORK rahis tu kujiongeza
Na maranyingine unaota mpaka MARKS ULIZO SCORE.

4.KUOTA UKO DARASANI NA WATU WENGINE UNAOWAJUA AMBAO KIMSINGI WALIKUTANGULIA KUSOMA ILA UNAOTA UKO NAO DARASA MOJA AU MNAFANYA MTIHANI MMOJA AU MKO SHULE MOJA.

Hii nadhan ukielewa maelezo yangu haponjuu utaweza kujua maanda yake nini

5. KUOTA UKO DARASA HILO/ LEVEL HIYO MARA KWA MARA.
Pia waweza kuta unaona unafanya mtihani huo mara kwa mara au uko shule hiyo hiyo mara kwa mara..Hii pia ina maelezo yake na kwa kiasi unaweza ukajiongeza mwwnyewe kw maelezo marefu niliokwisha tangulia kuyatoa hapo juu.

6. MSISITIZO.
Ukiona unaota ndoto hiz mara kwa mara basi USIPUUZIE chukua hatua .

Kwasababu gani?
Kwasabau simetimes SIO KILA NDOTO ya kuwa nayo SERIOUS maana ndoto zingine huja kwa sababu umewaza sana jambo au kwasababubu ya shughul na mambo kuwa mengi so mind ina mix mafile lakin sometimes ndoto yaweza kuwa inatoka kwa Mungu/mungu unayemwamini wewe ili kukuonya na kukupa ONYO au TAHADHARI about future au ALERT wapi umekwama ili UTOKE.

ni hayo. Am open for critisism.
Eyce Carleen Mshana Jr Pascal Mayalla to yeye Vishu Mtata financial services
Huwa naota hii ndoto na haijapita hata wiki na cha ajabu niliota nipo advance na ndoto ilikuwa na uhalisia hadi nikaamka bado nina wenge la kujiuliza kama nishapita chuo kweli au nisubiri kujaza application forms 😁😁


Shukrani kwa ufafanuzi

Nitakucheki pia unipe tafsiri zaidi 🙏🙏
 
Na mimi huwa naota pia , tena naota nafanya pepa gumu sioni hata swali la kujibu, au naota nimechelewa kuingia kwenye chumba cha mtihani, nilishawahi kuota sina calculator hivo nikashindwa kusolve maswali kabisa na huwa roho inauma hadi nikishtuka hivi kwamba ilikua ni ndoto ndiyo nashukuru na kupata amani, sijui ni nini tafsiri yake 🤔
Ukiota unafanya mtihani manake kuna jambo gumu linataka kuja kwako either kwenye finance zako,mahusiano or elsewhere!
Unatakiwa umuombe Mungu akuepushe au kama linapaswa kuja basi muombe Mungu akusaidie kuvuka!
 
Wandugu hivi hii ishu ya kuota mambo ya shule mara kwa mara huwa ina maana gani kiroho!??

Nimekua nikiota ndoto kua nipo shule eidha o'level au advance na mara chache primary na chuo ila za o'level na advance ni kama kila siku tu.

Mwanzo nilikua napuuza lakini naona sasa inakua too much, karibu kila siku naota nipo shule mara nafanya pepa, nasubiri matokeo, nipo class nasoma, napiga story na wana yani zile moments nlizokua nafanya skuli ila zinakua advanced. Kama ni pepa linaweza kua gumu sana au jepesi sana.

Kuna tafsiri yoyote juu ya hizi ndoto??
Kawaida tu ni sehemu ambayo umespend muda mwingi "ukiwa active" kuliko hata nyumbani, memories nyingi ni za huko hivyo si ajabu ubongo kukupa flashbacks 👏
 
Mie pia nimeota ndoto hiyo asubuhi ya leo na huwa naota mara kwa mara...... ila nilisikia kuwa ndoto za hivo zina maana ya kuwa kuna vita kubwa sana ili kusonga mbele kimaisha, yaani unarudishwa nyuma.
 
Kama uko level ya juu alafu unaota uko primary au high school,spiritualy ina maanisha umedumaa kimaendeleo,yani hapo ulipo uko level ya chini ambayo ndo hiyo primary ila wewe unajiona umemaliza bachelor au masters kumbe pengine ulipaswa uwe na phd au kama ni biashara unafanya ulipaswa kuwa mbali zaidi ya hapo ulipo!
Unapaswa ukomae na maombi ili uwe level ile unayopaswa kuwa!
 
Wandugu hivi hii ishu ya kuota mambo ya shule mara kwa mara huwa ina maana gani kiroho!??

Nimekua nikiota ndoto kua nipo shule eidha o'level au advance na mara chache primary na chuo ila za o'level na advance ni kama kila siku tu.

