Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Ukishakuwa maarufu kuna gharama zake za kulipa mojawapo ndo hiki unachopinga. Hata wewe Kiranga ukiwa maarufu tutakujadili tu maana hakuna namna. Kuna watu wengi wana matatizo kama ya Lemutuz ila hatujadili kwasababu hatuwajui.
Nimeweka mawazo mbadala kwa mujibu wa maoni yangu, yakifuata falsafa ya kushika hamsini zangu, watu maarufu sijipi umuhimu katika maisha yao, kwanza siwajui kihivyo. Mimi nina familia yangu ambayo inahitaji muongozo wangu na sifikiri kujikita kwenye maisha ya watu ambao hawanijui, siwajui, hawajaniomba ushauri, sielewi maisha yao yana utata gani, sifikiri kujikita kwenye maisha yao ni kitu muhimu na chenye tija.

Nafikiri kufuatia sana maisha ya celebrities ni emptiness fulani katika maisha ya mtu.

Ila, kila mtu ana uhuru wa kujiamulia mwenyewe, ndiyo maana watu wengine wanapenda kuwaangalia kina Kardashians, na mimi sijawahi kuangalia hata episode moja.
 
Ungemtafuta Neema uongee naye kama unamjua kihivyo na kujali sana familia yake.

Otherwise umeikuta familia inawekana uchi, na wewe ukasambaza zaidi hizo habari mitandaoni.

Mtu mwingine anaweza kuona unafurahia hivi visa huku ukijifanya unasikitika.

You are making a very bad situation worse by spreading this horrible saga further online.

Ukiitwa mwanamme mmbeya siwezi kukutetea.
Kumekucha JF new terminology "Mwanamme mbeya"😂
 
Mademu anaochukua huyo jamaa karibu wote ni malaya labda kama wewe ni mgeni mjini.
Sure sipo Dasalama na sihitaji kuwajua ila nazungumzia tabia zetu za kiafrika hapo ndipo mgogoro ulipo.

Kuna time ukiwa mtu mzima na umetendwa as labda Willy unaweza kunielewa but if you're still kinder you can't understand hii ninayosema hapa.
 
Sure sipo Dasalama na sihitaji kuwajua ila nazungumzia tabia zetu za kiafrika hapo ndipo mgogoro ulipo.

Kuna time ukiwa mtu mzima na umetendwa as labda Willy unaweza kunielewa but if you're still kinder you can't understand hii ninayosema hapa.
Jomba wewe ndo RITA ya JF? Yaani unajua umri wa kila mtu hapa?
 
One minute I'm cool, the next minute I'm up on a niqqa, rippin'
That's my style.

I'm a cruddy niqqa, leave you all bloody niqqa, service with a smile
Svck my whaat!!

I'm humbled you know ,American spirit down town in "manhahen" ,Boma Ye, Le mutuz Mobimba Kokobanga Nye nye nye! Boma Liwanza ha ha ha.
 
Sure sipo Dasalama na sihitaji kuwajua ila nazungumzia tabia zetu za kiafrika hapo ndipo mgogoro ulipo.

Kuna time ukiwa mtu mzima na umetendwa as labda Willy unaweza kunielewa but if you're still kinder you can't understand hii ninayosema hapa.
Nakuelewa sana, binafsi kwanza siamini kama hao mademu anaopiga nao Picha huwa anawala si kweli, tuliopo mjini tunajuwa mengi kuhusu hizi show off.

Siku hizi kuna Range Rover za kukodi kuwajambisha watu hata kwa wiki moja.

Kuna maburungutu ya pesa yanakodishwa kupiga nayo Picha kuwarusha akili wajinga wenzako kwenye social networks.

Kuna mademu wanajiita friend with benefit ukitaka kuuza naye sura ni wewe tu ili mradi unamlipa.

Sasa stress alizopitia Le Mutuz Mimi sishangai style ya maisha aliyochaguwa.

Umekosa Upendo kwenye familia uliyozaliwa, then unakosa Upendo kwenye familia yako mwenyewe unadhani what next? Ni bora kulazimisha furaha tu kama Jide.

Hapo sasa haijarishi amechaguwa njia gani hiyo ni juu yake kama anapata furaha kwa hayo mapichapicha then good for him.
 
Labda kwa wale ambao tupo JF muda mrefu tunafahamu vizuri William Malecela Le Mutuz na Neema Ngwilulupi walikuwa ni wana ndoa na wanaishi Marekani ni member wenzetu wa hapa JF.

Le Mutuz alishaandika mwenyewe historia ya maisha yake Marekani Kwahiyo Mimi sina cha kuongeza.

Ila nimesikitika sana kuona Neema ni sample ya wanawake wajinga kushirikiana na Mange Kimambi kumdhalilisha Le Mutuz wakati kimsingi aibu inarudi kwa Neema Ngwilulupi mwenyewe mwenye custodian ya kuwalea Watoto kwa kushindwa kuwalea Watoto katika maadili.

Neema Ngwilulupi ni Mtanzania, na tunaojuwa vizuri alipata kazi kwa upendeleo Marekani kwa sababu ya jina la Mzee Malecela, leo hii inakuwaje ameshindwa kulea Watoto ambao ni Watanzania kwa baba na mama ila ni Wamarekani tu kwa kuzaliwa?

Hivi mtoto aliyelelewa kwa maadili anaweza kumjibu baba yake mzazi "Saki my diki"?

