Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Nazungumzia mnaomponda William kwenye issues za hao wabebez, yupo sahihi kabisa haijalishi umri, kama anaishi mpweke iwe kaachwa au kaacha whatever ili mradi asumbui watu.

Why?, Issue ya mahusiano ni shida sana hasa ukiwa huna pesa na ukiwa nazo ni simple sana.

Baadhi wanamponda ni either hawana uwezo wa kubeba wabebez na hata ukiweza basi huwezi kushare km willy, vinginevyo tunafahamiana kwa roho mbaya tulizonazo kama waafrika.
You have a point...
 
Hakika
Hatutakiwi kujiingiza kwenye mambo ya watu lakini pia tunaweza kujifunza kupitia mambo ya watu ili kunufaika au kujifunza kupitia hayo mambo ya watu........

Mimi nadhani content ya bwana ni namna ambavyo kijana kamkosea adabu baba yake......

Matatizo na malumbano ni sehemu ya maisha kwenye mambo ya kifamilia lakini hayafahamiki kwa kuwa wanafamilia wameamua kujenga baada ya kubomoa........

Wanafamilia wanapoamua kuyatoa mambo yao nje na kudhalilishana sisi walimwengu hatuna cha kufanya zaidi ya kushangaa, kujifunza na kuwahurumia kwani anguko la kifamilia ni anguko baya.......
Hapa naona kuna emphasis kwenye kujadili watu kuliko hoja dhahania, jambo hili linafanya mada iwe umbea na ubuyu zaidi ya kitu kingine chochote.

Afadhali mtu angekuja na hoja dhahania, halafu kukawa na mfano mdogo tu wa mtu, halafu akashikilia hoja dhahania.

Hapa hoja ni watu, kuanzia kwenye heading mpaka original post.

Hilo limefanya mada iwe ubuyu na umbea zaidi ya kingine chochote.

But, I don't expect many Tanzanians to know the difference.

 
Mimi simuogopi Mungu, itakuwa mtu?

Nyie ndio wale wale mkimsoma mtu JF mshajiwekea ukaribu kwamba mnamjua.

Do not flatter yourself, you do not posses the lowest required wattage to worry me.

Nyie wabongo mnatafuta mchawi kwenye umasikini wenu, lakini mchawi wenu ni nyie wenyewe.

Badala ya kufuatilia mambo ya maendeleo yenu, mnafuatilia ubuyu wa maisha ya watu.

Kwa mtaji huu mtaendelea kuwa jamii ya kimasikini kwa muda mrefu sana.
Nyie jamaa acheni ubishi wa kipuuzi hapa, we kiranga kuita watu maskini kwa hela gani?
Kuna dada kakuuliza una brand gani ya kujivunia umekosa jibu.
Au utajijiri wako ni kukaa NYC.
Watu wapo huko miaka na miaka.
Acha ubwege wewe
 
Nyie jamaa acheni ubishi wa kipuuzi hapa, we kiranga kuita watu maskini kwa hela gani?
Kuna dada kakuuliza una brand gani ya kujivunia umekosa jibu.
Au utajijiri wako ni kukaa NYC.
Watu wapo huko miaka na miaka.
Acha ubwege wewe
Nikupe brand yangu ili iweje kwa mfano? Unifungulie uzi wa umbea JF?

Hapo watu kumjua Kiranga kupitia JF tu shobo kibao, wananiparata kama washawahi kuniona, unataka nikupe brand yangu?

Wakati mimi naongelea umasikini wa jamii nzima, wewe na guluguja wenzako wenye inferiority complex msiojua kusoma kwa ufahamu hamuwezi kuelewa kwa upeo huo wa kuangalia mambo kijamii, unaenda ku focus kwangu mimi mtu mmoja.

Unarudi kule kule nisikotaka mimi, kwenye ubuyu na umbea.

Unathibitisha maneno yangu tu.
 
Nikupe brand yangu ili iweje kwa mfano? Unifungulie uzi wa umbea JF?

Hapo watu kumjua Kiranga kupitia JF tu shobo kibao, wananiparata kama washawahi kuniona, unataka nikupe brand yangu?

Wakati mimi naongelea umasikini wa jamii nzima, wewe na guluguja wenzako msiojua kusoma kwa ufahamu hamuwezi kuelewa kwa upeo huo wa kuangalia mambo kijamii, unaenda ku focus kwangu mimi mtu mmoja.