Mwanzo nilikua napuuza lakini naona sasa inakua too much, karibu kila siku naota nipo shule mara nafanya pepa, nasubiri matokeo, nipo class nasoma, napiga story na wana yani zile moments nlizokua nafanya skuli ila zinakua advanced. Kama ni pepa linaweza kua gumu sana au jepesi sana.

Kuna tafsiri yoyote juu ya hizi ndoto??
Kweli kabisa mkuu huwa inatokea Sana, sema Nini hii ni hali ya kisaklojia tu Kwa sababu Shule ni moment ambayo ni ngumu na inachukua process kubwa ya maisha ya binadamu. Ndio maana hii hali hutokea Sana Kwa watu wengi
 
Kuota ndoto za shule wakati ulishamaliza shule kitambo kabisa ni jambo baya kabisa na linaashiria kurudishwa nyuma katika maisha kwa namna ya kishirikina. Hapa nilipo napambana na jambo hili kwa maombi manake nimekuwa nikiona mipango yangu mingi ikiburugika na kuchelewa. Ndoto hizi huambatana na kuchelewa katika mafanikio ya mtu kwani mtu anakuwa amerudishwa nyuma au kuwekewa stop kichawi. Shughulika sana na jambo hili ni serious problem la sivyo ni vigumu kutoka kimaisha.
Uko sahihi kabisa...
 
Wandugu hivi hii ishu ya kuota mambo ya shule mara kwa mara huwa ina maana gani kiroho!??

Nimekua nikiota ndoto kua nipo shule eidha o'level au advance na mara chache primary na chuo ila za o'level na advance ni kama kila siku tu.

Mwanzo nilikua napuuza lakini naona sasa inakua too much, karibu kila siku naota nipo shule mara nafanya pepa, nasubiri matokeo, nipo class nasoma, napiga story na wana yani zile moments nlizokua nafanya skuli ila zinakua advanced. Kama ni pepa linaweza kua gumu sana au jepesi sana.

Kuna tafsiri yoyote juu ya hizi ndoto??
Mkuu pole kwanza..pili tafuta mahubiri ya mwakasege kuhusu ndoto youtube..sijui wewe ni dini gani lakini ushauri wangu ni huo.kila la ķheri mkuu.
 
Kwanini kutokamilisha jambo huhudishwa na shule?
Miaka 20 ya mwanzo ya mwanadamu imejaa mafunzo ya msingi
Kuhusu ujuzi
Kuhusu mahusiano
Kuhusu imani nk
Katika hayo mafunzo kuna mafunzo ya KIADA na mafunzo ya ZIADA.. mafunzo ya kiada huwa na kikomo na haya ndio roho hudili nayo
Roho haina ziada .. Roho ni timilifu hivyo hutenda kwa ukamilifu.. Ukamilifu wa hatua yoyote rasmi ya mafunzo na elimu ni nyaraka ya kidunia iitwayo CHETI.. Na cheti hutolewa baada ya kufanya mtihani/mitihani ama kushiriki mafunzo fulani

Utaenda sekondari kwakuwa ulimaliza darasa la saba na kupata cheti baada ya kufanya mtihani.. Kufaulu ni jambo lingine hapo. Hali huwa hiyo hiyo mpaka elimu ya juu kabisa
Kwa muktadha huo basi usipokamilisha jambo lolote kiroho litakurudisha nyuma ulikotoka kwenye elimu na maarifa uliyopata kama kichokoo cha kukupa taarifa uyatimize yakupasayo kufanya hivyo
Unaweza kusahau vyote lakini sio elimu yako na hatua zote za mitihani na ufaulu ulizopitia

Hili naona kama linanihusu pia brother, juzi kati kuna mipango niliiseti fresh ila mambo yalipotokea sijui, yaani nimepoteana kabsaaa

Na ni kama vitu vitatu so sielewi 🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️
 
Ndoto za shule binafsi huwa naziota sana, lakini kila ndoto nikiota huwa nipo kwenye chumba cha mtihani najiandaa kufanya mtihani.
Katika mitihani yote ya ndotoni sijawahi kufanya nikamaliza hata mmoja. Sababu ni maswali kunishinda yote yaani nakuwa sijui hata moja, nikiamka kwenye akili ya kawaida maswali nayajua kabisa na majibu yake.
 
Ndoto za shule binafsi huwa naziota sana, lakini kila ndoto nikiota huwa nipo kwenye chumba cha mtihani najiandaa kufanya mtihani.
Katika mitihani yote ya ndotoni sijawahi kufanya nikamaliza hata mmoja. Sababu ni maswali kunishinda yote yaani nakuwa sijui hata moja, nikiamka kwenye akili ya kawaida maswali nayajua kabisa na majibu yake.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Yaani zinakuwaga za kiwaki
 
Wandugu hivi hii ishu ya kuota mambo ya shule mara kwa mara huwa ina maana gani kiroho!??

