The introvert
JF-Expert Member
- Sep 15, 2023
- 701
- 1,522
kweli kabisa tumepigwa hapakimoja tu cha kuingiza watu 25+k na chenji kidogo inabaki,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli kabisa tumepigwa hapakimoja tu cha kuingiza watu 25+k na chenji kidogo inabaki,
Hayo ya chama cha Mapinduzi umesema wewe. Kwanini roho yako inapenda sana Negativity? Ukisikia Tanzania imepatwa na jambo baya unafurahi kwenye moyo wako? Haya ushauri wako ni nini?Kwahiyo hao CCM yote haya hawayajui sio...
Aisee upo dunia hii hii au huwa unawasili asubuhi kututembelea?Shida sio katiba tusitoane ufahamu shida inaanzia kwenye bongo zetu.
Mnyongwe..Hayo ya chama cha Mapinduzi umesema wewe. Kwanini roho yako inapenda sana Negativity? Ukisikia Tanzania imepatwa na jambo baya unafurahi kwenye moyo wako? Haya ushauri wako ni nini?
Ni ujinga bado, kuendelea kulaumu juu ya JPM ambaye mpaka anaondoka miaka yake 6, makampuni haya haya yanayolipwa sasa, ndiyo hayo yaliosistishiwa leseni zao mwanzoni kabisa mwa utawala wa JPM na hayakufungua kesi wala niniMnajaza bungeni makada wa chama, wanasheria wa Tz wote wameja wale wenye strong connection na vigogo wa CCM, kweli utegemee ufanisi katika sekita yoyote.
Hizo $30m bado nyingi zitalipwa kosa kubwa ni kuruhusu mtu kama JPM kua Raisi wa nchi hi bado wataendelea kulipia hayo makosa.
Nchi hii ni “totalitarian state”. Rais ndio kila kitu. Ndiye mwenyekiti wa chama tawala (CCM) chama kilichomuweka madarakani. Ndiye mwenye maamuzi ya mwisho ndani ya serikali na ndani ya CCM. Mamlaka na madaraka yake ni kamili (absolute power).CCM siyo mtu, haiwezekani kuilaumu. Huko mahakamani haiendi CCM.
Tulaumu watu wanaofanya haya maamuzi na watajwe hadharani ili wananchi tuwaachie au tuwahukumu. Siyo kila siku kutaja kitu kisichoonekana eti ccm.
The same mistake persists..hii nchi tulishafanya makosa mengi sana, ila kosa kubwa ambalo litatugharimu muda mrefu sana ni kumchagua magufuli kuwa rais wa nchi yetu.
Tutajisahihisha lini kama mfano wa hivi karibuni wa DPW watu wanautetea kwa nguvu zote na hawataki kusikiliza hoja za wanaokosoa?Tujisahihishe kama ambavyo amewahi kuandika baba wa Taifa ili tusirudie makosa ambayo yatakuwa yanatugharimu kama Taifa.
Wametudhibiti kwenye mishahara tu, ila kwengine kwengine aaa tunajilipaga wenyewe sheikh. Huo uzalendo utoke wapi kama mambo yenywe ndiyo haya mzee.Ndiyo maana twatakiwa tukwepe kodi
Ni muendelezo tu mkuu, maguli asingekuwa ras hata huyu bibi pia asingekuwa rais.The same mistake persists..
Rais wa sasa.
Mtakuja lia.
Aisee kazi kusema CHINOMANAWAN aisee acha kabisaaRais anatembea na wasanii tu wa amapiano na bongo movie tu [emoji1]
Ndiyo washauri wake sijui
Ova
Nenda shule kajielimishe acha uzwazwa.Kwani mahakama ni mtu?.CCM siyo mtu, haiwezekani kuilaumu. Huko mahakamani haiendi CCM.
Tulaumu watu wanaofanya haya maamuzi na watajwe hadharani ili wananchi tuwaachie au tuwahukumu. Siyo kila siku kutaja kitu kisichoonekana eti ccm.
Hakuna kuna gesi LNG nafikiri ndio litakuwa funga kazi. Nafikiri Makamba alishafanya yake huko. Mkabata wa 40 Trillioni.Bado Tusubiri ya DPW ndo itakuwa kubwa kuliko Zote
Tumekwishaaaaaa🤣🤣Hakuna kuna gesi LNG nafikiri ndio litakuwa funga kazi. Nafikiri Makamba alishafanya yake huko. Mkabata wa 40 Trillioni.