Kupigwa Marufuku Makanisa ya Kilokole, Gwajima amjibu mkuu wa mkoa wa Arusha, ni mtoto wa Dawa

Kwa hiyo dawa ndiyo baba yake?
 
kamannda kubwa limeunguruma, mtu flani atakuwa anatia maji zake nywele huko aliko. Ni ujumbe wa gambo na mwengine pia..safi sana
 

Alikuwa wapi siku zote hakutoa hayo maneno?

Vipi yule bashite aliyesema wamemfuta katika ulimwengu wa siasa mbona anadunda tu?
 
Alikataza mikesha au alikataza mikesha inayoambatana na kuungurumisha maspika mwanzo mwisho hadi asubuhi?

Maana hivi kweli katikati ya makazi ya watu mnaungurumisha spika usiku kucha is it fair? Unless aseme aliwazuia wao lkn akaacha baa na kumbi za starehe sasa huo ni undumilakuwili na kama ni hivyo umeshamgharimu tayari.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…