mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Kama unashindwa kuelewa kanuni rahisi tu kwamba 'binadamu hawafanani' sina namna naweza nikakuelezea ukaelewa.Ni Binadamu anauweza wa tofauti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unashindwa kuelewa kanuni rahisi tu kwamba 'binadamu hawafanani' sina namna naweza nikakuelezea ukaelewa.Ni Binadamu anauweza wa tofauti.
Tukio lingine Tulienda nunua kitu sehemu... Kinauzwa 9.5k mtu kakomaa kweli kweli kweli.Ana nyota ya ukimwi
Pana ishu nyingi pana ishu ya kibali pia nyota Yako ya mvuto mamlaka haijaibiwa na wachawiMkuu inatokea tu..Kuna watu tuna pendwa tuuu .
Hata Mimi Siwez msemesha mwanamke akanichomolea, wanaonianza ndo usiseme.
Hawa wakukutana nao muda huohuo na kwenda kumuwekea Mpini ndo kabisaa.
Huwa najiuliza..
Ni Mwonekano?.
Au ucheshi?
Au nilivyo na lugha tamu?.
Au Kazi ??.
Maajab mademu Hawa wote situmiii Pesa yangu kuwapata.
Niliwahi muuliza Mzee wangu, Kwann watu wananiangalia Sanaa muda wote,, yeye akanijib, kwao Toka mababu na mababu ni Wa uzazi wa kichifu kwahiyo Kuna hiyo hali ya Kusujudiwa, kuogopwa, na kupendwa sana
Wakati nikiwa chuo , walihisi natumia dawa, Kuna washikaji wakawa wananifata niwape dawa, namm nikawa naingia mtaani nachuma Mizizi mizizi nawapa ,alafu nawapa mashirit magumuu, NAPIGA PESA ZAO.
Mimi niliingia Kwa Ofisi, unakuta huyo wa ofisin ndio ananiogopa Mimi, atanitetemekea na atanishigulikia jambo langu kwa haraka ili Moyo wake upoe.
Mimi nikiongea mbele ya mtu, au watu ,hukaa kimyaa sana, na kunisikilizaa Kwa makini sanaaaa, na kauli zangu Huwa kama Zina mamlaka kwao na kuaminika sana..
On the other hand, hali hii inanipa wakati mgumu sana kazini .
Wagonjwa kutaka kutibiwa namm tu, ndo wajihisi wanatibiwa, Nimekua naonewa wivu na chuki bila sababu.
Na ingependeza wadada wakupe mtazamo wao ndo utaelewa vizuri.Brother Uko sahihi... Binadamu tuko tofauti.
He is also still a child, akikua atajua kumbe ni ujinga wa kuukimbia sana.When I was young I used to fancy this demeanor. Later I realized it was a curse..
Mkuu inatokea tu..Kuna watu tuna pendwa tuuu .
Hata Mimi Siwez msemesha mwanamke akanichomolea, wanaonianza ndo usiseme.
Hawa wakukutana nao muda huohuo na kwenda kumuwekea Mpini ndo kabisaa.
Huwa najiuliza..
Ni Mwonekano?.
Au ucheshi?
Au nilivyo na lugha tamu?.
Au Kazi ??.
Maajab mademu Hawa wote situmiii Pesa yangu kuwapata.
Niliwahi muuliza Mzee wangu, Kwann watu wananiangalia Sanaa muda wote,, yeye akanijib, kwao Toka mababu na mababu ni Wa uzazi wa kichifu kwahiyo Kuna hiyo hali ya Kusujudiwa, kuogopwa, na kupendwa sana
Wakati nikiwa chuo , walihisi natumia dawa, Kuna washikaji wakawa wananifata niwape dawa, namm nikawa naingia mtaani nachuma Mizizi mizizi nawapa ,alafu nawapa mashirit magumuu, NAPIGA PESA ZAO.
Mimi niliingia Kwa Ofisi, unakuta huyo waofisin ndio ananiogopa Mimi, atanitetemekea na atanishigulikia jambo langu kwa haraka ili Moyo wake upoe.![]()
Mimi nikiongea mbele ya mtu, au watu ,hukaa kimyaa sana, na kunisikilizaa Kwa makini sanaaaa, na kauli zangu Huwa kama Zina mamlaka kwao na kuaminika sana..
On the other hand, hali hii inanipa wakati mgumu sana kazini .
Wagonjwa kutaka kutibiwa namm tu, ndo wajihisi wanatibiwa, Nimekua naonewa wivu na chuki bila sababu.
Chai ya moto sana hiiMkuu inatokea tu..Kuna watu tuna pendwa tuuu .
Hata Mimi Siwez msemesha mwanamke akanichomolea, wanaonianza ndo usiseme.
Hawa wakukutana nao muda huohuo na kwenda kumuwekea Mpini ndo kabisaa.
Huwa najiuliza..
Ni Mwonekano?.
Au ucheshi?
Au nilivyo na lugha tamu?.
Au Kazi ??.
Maajab mademu Hawa wote situmiii Pesa yangu kuwapata.
Niliwahi muuliza Mzee wangu, Kwann watu wananiangalia Sanaa muda wote,, yeye akanijib, kwao Toka mababu na mababu ni Wa uzazi wa kichifu kwahiyo Kuna hiyo hali ya Kusujudiwa, kuogopwa, na kupendwa sana
Wakati nikiwa chuo , walihisi natumia dawa, Kuna washikaji wakawa wananifata niwape dawa, namm nikawa naingia mtaani nachuma Mizizi mizizi nawapa ,alafu nawapa mashirit magumuu, NAPIGA PESA ZAO.
Mimi niliingia Kwa Ofisi, unakuta huyo wa ofisin ndio ananiogopa Mimi, atanitetemekea na atanishigulikia jambo langu kwa haraka ili Moyo wake upoe.
Mimi nikiongea mbele ya mtu, au watu ,hukaa kimyaa sana, na kunisikilizaa Kwa makini sanaaaa, na kauli zangu Huwa kama Zina mamlaka kwao na kuaminika sana..
On the other hand, hali hii inanipa wakati mgumu sana kazini .
Wagonjwa kutaka kutibiwa namm tu, ndo wajihisi wanatibiwa, Nimekua naonewa wivu na chuki bila sababu.
Kuwa makini na huyo Haule.Wapo ila wengi wachawi
AmefanyajeKuwa makini na huyo Haule.
Umenena vyema Sana mkuu,nakazia ujumbeUkiona wanamke wanakupenda ujue wewe ni mwepesi wa kutoa hela na ukiwa mwepesi wa kutoa hela ujue wewe una nyota ya umaskini