Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Acheni unafiki wenu wa akina Kigogo!! Mnampiga kupigania haki huku mkiwa mmejificha kwenye fake IDs?!! Wanafiki aina yenu mngekuwa mnamaanisha mnachoongea yale maandamano ya Mange Kimambi ya April 26 yangejaza watu barabarani lakini hakuna aliyejitokeza halafu leo mnajifanya wapigania haki!! Yaani wakati nyie "mnapigania" haki huku mkiwa mmejificha kwenye fake IDs, mnataka mwenzenu atoke front bila bulletproof jacket?!
Hao ndio watanzania
Maneno mengi mitandaoni , vitendo sifuri, wamebaki kushikiwa akili na wakina Miss Kigogo