Kupendwa na wanawake(Nyota ya Wanawake)

Kupendwa na wanawake(Nyota ya Wanawake)

Kuna watu wapo hivyo.Huwa kuna muda si waongeaji ila ukiwapa nafasi waongee au wajitetee utashangazwa.Kwa wanawake ndiyo balaa.
 
Ninae Rafiki Yangu Mmoja Jina lake linaanzia na Herufi H. Nimiaka mingi Sana tumefahamiana nae, Ebana Huyo mshikaji anapendwa sana na Wanawake.

Mara Nyingi tunapokua Wote Tunaeza kua Hata tumeongoza mi kutaka kuthibitisha Hilo, naeza ona mwanamke Hata kwa Mbali,na mwambia msemeshe yule tuone Kama atakubali, yaani akimsemesha mwanamke achomoi.

Na inafika hatua mpaka Wanawake wanamuomba Namba mshikaji,na wao ndo wanamtafuta.
Mwaka Jana Kuna bint nilimuona mlimani city mi nikamsemesha hakuitikia kauli Yangu, Mara Tatu namsemesha hajaitikia, Rafiki Yangu Alikua ameenda kununua maji, aliporudi nikamuadhia Kuna Mrembo kapita Hapa nimemsemesha Hata ajanibu kitu, akaniambia Yuko wapi Bint Mwenyewe Nika muonyesha yule kule...

Alitembea Fasta kumfata yule Bint akampita akaenda kwa Mbele Kuna mlinzi wa pakingi aka msalimia arafu akaanza kurudi nilipo huwezi amini alipomsemesha tu yule Bint alisimama na Namba akatoa.

Baada siku kadhaa akanipigia Simu Mida ya Saa mbili Broo Uko wapi, nkamwambia ndo natoka kazini, akaniambia Kama una mda pitia home upate Chakula Cha jioni Niko na shemeji yako.

Kwenda na.kumkuta yule Binti...
Tayari kasha Chezea koki.....
Imeandikwa ikimbieni zinaa Leo hii mfanya zinaa anaonekana bigwa ni kama mshindi wa tuzo na kuona ufahari kujitangaza
 
Umaskini una mnyemelea mwambie ashtuke mapema
 
Mkuu inatokea tu..Kuna watu tuna pendwa tuuu .

Hata Mimi Siwez msemesha mwanamke akanichomolea, wanaonianza ndo usiseme.

Hawa wakukutana nao muda huohuo na kwenda kumuwekea Mpini ndo kabisaa.

Huwa najiuliza..

Ni Mwonekano?.

Au ucheshi?

Au nilivyo na lugha tamu?.

Au Kazi ??.

Maajab mademu Hawa wote situmiii Pesa yangu kuwapata.

Niliwahi muuliza Mzee wangu, Kwann watu wananiangalia Sanaa muda wote,, yeye akanijib, kwao Toka mababu na mababu ni Wa uzazi wa kichifu kwahiyo Kuna hiyo hali ya Kusujudiwa, kuogopwa, na kupendwa sana


Wakati nikiwa chuo , walihisi natumia dawa, Kuna washikaji wakawa wananifata niwape dawa, namm nikawa naingia mtaani nachuma Mizizi mizizi nawapa ,alafu nawapa mashirit magumuu, NAPIGA PESA ZAO.

Mimi niliingia Kwa Ofisi, unakuta huyo wa ofisin ndio ananiogopa Mimi, atanitetemekea na atanishigulikia jambo langu kwa haraka ili Moyo wake upoe.

Mimi nikiongea mbele ya mtu, au watu ,hukaa kimyaa sana, na kunisikilizaa Kwa makini sanaaaa, na kauli zangu Huwa kama Zina mamlaka kwao na kuaminika sana..



On the other hand, hali hii inanipa wakati mgumu sana kazini .

