Kupitia UTT, Ninahitaji milioni 2 kila mwezi

Kupitia UTT, Ninahitaji milioni 2 kila mwezi

20 yrs & 25 yrs bonds most utanunua kwa premium kwasababu ni hot cake. Refer ss&dd theories.

Ila zingine unaweza nunua kwa discount hata 10% sometimes depending on the demand of such bond.

Kwahiyo unatoa hata tsh 90 kwa bond ya tsh. 100. Na mwisho wa mkataba unqrudishiwa tsh 100 na sio tsh 90 ulillipa siku unanunua.
Mkuu mi sema ukweli sijawahi elewa juu ya hizi discount yanii juu ya kushinda mna unapobid tsh100 naomba unielekeze kwa kina.

Halafu Kuna kitu kingine jinsi ya kupiga hesabu kwa kuhusisha bid discount rate, interest,coupon rate,principal amount,VAT utakayokatwaa baada ya bond kuivaa.
 
hahaaaa....umenifurahisha mkuu, mimi pia namuelewa afu anafika mbele ananichanganya, ila kitu cha msingi nilichoolewa ni kuwa huu uwekezaji kwa treasury bills and bonds ni jambo zuri, lina faida... hii ndo point ya msingi niliyoipata, lakini pia nimeelewa kuwa unaweza kukopa kupitia viapnde ulivyo navyo.
The guy is very smart. Uwekezaji ni muhimu sana. Maisha yanendelea kuwa tight lazima mtu uwe na vyanzo vingi vya mapato. Passive and active income. Tuendelee kujifunza.
 
Unaweza ukachukua mkopo na kuwekeza kwenye bonds hata UTT Bond Fund na Liquid Fund pia mkuu. Chakuzingatia riba ya mkopo, inatakiwa iwe chini na ufanye long term investment ingawa ushauri mzuri ni kuwekeza kidogo kidogo kama ukiweza
Mkuu UTT unaweza kuwa unawekeza kidogo kidogo??
 
Nimepitia hoja zote kwenye huu uzi. hoja zenu zote ni nzuri na kila mtu kachangia kwa experience yake. Nimejifunza pia kuna vitu nilikuwa sijui. Pia nimeona watu wakichanganya kati ya Bond Fund ya UTT na Treasury Bond ya Serikali

Ni vyema kujua kuwa hivi vitu viwili ni tofauti.

Nimeona pia watu wakisema Treasury Bond (T-Bonds) ni biashara kichaa, hoja zao kuu ni mbili. Ya kwanza, mfumuko wa bei (inflation rate) na ya pili kuwa faida yake ndogo (low return).

Kwa hoja hizo mbili pekee wapo sahihi ila hawapo sahihi kwasababu ya hoja zifuatazo (nitazesema huku chini).

Nimeona pia baadhi ya watu wameringanisha (compare) kati ya T-Bonds na Real estate. Na kwa hoja nyingi zilipo humu wengi wamechagua Real estate over Bonds. Si jambo baya pia.

Wengine pia wamefanya comparison ya Mifuko ya UTT pamoja Hisa. Hapa kulikuwa na ukinzani, pande moja ilikubali UTT kuwa bora zaidi pande nyengine ikasema heri uwekeze tu mwenyewe kwenye hisa.

Kwanza kabla sijaendelea lazima tujue kuwa kuna utofauti kati ya Biashara na Uwekezaji. Ni kama jambo moja hivi kwasababu vyote vinahitaji pesa na lengo kuu ni kuleta faida lakini utofauti upo.

SWALI: Utofauti uko wapi? Nitakujibu

Watu wanatakiwa kujifunza sana Elimu ya uwekezaji. Elimu ya biashara imeonekana kwenye hoja nyingi sana humu ila elimu ya uwekezaji kwakweli ni kwa kiasi kidogo sana.

"Tatizo hilo"

Blah blah blah nimeongea sana sasa na mimi nitoe hoja zangu. Ngoja nifungue friji nitoe chochote kitu, nawarudia
InShot_20220929_225633502.jpg


UTOFAUTI KATI YA BOND FUND NA TREASURY BOND (T-BONDS)

Bond fund ni mfuko wa pamoja unaotolewa na UTT AMIS, lengo lake kuu ni kukuza mtaji pamoja na kutoa gawio kwa wawekezaji wake. Gawio linatolewa kwa kila mwezi au kila baada ya miezi 6 inategemea na kiasi ulichowekeza.

