Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Vitu vingine vinakasikirisha bruh
Dogo anasema hajawahi kuwasiliana nae for 10yrs yeye mtandaoni ni kutukanana na watu na pics za wanawake tofauti
Hata kama ni mimi ningekuwa tu kama wa kiume ningemwabia just s#&k my d!&£k u blackass nigger
Mtoto anatengezwa na anae mlea. Hata mtoto kama angekuwa hajamuona miaka 20, kama mama angekuwa hapandi sumu na chuki huyo mtoto asingeweza toa hiyo lugha chafu.. kilichopo ugomvi wa mama na baba, maana kahamishia kwa watoto tuna case nyingi sana za wababa kukosea ila watoto hata siku moja hawajaweza toa lugha mbovi kiasi hicho
 
Baba hata akosee haiondoi hadhi ya kuwa baba. Huwezi shindana na chanzo cha wewe kuwa hapa duniani, ni ukosefu wa akili.. sikio haliwezi zidi kichwa
Mtu kuwa mzazi si kigezo cha ujinga wake kuisha Akilini.

Mjinga ni mjinga tu.Mtu kuwa mzazi sio defence mechanism ya kujitetea na ujinga wake ili apewe Heshima.
 
Na bado umeweka kambi kwenye thread ya umbea.

Declare interest, maana na wewe upo New York na Neema yupo New York.
Mi nakwambia huyo anajifanyaga messiah ya hiyo Imani yake,kila kitu yeye ndio mwema,yeye ndio anajua reasoning yaani Kiranga hakika ana Kiranga Kama jina lake,anakwmea umbea ilhali kaganda kwenye umbea
 
Back
Top Bottom