Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea



Umesema ukweli kabisa
Wacha avune alichopanda
 
Huyo mtoto amepata laana mbaya sana kuliko laana zote unazoweza kupata duniani. Baba yangu nimeshakwaruzana nae vinaya sana. Lakini kutoa matusi mazito hivyo kwa baba aliyekojoa na wewe ndio ukapatikana?! Its unheard of, laana kuu!!

Agapeo umelaaniwa wewe ni kizazi chako chote!!Jesus!!
 
haahahaa hukusoma vizuri , nimeweka kidokezo sio wote..
 
naona Le Mutuz akimaliza vibaya. naye analiona hilo ingawa ana pretend ana furaha lakini ukwlei hauko hivyo.
huko Istagram kwa mara ya kwanza nimemuona analia kutukanwa na watoto aliowazaa mwenyewe hiyo chart ni genuine sio fake
kama le Mutuz alikuwa na amani na hao watoto angekanusha sio watoto wamemtukana. lakini imejidhiirisha yeye na watoto hawako sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa ni mpumbavu sana na akili za kitoto. Ni kama kuomba kitu au kutongoza mtu, ukikataliwa unasema, "Nilikuwa nakutania." Huyu kichwani ana mtindio.
 
Hivi mlishaisoma ile history ya le mutuz mbona alikua anatuma hapo awali miaka hiyo ila baby mama yake akaona ndogo au
 
Pamoja na mapungufu ya lemutuz kama baba,ila hakupaswa kutukanwa na huyo mwanae wa kumzaa matusi makubwa hivyo hii inaonyesha huyo mama amefeli kwenye malezi!
Tuliotelekezwa na baba tuko wengi lakini pamoja na drama zote siwezi mtukana baba tusi kama hilo hata iweje mana biblia inasema waheshimu baba na mama upate heri na miaka mingi duniani!
Kwa hilo neema popote ulipo umefeli,
 
👏👏👏👏👏👏
 
Nilivoanza kusoma uzi nikahisi tu kuwa atakuwa ni huyo Agapeo ikabidi nirudi juu kuangalia uzi ni wa mwaka gani, huyo hajaanza juzi wala jana kumtukana baba yake huyo huyo Mange alishawahi kupost ishu yao mwaka 2017 au 2018 kama sikosei nikajua walishapatana kumbe bado tu anamtukana, japo Malecela hajielewi lakini Mange naye ni mshenzi sana
 
Kumbe ndivyo ilivyo nimeiona sehemu hiyo "suck my fucking dick..." Nikajiuliza mtoto anaweza mjini baba yake hivi. Nakashangaa sana. Aisee
 
Mange ni wakala wa shetani fullstop.
 
Utajibiwa "ACHA KUPANGIA MAISHA WATU".. BOMA LIWANZA
 
huyu mwanamke wa lemutuz hakuwa mwanamke wa kuolewa kabisa wala kuzaa. sometimes usione watu wanakuwa matasa ukalaumu, Mungu hakupi watoto ili uje uwawekee sumu namna hii. bora angemnyima tu, sasa kuna faida gani kuwa na mtoto anamtukana babake kuwa anyonye nn yake na tusi kubwa kubwa. kama amemtukana hivyo babake, atashindwaje siku moja kukutukana wewe? na kama amemtukana babake hivyo, unafikiri una mtoto hapo au kituko? si bora asingekuwepo kabisa?
 
Sijajua kama jamaa alikuwa anahudumia familia yake, nilichofanya nikutoa tahadhari kuhusu Wanaume wanaotelekeza familia zao bila kuhudumia
umesoma kitabu chake cha maisha ya majuu? amesimulia mambo mengi sana. le mutuz ni mtu aliyepata shida nyingi sana katika maisha, kuanzia kukataliwa na ndugu wote kuanzia mwale malecela na mama yake, yeye ni mtoto wa kambo. akawa anakimbia maisha yake yote. nafikiri hata kwenda majuu alikuwa anakimbia mamake wa kambo ambaye hadi kesho anamtaja kuwa ni adui yake. mwale aliungana na mange hadi uzeeni kumchafua le mutuz, na alikuwa anaogopa asije kuja kurithi mali, ajabu yake yeye ndio katangulia na hatagombania mali na le mutuz. asa, hivi kuna mtu hajui kama le mutuz ni mtoto wa malecela? tena aliyefanana naye sana? kwamba hatapata urithi ikitokea?
 
sema familia ya Lemutuz inatema yai balaa... kasoro ni hayo matusi tu ila ngeli wanatema aisee
 
Pole nyingi kwake.

Lakini hilo swala la kutohudumia familia yake ni kweli au sio kweli? Iweje watoto wamkatae Baba yao?

Anyways, ndugu wagombanapo tunatakiwa kushika jembe na kwenda Kulima, wakipata tushike kapu tukavune 🥂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…