Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Wanawpata ila ndo hivyo Mungu hawezi kupa kila kituMbona hiyo nyota au hicho kibali usikipate kuwanasa watoto wa kishua ?
Kazi mbovu kila MTU Anaweza kupata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawpata ila ndo hivyo Mungu hawezi kupa kila kituMbona hiyo nyota au hicho kibali usikipate kuwanasa watoto wa kishua ?
Kazi mbovu kila MTU Anaweza kupata
Hebana huyu Jamaa Ni Rafiki Yangu lakini simuelewi alitongoza Demu Bank posts hapo, na akachapa siku hiyo hiyo...aliniambia huyu nimemuelewa Nataka nipge Leo Leo....
Kweli kidemu kimetoka kazini kimepiga simu chenyewe nishatika kazin.
Sitanii , hii kitu ni halisi .
Sio tu kwenye mapenzi, hata Maisha yangu ya nje .
Rafiki zangu asilimia kubwa, Huwa hawapendi kunitambulisha Kwa wake au wapenzi wao.( Najua sababu).
Kwenye Maisha mengine, ninapendwa, ninaogopwa , Nina Nguvu ya Kimamlaka Kwa watu , Ninachokisema naaminika.
Mara nyingi watu wananifata kuniambia .
Toka nasoma shule ya msingi mpaka kidato Cha sita, Nilikua nikichaguliwa Mara Kwa mara kuwakilisha wanafunzi wenzangu.
Naingia Chuo Kikuu, napiga shule yangu , wadada walikua wanamiminika sana , Ndio sababu jamaa walihisi Nina dawa .
Kwa Sasa Niko kazin ninapendwa mnooo, Nina mtaji mkubwa sana wa watu nyuma yangu, na waina mbalimbali wenye kazi mbalimbali .
Niwapo kazin, wagonjwa wakishajua tu ,Niko Chumba namba ngapiiii, basi wataomba faili zao ziletwe kwangu .
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] koki sioNinae Rafiki Yangu Mmoja Jina lake linaanzia na Herufi H. Nimiaka mingi Sana tumefahamiana nae, Ebana Huyo mshikaji anapendwa sana na Wanawake.
Mara Nyingi tunapokua Wote Tunaeza kua Hata tumeongoza mi kutaka kuthibitisha Hilo, naeza ona mwanamke Hata kwa Mbali,na mwambia msemeshe yule tuone Kama atakubali, yaani akimsemesha mwanamke achomoi.
Na inafika hatua mpaka Wanawake wanamuomba Namba mshikaji,na wao ndo wanamtafuta.
Mwaka Jana Kuna bint nilimuona mlimani city mi nikamsemesha hakuitikia kauli Yangu, Mara Tatu namsemesha hajaitikia, Rafiki Yangu Alikua ameenda kununua maji, aliporudi nikamuadhia Kuna Mrembo kapita Hapa nimemsemesha Hata ajanibu kitu, akaniambia Yuko wapi Bint Mwenyewe Nika muonyesha yule kule...
Alitembea Fasta kumfata yule Bint akampita akaenda kwa Mbele Kuna mlinzi wa pakingi aka msalimia arafu akaanza kurudi nilipo huwezi amini alipomsemesha tu yule Bint alisimama na Namba akatoa.
Baada siku kadhaa akanipigia Simu Mida ya Saa mbili Broo Uko wapi, nkamwambia ndo natoka kazini, akaniambia Kama una mda pitia home upate Chakula Cha jioni Niko na shemeji yako.
Kwenda na.kumkuta yule Binti...
Tayari kasha Chezea koki.....
Vibuti[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Wengi wanamponda mleta uzi sababu wanamuonea wivu rafiki yake mleta uzi
Kuna watu ni mwendo wa vibuti lazima wamponde mleta uzi
Hii ina ukweli?Ukiona wanamke wanakupenda ujue wewe ni mwepesi wa kutoa hela na ukiwa mwepesi wa kutoa hela ujue wewe una nyota ya umaskini
Aibu naona mimi.Ninae Rafiki Yangu Mmoja Jina lake linaanzia na Herufi H. Nimiaka mingi Sana tumefahamiana nae, Ebana Huyo mshikaji anapendwa sana na Wanawake.
Mara Nyingi tunapokua Wote Tunaeza kua Hata tumeongoza mi kutaka kuthibitisha Hilo, naeza ona mwanamke Hata kwa Mbali,na mwambia msemeshe yule tuone Kama atakubali, yaani akimsemesha mwanamke achomoi.
Na inafika hatua mpaka Wanawake wanamuomba Namba mshikaji,na wao ndo wanamtafuta.
Mwaka Jana Kuna bint nilimuona mlimani city mi nikamsemesha hakuitikia kauli Yangu, Mara Tatu namsemesha hajaitikia, Rafiki Yangu Alikua ameenda kununua maji, aliporudi nikamuadhia Kuna Mrembo kapita Hapa nimemsemesha Hata ajanibu kitu, akaniambia Yuko wapi Bint Mwenyewe Nika muonyesha yule kule...
