Kupendwa na wanawake(Nyota ya Wanawake)

Kupendwa na wanawake(Nyota ya Wanawake)

Mkuu inatokea tu..Kuna watu tuna pendwa tuuu .

Hata Mimi Siwez msemesha mwanamke akanichomolea, wanaonianza ndo usiseme.

Hawa wakukutana nao muda huohuo na kwenda kumuwekea Mpini ndo kabisaa.

Huwa najiuliza..

Ni Mwonekano?.

Au ucheshi?

Au nilivyo na lugha tamu?.

Au Kazi ??.

Maajab mademu Hawa wote situmiii Pesa yangu kuwapata.

Niliwahi muuliza Mzee wangu, Kwann watu wananiangalia Sanaa muda wote,, yeye akanijib, kwao Toka mababu na mababu ni Wa uzazi wa kichifu kwahiyo Kuna hiyo hali ya Kusujudiwa, kuogopwa, na kupendwa sana


Wakati nikiwa chuo , walihisi natumia dawa, Kuna washikaji wakawa wananifata niwape dawa, namm nikawa naingia mtaani nachuma Mizizi mizizi nawapa ,alafu nawapa mashirit magumuu, NAPIGA PESA ZAO.

Mimi niliingia Kwa Ofisi, unakuta huyo wa ofisin ndio ananiogopa Mimi, atanitetemekea na atanishigulikia jambo langu kwa haraka ili Moyo wake upoe.

Mimi nikiongea mbele ya mtu, au watu ,hukaa kimyaa sana, na kunisikilizaa Kwa makini sanaaaa, na kauli zangu Huwa kama Zina mamlaka kwao na kuaminika sana..



On the other hand, hali hii inanipa wakati mgumu sana kazini .

Wagonjwa kutaka kutibiwa namm tu, ndo wajihisi wanatibiwa, Nimekua naonewa wivu na chuki bila sababu.
 
Ana nyota ya ukimwi
Tukio lingine Tulienda nunua kitu sehemu... Kinauzwa 9.5k mtu kakomaa kweli kweli kweli.
Kesho yake Tukamuhusisha Yeye, swali alilotuuliza hiyo mnaetaka kufanya nae Biashara mwanamke Mwanaume.
Tulimwambia kua Ni mwanamke Akasema anaomba Namba ataongea nae.
Akiongea nae na tulinunua kwa 8k.
 
Mkuu inatokea tu..Kuna watu tuna pendwa tuuu .

Hata Mimi Siwez msemesha mwanamke akanichomolea, wanaonianza ndo usiseme.

Hawa wakukutana nao muda huohuo na kwenda kumuwekea Mpini ndo kabisaa.

Huwa najiuliza..

Ni Mwonekano?.

Au ucheshi?

Au nilivyo na lugha tamu?.

Au Kazi ??.

Maajab mademu Hawa wote situmiii Pesa yangu kuwapata.

Niliwahi muuliza Mzee wangu, Kwann watu wananiangalia Sanaa muda wote,, yeye akanijib, kwao Toka mababu na mababu ni Wa uzazi wa kichifu kwahiyo Kuna hiyo hali ya Kusujudiwa, kuogopwa, na kupendwa sana


Wakati nikiwa chuo , walihisi natumia dawa, Kuna washikaji wakawa wananifata niwape dawa, namm nikawa naingia mtaani nachuma Mizizi mizizi nawapa ,alafu nawapa mashirit magumuu, NAPIGA PESA ZAO.

Mimi niliingia Kwa Ofisi, unakuta huyo wa ofisin ndio ananiogopa Mimi, atanitetemekea na atanishigulikia jambo langu kwa haraka ili Moyo wake upoe.

Mimi nikiongea mbele ya mtu, au watu ,hukaa kimyaa sana, na kunisikilizaa Kwa makini sanaaaa, na kauli zangu Huwa kama Zina mamlaka kwao na kuaminika sana..



On the other hand, hali hii inanipa wakati mgumu sana kazini .

