Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Hii ni gia ya kusambaza ubuyu tu, watu wanataka ubuyu kwa gia ya kujifunza.

Watu wanafurahia kupata ubuyu, acheni kutumia hii pretence ya kujifunza.

Hapa ni sawa na mtu aliyekuta connection ya picha za ngono imevuja, halafu anaisambaza kwa gia ya kujifunza.
Anayefurahishwa na huu Ubuyu ni Neema na analipwa cash money na Mange kama hujui tukujuze.

Kwa kuvujisha hizi screenshots kwa Mange Neema amekunja wastani wa pesa taslimu million 10 mpaka 20 kutoka kwa Mange.

Wewe ndio upo gizani huna unalolijuwa zaidi ya kupayuka tu.

Schadenfreude Mange Kimambi anaishi Beverly hills kwa pesa za umbea huu huu anaoununuwa kwa kina Neema Ngwilulupi.

Sisi tunazama deep tuna kwenda kwenye shina ili kukomesha hii tabia.
 
Anayefurahishwa na huu Ubuyu ni Neema na analipwa cash money na Mange kama hujui tukujuze.

Kwa kuvujisha hizi screenshots kwa Mange Neema amekunja wastani wa pesa taslimu million 10 mpaka 20 kutoka kwa Mange.

Wewe ndio upo gizani huna unalolijuwa zaidi ya kupayuka tu.

Schadenfreude Mange Kimambi anaisha Beverly hills kwa pesa za umbea huu huu anaoununuwa kwa kina Neema Ngwilulupi.

Sisi tunazama deep tuna kwenda kwenye shina ili kukomesha hii tabia.
Wewe ni mwanamme mmbea tu, any way you cut it.
 
Hii ni gia ya kusambaza ubuyu tu, watu wanataka ubuyu kwa gia ya kujifunza.

Watu wanafurahia kupata ubuyu, acheni kutumia hii pretence ya kujifunza.

Hapa ni sawa na mtu aliyekuta connection ya picha za ngono imevuja, halafu anaisambaza kwa gia ya kujifunza.
Hapana ndugu.....

Inawezekana ikaonekana kama ambavyo unaona wewe lakini ndani yake kuna funzo kubwa.....ndani yake tunapata kuona namna migogoro ya kifamilia inavyochangia kuzorotesha kama sio kuua kabisa mahusiano ya familia.........

Tunaweza kujifunza mambo ya kifamilia yanatakiwe yamalizwe na wahusika wa familia wakiwa na lengo la kujenga siyo kuyatoa public kwa lengo la kudhalilishana......

Pia vijana watapata kujifunza kugombana na mwenza wako hakukufanyi wewe kutokuwa baba Bora Kwa watoto wako kwa kutimiza wajibu wako kama baba........

Tunapata kujifunza vijana wanatakiwa kuwa makini na kuchagua wake wa kuoa maana mke ndio msiri na msitiri wako........


Yapo mengi ya kujifunza na yenye katika haya malumbano unayoyatazama kama umbea
 
Hapana ndugu.....

Inawezekana ikaonekana kama ambavyo unaona wewe lakini ndani yake kuna funzo kubwa.....ndani yake tunapata kuona namna migogoro ya kifamilia inavyochangia kuzorotesha kama sio kuua kabisa mahusiano ya familia.........

Tunaweza kujifunza mambo ya kifamilia yanatakiwe yamalizwe na wahusika wa familia wakiwa na lengo la kujenga siyo kuyatoa public kwa lengo la kudhalilishana......

Pia vijana watapata kujifunza kugombana na mwenza wako hakukufanyi wewe kutokuwa baba Bora Kwa watoto wako kwa kutimiza wajibu wako kama baba........

Tunapata kujifunza vijana wanatakiwa kuwa makini na kuchagua wake wa kuoa maana mke ndio msiri na msitiri wako........


Yapo mengi ya kujifunza na yenye katika haya malumbano unayoyatazama kama umbea
You just like to watch a car wreck, haya mengine mafunzo kama hujafunzwa na familia yako utafunzwa na umbea wa mitandaoni wewe?
 
You just like to watch a car wreck, haya mengine mafunzo kama hujafunzwa na familia yako utafunzwa na umbea wa mitandaoni wewe?
Hapa ndio unaniangusha sana, mbona Mimi binafsi nimejifunza vingi kwako?