Nimekua nikiota ndoto kua nipo shule eidha o'level au advance na mara chache primary na chuo ila za o'level na advance ni kama kila siku tu.

Mwanzo nilikua napuuza lakini naona sasa inakua too much, karibu kila siku naota nipo shule mara nafanya pepa, nasubiri matokeo, nipo class nasoma, napiga story na wana yani zile moments nlizokua nafanya skuli ila zinakua advanced. Kama ni pepa linaweza kua gumu sana au jepesi sana.

Kuna tafsiri yoyote juu ya hizi ndoto??
Njoo pm nikweleshe vizuri ila faida ya wote hiyo ni roho ya kuludi nyuma kwenye maisha yako iyo ishara mbaya sana nenda kwenye madhabu zivunje kwa maombi ndoo maana unaota ya kale
 
Nitajaribu kujibu kwa kadiri ya uwezo wangu na uelewa wangu.

1.KUOTA UKO SHULE

Kwa tafsiri ya kawaida kabisa ni hivi, tunapeleka watoto shule ili kuwaandaa kwa ajili ya maisha yao ya baadae hivyo TAFSIRI ya mojawapo ya SHULE kwenye NDOTO ni MAANDALIZI.

Hivyo kuota kuwa upo shuleni,TAFSIRI mojawapo ni kuwa KUNA MAANDALIZI (FULANI) ambayo unapewa ALERT kuwa unapaswa KUYAFANYA kwenye specific area ya MAISHA yako..

Au hii yaweza kuwa alert unapewa kuwa Kuna maandalizi fulani ambayo ulipaswa kuyafanya na hukuyafanya na ndio sababu ya ww kukwama mahala fulani fulan kwenye maisha yako hivyo unapewa sign kwamba SHTUKA na chukua hatua ili UTOKE HAPO ULIPONASA

NB:Kibarua sasa ni hiki
NI WAJIBU WAKO KUJUA kujua ni wapi hapo ulipokwama na NI AINA GANI YA MAANDALIZI UNAPASWA KUJIANDAA for future au ulipaswa kujiandaa na hukujiandaa.

2. KUOTA UKO DARASA FULANI AU LEVEL FULANI (primary/secondary/high school au chuo)

Kwa tafsiri niliyosema kwamba Shule ni maandalizi hapo juu basi TAFSIRI ya kuota upo darasa gani au level gani, hii maana yake ni KIWANGO CHA MAANDALIZI unachohitaji KWA HATUA ILIYO MBELE YAKO (future),AU ili uvuke kufika unakopaswa KUWEPO sasa (PRESENT) au ili UTOKE ULIPONASA ambapo ndio sababu ilio ku hold usipige hatua hadi leo (PAST) (kimaisha kiafya kijamii kicheo kiroho kimahusiano kiuchumi nakadhalika inategemeana tu na MKWAMO wako)

Hivyo kuota uko darasa au level ambayo kimsingi ulishapita yaweza kuwa tafsiri kuwa u need to fix something in you past.Uli pita level hiyo lakin kuna eneo katika eneo hilo hukufanya sawa sawa now it has become ur stambling block so get rid of it first uendelee na maisha mana kwa hapo ulipo maandalizi yale kwenye level ile uliopita hayakua sawa sawa.FIX UR PAST TO UNLOCK UR CURRENT OR FUTURE SITUATION

Ukiota uko LEVEL ya JUU ambayo HUJAFIKA BADO mfano umeota uko high school na wakat elim yako ni secondary au unaota uko Diploma au Degree chuo wakati elim yako ni High school uliishia au unaota uko masters au Phd wakati ulifanya Degree tu basi TAFSIRI yake ni MAANDALIZI unayoyahitaji for FUTURE which just yet and on the way TO COME / HAPPEN TO YOU. Hivyo unahitaji maandaliz ya juu ambayo kwasasa HUNA na usipojiandaa basi UTAKWAMA au UNACHOPASWA KUPATA / KUEPUKA for your FUTURE'S SAKE itakula kwako.


3. KUOTA UNAFANYA MTIHANI.
Tafsiri ya mtihani ni KIPIMO CHA MAANDALIZI uliojiandaa nayo. Unaweza ota uko shule tu na hakuna mtihani maana yake unahitajintubkujiandaa lakin unaweza ota uko shule UNASOMA NA BAADAE KUNA MTIHANI, sasa basi;

ukiota unafanya mtihani maana yake ili utoke hapo ulipo au ili ufanikiwe unapokwenda huhitaji tu kufaya maandalizi ili kuvuka maandalizi hayo unayopaswa kufanya YATAPIMWA ,ili kupata GO AHEAD kwenye suluhisho unalohitaji.