Ugomvi wa Le Mutuz na Neema watajuwana wenyewe walishindwana wapi lakini kumshirikisha Mange Kimambi kiumbe aliyeumbwa na roho tu bila kuwa na nafsi hii ni aibu yako mwenyewe Neema Ngwilulupi.

Kwakuwa Neema Ngwilulupi wewe ni member mwenzetu mkongwe hapa JF, nimeona nikufikishie ujumbe wako hapa umechemka, hata kama William ni mjinga kiasi gani kumpelekea Mange WhatsApp text charts za William na Watoto wake hii aibu inarudi kwako mwenyewe mwenye custodian ya Watoto kwa kushindwa kuwalea Watoto katika maadili mema, hao wanao hata wajifanye Wamarekani lakini ni wagogo tu wa Mtera.

View attachment 2590739

Nimemaliza.
hakuna mtoto hapo…. Naye kapotea kama mdingi wake tu

Imagine na mama atakuaje

Wafananao ndio warukao pamoja

Inasikitisha sana lakini
 
ila ni muhimu nasi kujirekebisha na kujitahidi kuhudumia familia zetu ( Being responsible Father).
Le mutuz nafikiri alishindwa kuishi marekani labda kwa sababu ya kipato na kuja kuishi shithole countries (usemi WA Trump).Mimi sijawahi ona mtu ambaye maisha yamemshinda tayari huko ughaibuni kutuma pesa Toka Africa kwenda marekani.Nimezoea kuona viceversa.Au uliposema kuhudumia familia ulikuwa na maana Gani?Haihusiani na mpunga?
 
Ni kweli, ila Neema tuko naye hapa jamvini kitambo, namfikishia ujumbe wake kwa hili hapana, amekosea sana.

Wote tunamjuwa vizuri Le Mutuz humu ni mtu mzima hovyo, lakini Neema kuwalisha Sumu Watoto haikubariki.

Tuna ndugu zetu wamezaa unyamwezini miaka na miaka lakini mtoto anajuwa mpaka shikamoo.

Mbona Wahindi popote wanapozaliwa bado anakuwa ni muhindi yuleyule?

Eti suck my dick, halafu mama mzima unapeleka huu ujinga kwa Mange ili Watoto wako waonekane wasivyo na akili?
Da Dr Matola, nimejikuta natokwa na machozi. Hiyo laana na ni itakitafuna hicho kizazi cha hao watoto na mama yao. Kulikuwa na namna nyingine ya mtoto kumjibu baba yake. Ila huyo mama kichwa chake kimejaa kamasi.
 
Nimeweka mawazo mbadala kwa mujibu wa maoni yangu, yakifuata falsafa ya kushika hamsini zangu, watu maarufu sijipi umuhimu katika maisha yao, kwanza siwajui kihivyo. Mimi nina familia yangu ambayo inahitaji muongozo wangu na sifikiri kujikita kwenye maisha ya watu ambao hawanijui, siwajui, hawajaniomba ushauri, sielewi maisha yao yana utata gani, sifikiri kujikita kwenye maisha yao ni kitu muhimu na chenye tija.

Nafikiri kufuatia sana maisha ya celebrities ni emptiness fulani katika maisha ya mtu.

Ila, kila mtu ana uhuru wa kujiamulia mwenyewe, ndiyo maana watu wengine wanapenda kuwaangalia kina Kardashians, na mimi sijawahi kuangalia hata episode moja.
Inaonesha huko ulipo Upo na Msongo wa mawazo! Wenzako tuliliona hilo ndo maana tuliamua kurudi mapema. Joannah msamehe bure ila ujumbe wako kaupata sawia
 
Inaonesha huko ulipo Upo na Msongo wa mawazo! Wenzako tuliliona hilo ndo maana tuliamua kurudi mapema. Joannah msamehe bure ila ujumbe wako kaupata sawia
Bahati mbaya ka niblock😁😁😁anajifanya eti hatoi ushauri kwa watu kwa kuwa hawamuhusu na hawajamuomba ushauri,mbona kaja hapa kumuattack mtoa Uzi huku akitoa ushauri kedekede......mwehu mmoja huyo
 
Bahati mbaya ka niblock😁😁😁anajifanya eti hatoi ushauri kwa watu kwa kuwa hawamuhusu na hawajamuomba ushauri,mbona kaja hapa kumuattack mtoa Uzi huku akitoa ushauri kedekede......mwehu mmoja huyo
Umri wa kukaa ughaibuni kwa Furaha ni kuanzia miaka 0 -50. Baada ya hapo ni mateso na kuwa na Msongo wa mawazo hasa kwa mtu ambaye unakuwa mguu mmoja tz na mwingine ughaibuni, unakuwa frustrated na mpweke kama Kiranga ! Jinsi ya kujikwamua ni kujiunga na kuwa na kijiwe kama JF. Kwa bahati mbaya kutokana na Msongo wa mawazo unakuwa na mitizamo hasi! Uha ndipo unaukaribisha! Nimeipenda analysis yako. Ughaibuni ni pahala pa kuchuma si pa kumalizia maisha yako
 
Hivi mlishaisoma ile history ya le mutuz mbona alikua anatuma hapo awali miaka hiyo ila baby mama yake akaona ndogo au
Raia wa humu ndani ukiwapa tu kichwa Cha hbar UmemaliZa wachache sna wanaoweza kutafakar Kwanza na kujiuliza kwanini iko hv kabla hajachangia nakubali aina ya maisha anayoishi Lodolofa co mfno mzur kw umri wke hta kdgo lkn kuhusu inshu ya familia yke raia wajifunze kutaka ukwl kabla ya kuchangia
 
Back
Top Bottom