Sikufunzwa na familia wala shuleni, lakini kuwepo kwangu JF nimejifunza vingi, post zako nyingi zimenifunza mengi pia.

Kwahiyo hapa unaleta ligi isiyokuwa na mantiki yoyote.
 
Hapa ndio unaniangusha sana, mbona Mimi binafsi nimejifunza vingi kwako?

Sikufunzwa na familia wala shuleni, lakini kuwepo kwangu JF nimejifunza vingi, post zako nyingi zimenifunza mengi pia.

Kwahiyo hapa unaleta ligi isiyokuwa na mantiki yoyote.
Sasa unalinganisha posts zangu hapa na umbea wa kuokoteza kwa Mange Kimavi?

Real Gs hawana muda wa kueneza umbea wa kuhusiana na matatizo ya familia za watu wasiowajua.

In the hood you could get smoked for some shit like that.

Kama unajifunza kitu kwangu, jifunze hilo.
 
You just like to watch a car wreck, haya mengine mafunzo kama hujafunzwa na familia yako utafunzwa na umbea wa mitandaoni wewe?
Familia Ina nafasi yake na jamii Ina nafasi yake....

Inaweza familia yako ikawa ni yenye kukupoteza lakini jamii ikakuokoa.....

Wapo watu wanatokea kwenye familia za kishenzi lakini jamii zinawajenga na kuwafanya kuwa watu bora........

Ubora au utimamu wa mtu unachagizwa na familia anayotoka na jamii iliyomzunguka.......
 
Sasa unalinganisha posts zangu hapa na umbea wa kuokoteza kwa Mange Kimavi?

Real Gs hawana muda wa kueneza umbea wa kuhusiana na matatizo ya familia za watu wasiowajua.

In the hood you could get smoked for some shit like that.

Kama unajifunza kitu kwangu, jifunze hilo.
Mange haokotezi umbea, ni watu wanamuuzia na ananunuwa kwa cash.

Hili la Neema ni yeye mwenyewe ndio ameuza contents kwa Mange na amelipwa cash hili hakuna ubishi, sasa hapo unanilaumu vipi?

Mwisho huwezi kunipangia au kunishauri nijifunze nini kwako Mimi ni mtu mzima najuwa jema na baya, najuwa vitu vizuri vya kujifunza kutoka kwako.

Mimi naamini Mungu yupo lakini wewe huamini Mungu yupo, hapo sina la kujifunza kutoka kwako, Mimi naamini Ukristo wewe utaleta vitabu vya dini ya kibudha na kihindu hapo nipo tayari kujifunza kujuwa zaidi kuhusu dini.

Kwahiyo hata kwenye hizi social affairs baki na msimamo wako na Mimi nitabaki na msimamo wangu.
 
Familia Ina nafasi yake na jamii Ina nafasi yake....

Inaweza familia yako ikawa ni yenye kukupoteza lakini jamii ikakuokoa.....

Wapo watu wanatokea kwenye familia za kishenzi lakini jamii zinawajenga na kuwafanya kuwa watu bora........

Ubora au utimamu wa mtu unachagizwa na familia anayotoka na jamii iliyomzunguka.......
Nakwambia hivi, hapa mmekosea kanuni zote.

Mmekosea kanuni za puritanism, halafu mmekosea kanuni za gansters wa kitaa.

Kwenye kanuni za puritanism, mtu mzima anazima, hawashi.

Yani, ukikuta familia ina mifarakano, kitu cha kwanza ni kutoongeza matatizo yawe makubwa, kutofanya matatizo yasambae na kujulikana zaidi. Baada ya hapo, unajitahidi kusuluhisha, kupatanisha. Lakini, kama huwezi kupatanisha, at least you don't make the situation worse, you don't spread the poison further, you don't pour petrol to the fire.

Alichofanya Matola ni kashindwa ku reach out, kashindwa kusuluhisha, fine, lakini, he is making the matter worse, kashindwa kukaa na hamsini zake asisambaze huu mgogoro mbali zaidi, kaueneza kutoka kwa Mange kuja JF watu wengi zaidi washuhudie, kimbea tu.

Kwa hivyo kwenye kanuni z apuritanism kashindwa.