Alitembea Fasta kumfata yule Bint akampita akaenda kwa Mbele Kuna mlinzi wa pakingi aka msalimia arafu akaanza kurudi nilipo huwezi amini alipomsemesha tu yule Bint alisimama na Namba akatoa.
Baada siku kadhaa akanipigia Simu Mida ya Saa mbili Broo Uko wapi, nkamwambia ndo natoka kazini, akaniambia Kama una mda pitia home upate Chakula Cha jioni Niko na shemeji yako.
Kwenda na.kumkuta yule Binti...
Tayari kasha Chezea koki.....
Sio kweli kuna watu wanaume wao ndo wanawake wanawahonga wako wengi tuHii ina ukweli?
Sio kweli kuna watu wanaume wao ndo wanawake wanawahonga wako wengi tuUkiona wanamke wanakupenda ujue wewe ni mwepesi wa kutoa hela na ukiwa mwepesi wa kutoa hela ujue wewe una nyota ya umaskini
Sawa mkuuSio kweli kuna watu wanaume wao ndo wanawake wanawahonga wako wengi tu
Hii ipo mkuu, kuna mshikaji asee hajawahi kataliwa na msichana yeyote ambae mim nimeshuhudia akimtaka. Jamaa anawataabisha mademu mpaka nawaoneaga huruma. Jamaa ni good looking, ana shule halafu mpole sana! Hatoi hela kabisaMkuu inatokea tu..Kuna watu tuna pendwa tuuu .
Hata Mimi Siwez msemesha mwanamke akanichomolea, wanaonianza ndo usiseme.
Hawa wakukutana nao muda huohuo na kwenda kumuwekea Mpini ndo kabisaa.
Huwa najiuliza..
Ni Mwonekano?.
Au ucheshi?
Au nilivyo na lugha tamu?.
Au Kazi ??.
Maajab mademu Hawa wote situmiii Pesa yangu kuwapata.
Niliwahi muuliza Mzee wangu, Kwann watu wananiangalia Sanaa muda wote,, yeye akanijib, kwao Toka mababu na mababu ni Wa uzazi wa kichifu kwahiyo Kuna hiyo hali ya Kusujudiwa, kuogopwa, na kupendwa sana
Wakati nikiwa chuo , walihisi natumia dawa, Kuna washikaji wakawa wananifata niwape dawa, namm nikawa naingia mtaani nachuma Mizizi mizizi nawapa ,alafu nawapa mashirit magumuu, NAPIGA PESA ZAO.
Mimi niliingia Kwa Ofisi, unakuta huyo wa ofisin ndio ananiogopa Mimi, atanitetemekea na atanishigulikia jambo langu kwa haraka ili Moyo wake upoe.
Mimi nikiongea mbele ya mtu, au watu ,hukaa kimyaa sana, na kunisikilizaa Kwa makini sanaaaa, na kauli zangu Huwa kama Zina mamlaka kwao na kuaminika sana..
On the other hand, hali hii inanipa wakati mgumu sana kazini .
Wagonjwa kutaka kutibiwa namm tu, ndo wajihisi wanatibiwa, Nimekua naonewa wivu na chuki bila sababu.
Mwamba unafanana na mwamba wangu mmoja! Yule jamaa anakubalika na kila demu. Demu wa aina yyte akimtaka hatoboi! Halafu kaoa pisi mbovu balaa dahSitanii , hii kitu ni halisi .
Sio tu kwenye mapenzi, hata Maisha yangu ya nje .
Rafiki zangu asilimia kubwa, Huwa hawapendi kunitambulisha Kwa wake au wapenzi wao.( Najua sababu).
Kwenye Maisha mengine, ninapendwa, ninaogopwa , Nina Nguvu ya Kimamlaka Kwa watu , Ninachokisema naaminika.
Mara nyingi watu wananifata kuniambia .
Toka nasoma shule ya msingi mpaka kidato Cha sita, Nilikua nikichaguliwa Mara Kwa mara kuwakilisha wanafunzi wenzangu.
Naingia Chuo Kikuu, napiga shule yangu , wadada walikua wanamiminika sana , Ndio sababu jamaa walihisi Nina dawa .
Kwa Sasa Niko kazin ninapendwa mnooo, Nina mtaji mkubwa sana wa watu nyuma yangu, na waina mbalimbali wenye kazi mbalimbali .
Niwapo kazin, wagonjwa wakishajua tu ,Niko Chumba namba ngapiiii, basi wataomba faili zao ziletwe kwangu .
Ni kama jackpot, kadiri unavocheza mara nyingi zaidi ndo unajiongezea nafasi ya kushinda.Kadri unavyojituma kutafuta madem basi zoezi hilo huwa ni rahisi zaidi(utawapata sana)
Sijui kuna uhusiano gani kati ya jitihada ya kuwatafuta na wao kukubali kirahisi.!!
Not the case actually, kuna tofauti ya kupendwa na kupendwa sawababu unatoa pesa. Kama hata namba hakupi? Pesa unatoaje?Ukiona wanamke wanakupenda ujue wewe ni mwepesi wa kutoa hela na ukiwa mwepesi wa kutoa hela ujue wewe una nyota ya umaskini