3A. KUOTA SOMO UNALOFANYIA MTIHANI
Kwa tafsiri ya shule kama maandalizi na darasa/level uliopo kuwa Kiwango cha maandalizi basi kuota unafanya mtihani wa somo FULANI tafsiri moja wapo ya hii kitu ni AINA YA MAANDALIZI UNAYOHITAJI. hivy ukiona unaota sio tu uko shule bali uko level flan na pia unafanya mtihani tena mtihani wa somo fulani maana yake ndoto hii inakuwa MORE SPECIFIC kukusaidia kujua EXACTLY what you are supposes to DO TO PREPARE URSELF.It is ur task to find WHAT WHEN HOW.

3B. KUOTA UNAFANYA MTIHANI MGUMU SANA AUBWA KAWAIDA AU MWEPESI

Tafsiri iko wazi..Huu ni ugumu au wepesi wa JARIBU /TEST that is ahead of you..Kwamba kipimo utakachopimwa kitakua ndani ya uwezo au nje ya uwezo wako kulingana na maandalizi uliofanya.

3C.KUOTA UME FELI AU UMEFAULU
Hii nadhan kwa maelezo marefu niliotoa hapo juu nadhani itakuwa HOMEWORK rahis tu kujiongeza
Na maranyingine unaota mpaka MARKS ULIZO SCORE.

4.KUOTA UKO DARASANI NA WATU WENGINE UNAOWAJUA AMBAO KIMSINGI WALIKUTANGULIA KUSOMA ILA UNAOTA UKO NAO DARASA MOJA AU MNAFANYA MTIHANI MMOJA AU MKO SHULE MOJA.

Hii nadhan ukielewa maelezo yangu haponjuu utaweza kujua maanda yake nini

5. KUOTA UKO DARASA HILO/ LEVEL HIYO MARA KWA MARA.
Pia waweza kuta unaona unafanya mtihani huo mara kwa mara au uko shule hiyo hiyo mara kwa mara..Hii pia ina maelezo yake na kwa kiasi unaweza ukajiongeza mwwnyewe kw maelezo marefu niliokwisha tangulia kuyatoa hapo juu.

6. MSISITIZO.
Ukiona unaota ndoto hiz mara kwa mara basi USIPUUZIE chukua hatua .

Kwasababu gani?
Kwasabau simetimes SIO KILA NDOTO ya kuwa nayo SERIOUS maana ndoto zingine huja kwa sababu umewaza sana jambo au kwasababubu ya shughul na mambo kuwa mengi so mind ina mix mafile lakin sometimes ndoto yaweza kuwa inatoka kwa Mungu/mungu unayemwamini wewe ili kukuonya na kukupa ONYO au TAHADHARI about future au ALERT wapi umekwama ili UTOKE.

ni hayo. Am open for critisism.
Eyce Carleen Mshana Jr Pascal Mayalla to yeye Vishu Mtata financial services
Nimekusoma mkuu❤️
 
Kwa wale wote ambao wanaota wapo shule au wanafanya mtihani au mazingira yoyote ya shule hii ni ishu ya kiroho na jibu ni hili hapa;

Inakukumbusha kwamba kuna Jambo ulikuwa unalifanya na sasa either umeliacha au umeamua kupotezea,so kiroho unakumbushwa kulirudia maana Lina manufaa sn kwako endapo utafanikisha

Tupo duniani,na dunia ina mambo mengi sn ambayo shetani anapenda tusifanikiwe,so unapoota hivi maana yake ni Yule mtu wa ndani anakukumbusha kuirudia Ile njia(Jambo) ambayo umeiacha,na sasa ni km imeota majani..Kaa tafakari ni Jambo gani ambalo haujalikamilisha na sasa linakuhitaji ulirudie..Na pengine ndy Jambo ambalo lingeweza kuyabadilisha maisha yako endapo utaamua kukomaa nalo Ila negative false ( shetani) anataka usifanye hiko kitu

Satoh Hirosh
mkuu mi mara ingne naota,,, mtihan u.ekaribia kabisa kuufanya ila nakuwa sijasoma hata kidogo na sijuw ntajibu nn kwene mtihani huo!!, hii imekaaje?..
 
Hili tumeshalijadili sana hapa na lina tafsiri ya moja kwa moja kiroho kwamba kuna jambo/mambo uliyaanza na hujayamaliza hivyo unakumbushwa kiroho kuyamaliza

Mengine huwa ni ahadi ulizoshindwa kuzitimiza ama kumaliza, nadhiri, madeni, mipango ya maendeleo, mipango ya maisha na sometimes hata visasi
ukiota unataka kufanya mtihan lakin hujasoma unashangaa tu papér limekaribia inakuwaje!!jr tuokoe hapa
 
Back
Top Bottom