Kwenye kanuni za ma gangsters kitaa, watu usiowajua hujiingizi katika matatizo yao, period. Hujiwekei umuhimu wa kwamba watu wanahitaji mafunzo yako na ushauri wako wakati hawajakuomba.

You could get smoked for some shit like that in the streets.

Any way you cuth this, ni umbea tu usio na tija.
 
Mange haokotezi umbea, ni watu wanamuuzia na ananunuwa kwa cash.

Hili la Neema ni yeye mwenyewe ndio ameuza contents kwa Mange na amelipwa cash hili hakuna ubishi, sasa hapo unanilaumu vipi?

Mwisho huwezi kunipangia au kunishauri nijifunze nini kwako Mimi ni mtu mzima najuwa jema na mbaya, najuwa vitu vizuri vya kujifunza kutoka kwako.

Mimi naamini Mungu yupo lakini wewe huamini Mungu yupo, hapo sina la kujifunza kutoka kwako, Mimi naamini Ukristo wewe utaleta vitabu vya dini ya kibudha na kihindu hapo nipo tayari kujifunza kujuwa zaidi kuhusu dini.

Kwahiyo hata kwenye hizi social affairs baki na msimamo wako na Mimi nitabaki na msimamo wangu.
Wewe hata huyo Mungu humuamini yupo.

Ungemuamini, ungemuachia yeye amalize matatizo ya familia dysfunctional.

Sasa hivi umejipa wewe kazi ya Mungu, kwa sababu humuamini.

Mungu mnasema kakataza kusengenyana, fitna, umbea, na wewe ndicho unachofanya hapa.

Humuamini huyo Mungu.
 
Nakwambia hivi, hapa mmekosea kanuni zote.

Mmekosea kanuni za puritanism, halafu mmekosea kanuni za gansters wa kitaa.

Kwenye kanuni za puritanism, mtu mzima anazima, hawashi.

Yani, ukikuta familia ina mifarakano, kitu cha kwanza ni kutoongeza matatizo yawe makubwa, kutofanya matatizo yasambae na kujulikana zaidi. Baada ya hapo, unajitahidi kusuluhisha, kupatanisha. Lakini, kama huwezi kupatanisha, at least you don't make the situation worse, you don't spread the poison further, you don't pour petrol to the fire.

Alichofanya Matola ni kashindwa ku reach out, kashindwa kusuluhisha, fine, lakini, he is making the matter worse, kashindwa kukaa na hamsini zake asisambaze huu mgogoro mbali zaidi, kaueneza kutoka kwa Mange kuja JF watu wengi zaidi washuhudie, kimbea tu.

Kwa hivyo kwenye kanuni z apuritanism kashindwa.

Kwenye kanuni za ma gangsters kitaa, watu usiowajua hujiingizi katika matatizo yao, period. Hujiwekei umuhimu wa kwamba watu wanahitaji mafunzo yako na ushauri wako wakati hawajakuomba.

You could get smoked for some shit like that in the streets.

Any way you cuth this, ni umbea tu usio na tija.
Hakika
Hatutakiwi kujiingiza kwenye mambo ya watu lakini pia tunaweza kujifunza kupitia mambo ya watu ili kunufaika au kujifunza kupitia hayo mambo ya watu........

Mimi nadhani content ya bwana ni namna ambavyo kijana kamkosea adabu baba yake......

Matatizo na malumbano ni sehemu ya maisha kwenye mambo ya kifamilia lakini hayafahamiki kwa kuwa wanafamilia wameamua kujenga baada ya kubomoa........

Wanafamilia wanapoamua kuyatoa mambo yao nje na kudhalilishana sisi walimwengu hatuna cha kufanya zaidi ya kushangaa, kujifunza na kuwahurumia kwani anguko la kifamilia ni anguko baya.......
 
Kitanzania ni aibu na pia Inasikitisha sana kuona mtoto anamtukana mzazi tusi kubwa hivyo.
Ila kwa malezi ya sasa ya kimtandao...wala haishangazi.

Tutegemee makubwa zaidi kwa siku zijazo.
Kibongo bongo huyo dogo angechezea makofi kutoka kwa kaka wajomba dada shangazi baumbu jirani asiowajua !yaani angeona tu dunia nxima inamwadhibu
 
Hakika
Hatutakiwi kujiingiza kwenye mambo ya watu lakini pia tunaweza kujifunza kupitia mambo ya watu ili kunufaika au kujifunza kupitia hayo mambo ya watu........

