Kupitia mafanikio ya Diamond Platnumz nimegundua Watanzania wengi wana roho mbaya

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Hao ndio watanzania
Maneno mengi mitandaoni , vitendo sifuri, wamebaki kushikiwa akili na wakina Miss Kigogo
 
Hii issue ya Chuki kisa Kayafa naipinga labda kama inafanywa kichaka cha kujifichia kwa wale wengine lakini kimsingi wote sio kikwete wala Samia ambao mnawasifia sasa hawakuwa karibu na Kayafa ila kwasasa ndiyo mnawapigia vigeregere.
Wanaomkandia Diamond kwa sababu alikuwa upande wa Ccm ni washenzi wa tabia.
 
ahaa unamaanisha KAYAFA karugendo sawa kbs tupo sambamba jombii
 
Hakuna wa kuomba msamaha na hakuna kitakachotokea , fight alone sio mtu akupanbanie , what a nonsense thought , nchi hii mataahira wengi ....
Ni Kweli watzania wengi wapo kizembe zembe ndio maana hayati Magufuli alikuwa anawapelekea moto hadi wanaomba pooooo.

Yaani watznia wangetawaliwa na mtu kama Kagame sijui wangekuwa na hali gani.
 
Nyinyi mliojificha kwenye keyboard mlifanya kipi cha tofauti chenye mashiko.
 
Hate against Diamond ni ya watu wapuuuzi wasiojua wanataka nini maishani
 
Si mnasema haters wa diamond ndio wanaomsaidia kufikia malengo makubwa, imekuaje tena haters waonekane kama watu wabaya wakati wana mchango mkubwa katika riziki zake anazojipatia?

Mbona mnatuchanganya?
 
Sijui kwanini mtu akitaka ku catch feelings hutumia hoja ya wivu

Hata watu wanaomchukia sabaya nao wamehusishwa na wivu wa maendeleo yake

Kwa mantiki hiyo hata sabaya anaonewa wivu kwa maendeleo yake
 
Ndugu yangu nnabahati mbaya sana kusoma comments zako hapa jf, ila naona ubadilishe hyo profile yako. maana naona unamuaibisha sana huyo jamaa tunajua kacoment yy kumbe n pumba zako, tafuta hata profile ya madenge
Nakuunga mkono kwa asilimia 💯 naona umempa makavu live jamaa anaboa Sana sijui jamaa kichwa Chake kina nini
 
Akikujibu nitag
 
Mbongo hapendi kuona mbongo mwenzake
Katoboa

Ova
 
Nimeipenda hii meseji
 
Waswahili walishasema mkuki kwa nguruwe.

Asilimia kubwa ya hii mijitu ni minafiki.

Yaani unakuta jitu lenyewe linamchukia mtu fulani ila likiona kuna watu wengine na wao wanachukia mungu mtu wao yanaanza kubonga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Taifa ambalo linamtazama mtu aliyetumia kipaji kupata mafanikio kama kijana pekee wa kutazamwa,basi taifa hilo lina shida kubwa sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kimeumana tena lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…