Mlio oa single mother mmepaniki sana, hahaMmh! How old are you?
Hizi ni kama fantasy za watoto wadogo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlio oa single mother mmepaniki sana, hahaMmh! How old are you?
Hizi ni kama fantasy za watoto wadogo!
Single mother mmekuwa wakali sanaWote ni tatizo!! Huyo anayeomba naye ana kipele pia ndiomana hatulii. Kwanini usitulize miwasho yako sehemu nyingine ambako sio kwa mke wa mtu??
Hii tabia itawacost ipo siku mtauliwa au mtafanywa asusa na wenye mali zao…. Ww km uliacha nini kinakurudisha tena??
Single maza na nyie single faza km mnapendana kwann mliachana?? Wote hamna misimamo na ni wazinzi mlioshindikana
Sisi hatukuwatuma nyie muoe single mother, msiwe wakali.I'm not feminist, but yoo.. speaking ill about women ndio new trend JF, y'all dissing them Kama sio nyie mnao wa beg for p**sy and love..
Haya maneno ya 2pac kwenye Keep Ya head up
"You know me makes me unhappy? (What's that?)When brothas make babiesAnd leave a young mother to be a pappy And since we all came from a woman Got our name from a woman and our game from a woman I wonder why we take from our women Why we rape our women, do we hate our women? I think it's time to kill for our women"
Wewe nae fala sana, dhambi ni dhambi tu hata kama wengi wanaifanya. Hata Rais akiwa single mother bado tutapiga spana.Yaani wanadiss single na huku makwao wana dada zao, shangazi na wengine mama zao ni Masingle maza kila mtoto na baba yake watoto hata 8 huko ila mtu kakazana kudiss single maza wa leo
Nikupe pole kwanza mimi sio single maza, halafu usiwe unakurupuka kabla hujasoma na kuelewa nini nimechangia..!!Single mother mmekuwa wakali sana
Kabisa mkuu, washayakanyaga.Ukiona comment ya wanaume wanapingana na Hilo basi ujue tayari wameshaingia chaka.
Kwani aliekwambia ukiolewa ndo hautatongozwa ni nani..?Nikupe pole kwanza mimi sio single maza, halafu usiwe unakurupuka kabla hujasoma na kuelewa nini nimechangia..!!
Mwisho kuwa makini na marinda yako sababu hao mnaowaibia ipo siku watakufanya mboga tukukute kwa dada wa taifa.
Nimekupenda hapa aiseeNa ma single faza ndivyo walivyo hawana misimamo pia. Km mliachana unafata nini kwa mzazi mwenzio na unajua kaolewa au ana mtu mwingine??? Nyie wanaume kwa wanaume hampendani, dawa ni kuwawekea mtego mkamatwe mfilimbwe..!!
Mimi ningekuwa single maza na mzazi mwenzangu anajua niko kwenye mahusiano halafu hatulii, namfanya kitu hiko mpk ukoo wake utatetemeka….. ni upuuzi mtu mmeachana halafu anakuja kukuharibia mahusiano yako ili aendelee kukuona unazidi kupoteana. Huyo ni zaidi ya mchawi na muuaji. Sasa dawa kumuonyesha undava.
Sijui nyie ma single maza wajinga mnafeli wapi?? Unaanzaje kumchekea mtu aliyekuharibia future yako??
Very stupid!! Alafu hana hata haya, anakuja hapa kujivunia upuuzi wake.😏mwanaume rijali hutunza mbegu zake na kuzipanda shamba analo mudu kulihudumia... ukiona mwanaume anapanda mbegu zake hovyo hovyo ña kutelekeza watoto...!
hii ni aina nyingine ya ukichaa... wewe unatia mimba hovyo harafu unajisifu watoto wako kulelewa na wanaume wenzako 😭😭😭
umeni chefua sana wewe jamaa... watu kama nyie ndio mnao sababisha watoto wa mitaani wanazidi kuwa wengi...!
Kwanini akubali zaabasi ukizalisha binti wa umuoe wewe sio inazalisha wanawake wanne halafu unaanza kupiga vita wasiolewe kwa hili mimi muheshimiwa rais nitamlaumu sana siwezi kusema wasaidiz wamemdanganya au hawamwambii ukweli
Tatizo lenu mnafikiri Jamiiforums wote ni vijana au watoto!Mlio oa single mother mmepaniki sana, haha
Kweli mkuu kama mwanamke umezaa naye na ulikuwa una mhudumia fresh na ulikuwa siyo mkorofi na hujawahi kuzmzarau. Kama kaolewa na uko alipo hapati furaha lazima ukimuhitaji anakuja vizur.Labda hakukupenda sana. Mi wangu nikiwakumbushia tu.... Wanaloana.
Hata single maza wanaodissiwa ni mama wa watu, waanzie kwanza kwa mama zao, watu wamelelewa na mama zao malayer malayer tu kama hawa single maza wanaowapa mimba wanawaacha afu kila siku humu single maza single mazaMbona una dis mama zao!?umekosa neno la kuwaambia wao hadi uwaambie mama zao
Nimekudharau!