Mimi nadhani content ya bwana ni namna ambavyo kijana kamkosea adabu baba yake......

Matatizo na malumbano ni sehemu ya maisha kwenye mambo ya kifamilia lakini hayafahamiki kwa kuwa wanafamilia wameamua kujenga baada ya kubomoa........

Wanafamilia wanapoamua kuyatoa mambo yao nje na kudhalilishana sisi walimwengu hatuna cha kufanya zaidi ya kushangaa, kujifunza na kuwahurumia kwani anguko la kifamilia ni anguko baya.......
Uko positive, na ndio maana ukisoma post zangu zote huwezi kuona nikimshutumu yule binti yake ingawa wote hawana adabu lakini at least wa kike alikuwa selective kwenye reply language, maana thread hii imemgusa zaidi mtoto wa kiume na mama yao kwenda kumuuzia Mange hizi screenshots ambalo nina uhakika Mange amenunuwa kwa bei ndefu.

Wameuza miili yao sasa wameamuwa na kuuza utu wao, halafu kuna mtu anataka tukae kimya tu ili vijana wetu ambao tayari wana smartphone waone hilo ni sawa tu.

Hatuwezi kulikalia hili kimya na huyo shetani Mange atafute mbinu nyingine za kuishi siyo kwa kuumiza watu.
 
Alisema mwenyewe kakimbia baada ya kuona kesi nyingi na hela yake inapigwa tu na mama watoto kila mwezi akaamua kurudisha majeshi.
Kadai karudi na dola 1000 tu kipindi hicho..
Alikua member Active humu na mkewe sana tu.
Mpk anarudi alisema hapa jukwaani.
Sasa mtu aliyeondoka na dola 1000 marekani ndio utegemee atume pesa ya matumizi marekani?Kwa kazi gani anayofanya Afrika?
 
Baba yako hata awe mjinga wa kiwango kipi wewe mtoto ni laana kutomheshimu! Huyo mama bora ange move on na kuacha watoto wenyewe waone na kujua mwenendo wa baba yao lakini alipaswa kuwapa wosia muhimu wa wajibu wao kumheshimu tu.

Vyovyote vile hao watoto wanaowafahamu wafanye juhudi kuwapatanisha na baba yao kabla siku moja tusiyojua atangulie mbele ya haki bila kuliweka sawa. Italeta shida kwa watoto na kizazi chao. Wasidanganyike na umarekani maana huko mambo mengi wanapuuza!

Kuhusu Lemutuz na life yake sina cha kusema maana kwa umri wake sihitaji kutia neno lolote. Lakini watoto ni swala la vizazi hadi vizazi! Wasifungue mlango wa laana itayowagharimu wao au watoto/wajukuu kuifuta. Heshimu mzazi wako! Hili halihitaji anything in return.
 
Ni kweli, ila Neema tuko naye hapa jamvini kitambo, namfikishia ujumbe wake kwa hili hapana, amekosea sana.

Wote tunamjuwa vizuri Le Mutuz humu ni mtu mzima hovyo, lakini Neema kuwalisha Sumu Watoto haikubariki.

Tuna ndugu zetu wamezaa unyamwezini miaka na miaka lakini mtoto anajuwa mpaka shikamoo.

Mbona Wahindi popote wanapozaliwa bado anakuwa ni muhindi yuleyule?

Eti suck my dick, halafu mama mzima unapeleka huu ujinga kwa Mange ili Watoto wako waonekane wasivyo na akili?
Hao watoto wanachuma laana sababu ya ujinga wa anayewalea.
 
Sasa mtu aliyeondoka na dola 1000 marekani ndio utegemee atume pesa ya matumizi marekani?Kwa kazi gani anayofanya Afrika?
Hapo hata mimi sikuelewa, so ni kwamba hatumi.
Ukiuliza alikua anasema Tu akili nyingi American experience sasa labda alitoka na mzigo Cash.
Tulikua tunataniana tu humu wakati yupo huko na mpk anarudi was nothn serious tunapoteza muda tu.
Utu uzima wa Sasa na ubwege anaofanya kuweka mtandaoni naona labda ndio inafanya X wife amshukie na watoto.
 
Back
Top Bottom