Ukiwekeza kuanzia elfu 50 utakuwa kwenye mpango wa kukuza mtaji (hautopata gawio labda riba ya mwisho wa mwaka). Ukiwekeza 5M utapata gawio kila baada ya mieizi 6. Ukiwekeza 10M utapata gawio kila mwezi.

Mpango wa gawio la kila mwezi hauna kikomo cha uwekezaji unaweza kuwekeza hata Billioni

Sasa gawio linatolewaje? Gawio ni 1% ya uwekezaji wako. Tuchukulie umewekeza 200M. Ina maana utakuwa kwenye mpango wa kupata gawio kila mwezi. Kwa pesa hiyo gawio lako ni 2M kila mwezi. Yaan utapata 2M kila mwezi na pesa yako 200M itabaki kama mtaji, tena tarajia kuongezeka kwa mtaji kulingana na thamani ya vipande kukua (ila tarajia kushuka pia kwa mtaji kwasababu thamani ya vipande pia hushuka).

?????

Em Chill kiasi, pata kinywaji piga fundo moja
images (3)~2.jpeg


Haya tuendelee sasa....

Hakuna namna unaweza kuingiza pesa bila ya kuwa na risks. Hata T-Bonds zina risks zake, moja wapo ni serikali ikifirisika na kushindwa kulipa madeni yake. Ushawahi waza nini kitatokea? Em jiulize alafu tafuta habari kuhusu Bonds za Ugiriki na Hispania nini kiliwapata wawekezaji wake.

Cha muhimu ni kupima je risks ni kubwa kiasi gani.? Risk inaendana na faida inayotarajiwa kupatikana? Mifuko ya UTT-AMIS, pamoja na T-Bonds kwakweli ni vitu venye risk ndogo sana. Risk yaje inaendana na faida tarajiwa, hivyo ondoa shaka.

Hii Bomd Fund ya UTT-AMIS haina kikomo cha muda unlike T-Bonds ambayo lazima mkubaliane na Serikali pesa yako itawekezwa kwa muda gani.

Haya turudi kwenye T-Bonds.

😂😂😂😂Leo nawahangaisha ee? Mara twende huku mara turudu huku. Lakini ndo maisha cha msingi kufahamishana

T-Bonds yenyewe unaikopesha serikali kwa muda maalumu na kwa riba maalumu. Riba haipandi wala haishuki kwa muda wote mliokubaliana. Kwa Tanzania, T-Bonds zipo za miaka 2, 5, 7, 10, 15, 20, na 25. Zote hizi zina riba tofauti tofauti. Kama ifuatavyo
images (4).jpeg

Miaka 2 riba 7.9312%
Miaka 5 riba 9.0775%
Miaka 7 riba 9.4633%
Miaka 10 riba 10.4547%
Miaka 15 riba 11.4060%
Miaka 20 riba 12.0307%
Miaka 25 riba 12.4308%

UTOFAUTI KATI YA BIASHARA NA UWEKEZAJI.

Hizi ni vitu viwili tofauti, kwa haraka haraka unaweza usikubaliane na mimi lakini ndo ukweli. Biashara inahitaji sana uwe active, uhusike moja kwa moja kwenye operation zake. Ikiwemo kutafuta wateja, masoko, kupiga mahesabu ya kila siku na mambo mengine mengi

(kabla hujaendelea kusoma, em niandikie hapo, mambo gani mengine kwenye biashara inakupaswa kufanya).

Kama wewe ni mfanyabiashara utakubaliana na mimi. Uwekezaji hauhitaji mambo yote hayo, unakuwa passive earner wewe unakuwa observer. Una oversee kipi kimeenda vyema kipi hakiko sawa. Muwekezaji ni mfanyaji maamuzi lakini sio mtendaji. Yeye huangalia biashara ipi inafanya vizuri aweke pesa zake zimletee faida.

Mfano:-
Umenunua hisa za TCC, kwenye Annual General Meeting (AGM) wanahisa mtakutana kujadili mambo kadhaa kuhusu kampuni yenu, mtatoa mapendekezo labda tuongeze uzalishaji katika product fulani (tuseme labda embassy). Hakuna mwanahisa atahusika moja kwa moja kwenye kuongeza uzalishaji wa embassy labda kama ni muajiriwa wa TCC.