Wagonjwa kutaka kutibiwa namm tu, ndo wajihisi wanatibiwa, Nimekua naonewa wivu na chuki bila sababu.
Pana ishu nyingi pana ishu ya kibali pia nyota Yako ya mvuto mamlaka haijaibiwa na wachawi
 
Mkuu inatokea tu..Kuna watu tuna pendwa tuuu .

Hata Mimi Siwez msemesha mwanamke akanichomolea, wanaonianza ndo usiseme.

Hawa wakukutana nao muda huohuo na kwenda kumuwekea Mpini ndo kabisaa.

Huwa najiuliza..

Ni Mwonekano?.

Au ucheshi?

Au nilivyo na lugha tamu?.

Au Kazi ??.

Maajab mademu Hawa wote situmiii Pesa yangu kuwapata.

Niliwahi muuliza Mzee wangu, Kwann watu wananiangalia Sanaa muda wote,, yeye akanijib, kwao Toka mababu na mababu ni Wa uzazi wa kichifu kwahiyo Kuna hiyo hali ya Kusujudiwa, kuogopwa, na kupendwa sana


Wakati nikiwa chuo , walihisi natumia dawa, Kuna washikaji wakawa wananifata niwape dawa, namm nikawa naingia mtaani nachuma Mizizi mizizi nawapa ,alafu nawapa mashirit magumuu, NAPIGA PESA ZAO.

Mimi niliingia Kwa Ofisi, unakuta huyo wa
JamiiForums1964343086.gif
ofisin ndio ananiogopa Mimi, atanitetemekea na atanishigulikia jambo langu kwa haraka ili Moyo wake upoe.

Mimi nikiongea mbele ya mtu, au watu ,hukaa kimyaa sana, na kunisikilizaa Kwa makini sanaaaa, na kauli zangu Huwa kama Zina mamlaka kwao na kuaminika sana..



On the other hand, hali hii inanipa wakati mgumu sana kazini .

Wagonjwa kutaka kutibiwa namm tu, ndo wajihisi wanatibiwa, Nimekua naonewa wivu na chuki bila sababu.
 
Mkuu inatokea tu..Kuna watu tuna pendwa tuuu .

Hata Mimi Siwez msemesha mwanamke akanichomolea, wanaonianza ndo usiseme.

Hawa wakukutana nao muda huohuo na kwenda kumuwekea Mpini ndo kabisaa.

Huwa najiuliza..

Ni Mwonekano?.

Au ucheshi?

Au nilivyo na lugha tamu?.

Au Kazi ??.

Maajab mademu Hawa wote situmiii Pesa yangu kuwapata.

Niliwahi muuliza Mzee wangu, Kwann watu wananiangalia Sanaa muda wote,, yeye akanijib, kwao Toka mababu na mababu ni Wa uzazi wa kichifu kwahiyo Kuna hiyo hali ya Kusujudiwa, kuogopwa, na kupendwa sana


Wakati nikiwa chuo , walihisi natumia dawa, Kuna washikaji wakawa wananifata niwape dawa, namm nikawa naingia mtaani nachuma Mizizi mizizi nawapa ,alafu nawapa mashirit magumuu, NAPIGA PESA ZAO.

Mimi niliingia Kwa Ofisi, unakuta huyo wa ofisin ndio ananiogopa Mimi, atanitetemekea na atanishigulikia jambo langu kwa haraka ili Moyo wake upoe.

Mimi nikiongea mbele ya mtu, au watu ,hukaa kimyaa sana, na kunisikilizaa Kwa makini sanaaaa, na kauli zangu Huwa kama Zina mamlaka kwao na kuaminika sana..



On the other hand, hali hii inanipa wakati mgumu sana kazini .

Wagonjwa kutaka kutibiwa namm tu, ndo wajihisi wanatibiwa, Nimekua naonewa wivu na chuki bila sababu.
Chai ya moto sana hii
 
Back
Top Bottom