Unathibitisha maneno yangu tu.
We hata Mungu hujui km yupo kisa uko US Mshamba mmoja tu.
Acheni ulimbukeni nyinyi ukienda mahali Nje unadharau watu.
Hapo ulipo km ungekua na akili na uko vizuri usingekaa hapa unabishana kutwa.
 
We hata Mungu hujui km yupo kisa uko US Mshamba mmoja tu.
Acheni ulimbukeni nyinyi ukienda mahali Nje unadharau watu.
Hapo ulipo km ungekua na akili na uko vizuri usingekaa hapa unabishana kutwa.
Huyo Mungu huwezi kuthibitisha yupo.

Limbukeni wewe ambaye unaamini vitu ambavyo huwezi kuthibitisha halafu ukiambiwa huo ujinga hutaki kusikia.

Thibitisha huyo Mungu yupo.
 
Nakumbuka huu mjadala wa Child support…Ni kama tulitabiri haya yanayotokea sasa kwa bwana FMES…
Field Marshall hatendewi haki katika hili.

Katika hali ya kawaida tu mtu anayeishi kwa uchawa Bongo akutumie pesa Marekani?

Ni vile tu Willy life style yake ametengeneza mazingira ya kupuuzwa lakini kwa hili hawamtendei haki.

Sasa inabidi Watanzania tuanze kuambiana ukweli, mkitumia sheria za Marekani kuwazinguwa watu mliokuwa wana ndoa ukikutana na Mimi nitamwambia Watoto warudi Bongo sina uwezo wa kuwahudumia Marekani fullstop ili kukomesha huu Utapeli wa mapenzi kwa kuwatumia Watoto.
 
Huyo Lemtuz , anabidi kujiheshimu kwanza nashangaa baba Mtu mzima wa age 60s anapost kalala na bitches Sasa huyo Nani atamuheshimu? It about fucking father.

Watz tunabidi kuacha umbea.
Lemutuz anavuna alichopanda

Hajiheshimu… haheshimiki na bahati mbaya katotoa katoto ka kufanana naye
 
Huyo Mungu huwezi kuthibitisha yupo.

Limbukeni wewe ambaye unaamini vitu ambavyo huwezi kuthibitisha halafu ukiambiwa huo ujinga hutaki kusikia.

Thibitisha huyo Mungu yupo.
We unaonekana hata huko ni jobbless tu kazi yako ubishi tu JF km unalipwa.
Tafuta kazi wewe acha kula kodi za watu
 
We unaonekana hata huko ni jobbless tu kazi yako ubishi tu JF km unalipwa.
Tafuta kazi wewe acha kula kodi za watu
wewe kwa vile unaishi katika ulimwengu ambao ni lazima ufanye kazi unafikiri kila mtu anahitaji kufanya kazi, hujui kuna watu hela inawafanyia kazi.

Sijafikisha quota ya watu ninaowapeleka ignore list.

Sipendi kujadiliana na watu wanaonuka mavi, mentally.

Nakupeleka ignore list kuanzia hapa sitaona posts zako.

Hujafikia viwango vya kujadiliana nami.
 
wewe kwa vile unaishi katika ulimwengu ambao ni lazima ufanye kazi unafikiri kila mtu anahitaji kufanya kazi, hujui kuna watu hela inawafanyia kazi.

Sijafikisha quota ya watu ninaowapeleka ignore list.

Sipendi kujadiliana na watu wanaonuka mavi, mentally.

Nakupeleka ignore list kuanzia hapa sitaona posts zako.

Hujafikia viwango vya kujadiliana nami.
Mkuu mbona unakua ndimu sana
 
Nikupe brand yangu ili iweje kwa mfano? Unifungulie uzi wa umbea JF?

Hapo watu kumjua Kiranga kupitia JF tu shobo kibao, wananiparata kama washawahi kuniona, unataka nikupe brand yangu?

Wakati mimi naongelea umasikini wa jamii nzima, wewe na guluguja wenzako wenye inferiority complex msiojua kusoma kwa ufahamu hamuwezi kuelewa kwa upeo huo wa kuangalia mambo kijamii, unaenda ku focus kwangu mimi mtu mmoja.

Unarudi kule kule nisikotaka mimi, kwenye ubuyu na umbea.

Unathibitisha maneno yangu tu.
Mkuu unaishi NY kweli au wanakuzushia, kama ni kweli nina shida na wewe naku pm
 
Back
Top Bottom