Wagonjwa kutaka kutibiwa namm tu, ndo wajihisi wanatibiwa, Nimekua naonewa wivu na chuki bila sababu.
😍😍😍 wewe ni copy yangu mkuu, huwa nashindwa hata kuwaelewa watuwa wanaosema wanawake wanapenda pesa, pia kuna ile hali ya kukubalika haraka kila sehemu unayoenda,unapopita kila mtu anakuangalia wewe tu, unapofanya jambo hata kama ni baya kila mtu atatamani kufanya kama wewe.
 
FUTA tongotongo kaka,miaka ya nyuma nilikuwa na rafiki yangu nilikuwa nasema kama wewe unavyosema,years later nikajua thibitisha ni Mtu anayeoga dawa,anakunywa dawa,anapaka dawa,anatafuta dawa,anavaa dawa kifupi rafiki yako ni shirkina.
 
FUTA tongotongo kaka,miaka ya nyuma nilikuwa na rafiki yangu nilikuwa nasema kama wewe unavyosema,years later nikajua thibitisha ni Mtu anayeoga dawa,anakunywa dawa,anapaka dawa,anatafuta dawa,anavaa dawa kifupi rafiki yako ni shirkina.


Huyo rfiki yako alikuwa KE au ME Mimi nina mama Mdogo angu anatumia madawa Sana ushirikina kunasa wanaume.


Ila wale wanaume classic Kama Mimi hapati yeye anapata gombania goli

Anaweza kuachika huku Ahsubui Ila jioni akaolewa na MTU mwingine.


Hiyo IPO Ila unfortunately hapati wanume classic Good man hapati. Anapata vicheche Kama yeye
 
Huyo rfiki yako alikuwa KE au ME Mimi nina mama Mdogo angu anatumia madawa Sana ushirikina kunasa wanaume.


Ila wale wanaume classic Kama Mimi hapati yeye anapata gombania goli

Anaweza kuachika huku Ahsubui Ila jioni akaolewa na MTU mwingine.


Hiyo IPO Ila unfortunately hapati wanume classic Good man hapati. Anapata vicheche Kama yeye
Ni KE,kama usemavyo hana mwanaume permanent Sadly ni jumping no position
 
Kuna watu wanaupepo na wanawake
Kalagha baho, hamna watu wa hivo, kuna vitu extra wanavifanya.
Kupendeza, kutupia pics mitandaoni wakiwa na good look, maneno ya kuwapagawisha girls nk.
Na hivyo vitu wanafanya wakiwa na interest ya kuwaaminisha ninyi.
 
Unajua huyu Ni mshikaji wangu, alinipigia Familia Moja mabinti watatu.
Wale wadada wanagombama.. mtu kaileta ntaiacha.Daaa
Bro its just a mindset na vilaumbele vyako tu.

Mfano kwangu girls sio first priority, so ntapambana nifanikishe vingine na sio kugongana pekee.
Ila enzi zangu nilikua sigongani ila still maboya walidhani mi nakula sana manzi skuli kumbe ni ile tu kubang nao sana nk.

Ndo kama wewe sasa, jamaa ana show off, huenda wengine hachapi ila kwakua ninyi mshamchukulia ni mtu wa pisi basi jamaa anatake advantage.

Em toa hiyo mindeset, nadhani inakuathiri sana hiyo.
 
Kitu chochote ukiwekeza nguvu na akili katika jambo hilo...! Baadae inakua rahisi mno kulifanikisha na ndo litakua linatokea kwenye maisha yako mara kwa mara....! Huyo rafiki yako aliwekeza nguvu na akili kwa wanawake toka zamani, mpaka sasa imekua tabia. Hivyo anawapata bila kutumia nguvu
 
Kalagha baho, hamna watu wa hivo, kuna vitu extra wanavifanya.
Kupendeza, kutupia pics mitandaoni wakiwa na good look, maneno ya kuwapagawisha girls nk.
Na hivyo vitu wanafanya wakiwa na interest ya kuwaaminisha ninyi.
Sasa unanibishia kwa mtu ambaye nilikua naishi nae na hali yake ya uchumu ilikua ya kawaida sana jamiiforum ni kiboko
 
Back
Top Bottom