Kupitia mafanikio ya Diamond Platnumz nimegundua Watanzania wengi wana roho mbaya

Mwanzo wa kushindwa kwako huanzia kwenye roho ya kwanini na kijicho kwa waliofanikiwa
Roho ya ^kwa nini^ siyo mbaya ikiwa positive. Kosa ni kijicho na wivu. Halafu kumwonea wivu mtu mwingine eti kwa the so-called mafanikio yake, ni kujishushia heshima na kujidhalilisha mchana kweupe, kwa sababu there is so much, even infinite possibilities, that every person can accomplish.
 
Bongo(Tanzania) hii mtu akifanikiwa anachukiwa na chuki huletwa na wivu, watu wanapenda kuona fulani ameshindwa kufanya jambo kwa kukosa pesa au amefilisika basi hapo watatoa pole kinafiki huku moyoni wanafurahia Sasa itokee umefanikiwa jambo lolote utapigwa majungu, chuki na kuzushiwa kila jambo baya ili tu uonekane hauna maana kwenye jamii na sehemu za kazi
 
Acha kututukania nchi wewe!!! Wivu hauna chama, sawa!??? Kila mtu, regardless of jiografiko pozisheni yake, wivu, kijicho na chuki vinamkaa, endapo asipokuwa na roho ile nyingine ya utu na ubinadamu.
 

Nafsi zenye mufilisi hazitamuweza Nassibu na WCB kwa ujumla na ataendelea kusonga mbele zaidi
 
Acha kututukania nchi wewe!!! Wivu hauna chama, sawa!??? Kila mtu, regardless of jiografiko pozisheni yake, wivu, kijicho na chuki vinamkaa, endapo asipokuwa na roho ile nyingine ya utu na ubinadamu.
Punguza mihemuko, hakuna sehemu nimeandika kuhusu chama
 
Vijana wapambanaji wapo wengi.....
ww ni chawa wake.....!?
vp unapambana lkn!!?
 
Unafiki na tabia yake ya kulazimisha ku-monopolise soko la muziki.

Yaani inshort anapambana kujifanya Ruge part 2.
How,kibiashara huwezi kulazimisha monopolization unless serikali iingilie kati ili uwe msambazaji pekee kama TANESCO au usambaze kilicho bora na kuua soko kwa wengine.Nachokiona kwako ni kutafuta justification ya chuki zako kama wengine sababu diamond anamiliki media moja Tz na sio media zote.hata kama ataamua kuwabania wasanii wengine kupitia media yake still kuna media nyingi wanazoweza kutokea bila kusahau social media ni accessible kwa kila mtu.Labda hamjajua moja ya indicator ya uvivu,umaskini wa mali na fikra ni kuchukia wenye mafanikio.
 
Uko sahihi kabisa,chuki husababishwa na wivu na kutojitambua
 
Unafiki na tabia yake ya kulazimisha ku-monopolise soko la muziki.

Yaani inshort anapambana kujifanya Ruge part 2.
Amemonopolise wapi?

Washika dau, media, wasanii wote walimkataa, kaamua atafute njia yake na watu wake, kosa lake lipo wapi.

Mondi hapambani kujifanya Ruge, yeye anachopambana ni kufikisha mziki wake mbali, anapambana kutafuta hela na anapambana kuacha legacy kama yeye DIAMOND.
 

Its M.....Jr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…