Ni rahisi kwa muwekezaji kuwekeza sehemu tofauti Tofauti hata 10 na zote zikamletea faida kuliko mfanyabiashara kufanya biashara 10 na zote zimletee faida. Kumbuka biashara inahitaji muda wako.

Tofauti nyengine ni kiwango cha faida kinachotengenezwa kwenye biashara kwa mwezi ni tofauti na kwenye uwekezaji. Ila hapa kuna mushkeri kidogo.
Mara nyingi mfanyabiashara hutengeza pesa nyingi sana (kwa %) kwenye biashara yake tofauti na muwekezaji.

NOTE TO TAKE
Kumbuka nimesema mara nyingi sio mara zote. Usijichanganye ukanywa tui la nazi ukidhani ni maziwa, kama ni sumu itakuua.
images (5).jpeg

Mfanyabiashara anaweza kutengeneza faida ya hadi 40% ya mtaji wake kwa mwezi, kuna biashara zengine hata 100%. Ila hizi business za 100% hizi 😂😂😂 sio za kuziamini mara nyingi huwa za msimu au magendo (illegal)

Muwekezaji hawezi kupata faida hii kwa mwezi, na kama upo huo uwekezaji em tuambiane. Kumbuka lengo ni kufahamishana.

Em jiulize maswali yafuatayo alafu nipe jibu

SWALI LA 1:- Je? Mtu akianza biashara ikakua na kufikia hatua haimuhitaji yeye awepo ndo apate faida, yaani biashara ikianza kujiendesha yenyewe. Hiyo tutaendelea kuita biashara au uwekezaji?

SWALI LA 2:- Watu kama akina Mo Dewji, Bakhresa, au GSM. Ni wafanyabiashara au wawekezaji?

MAMBO NI MENGI SANA KUHUSU HATIFUNGANI. FAIDA NI NYINGI SANA SIWEZI KUZIANDIKA ZOTE HAPA. UNAWEZA KUTEMBELEA WEBSITE YA B.O.T KWAAJILI YA KUJIFUNZA ZAIDI

AU

Unaweza kununua nakala ya kitabu changu "IJUE HATIFUNGANI" humo nimeelezea mambo mengi sana. Faida na hasara zake, hatifungani vs instruments zengine za uwekezaji. Namna bora ya kunufaiki kupitia hatifungani na mambo mengine meeeengi

Soft Copy 10,000/=
Hard Copy 20,000/=

Nicheki PM
Kwa maelekezo zaidi
 
Naomba niongelee hapa sio kuwa naku attack Bali naongelea iyo Hali ya ubongo kila mtu anayo Ila inatakiwa ujue why una feel ivyo.


Yaani hao wamesoma economic behavioural,wanajua how human being do we behave financially or when money comes in line as Engineer understands how the materials like iron,concrete , asphalt and soil behave when subjected into heat,snow,rain or conditions that may affect them functionality.
The same hao jamaa wamesoma how to play with your limbic brain /emotions minds. Najua huwezi nielewa kwa normal brain Ila you need another eye to see into what am talking.



Sasa hapo wanacheza na your limbic brain especially amygdala ambayo Ina bypass information into thinking brain so unakuwa unaamuwa emotionally na usikute unawekewa na mwanamke hapo bonge la kifaa mazafaka sketi iko juu ya goti na paja jeupe lazima udindidindiii, titi Ilo limekubali even hata Plastic surgery liko saa sita na akaku hug ama mkakaa naye kwa sofa la watu wawili Mara hapo Kuna tv Ina movie ama nyimbo matata laini hata Celine Dion. Mtt ananunua perfume anaonekana Kama anajikomba kwako ili akufahamu anakujaza hapo kuwa unaonekana kuwa wewe Ni hard worker let say Johnson,una kazi nzuri anakuwa anakusifiasifia na kukushika bega smt.



Sasa wakisha trigger emotion fulani ndani ya ubongo wako ambayo Ni kutokana bodychemistry ambayo inakufanya unakuwa na rah,furaha mno ,unajisikia kuwa wewe ndiye kidume umependwa umeshobokewa na mtt mkali na kishakuomba namba ama amekuomba business kadi.
Iyo chemical inaitwa dopamine ambayo inakufanya una feel euphoria yaani kuwa euphoria Ni kuwa juu ya dunia ,you can walk on the water, you're better than any human being.
So iyo euphoria inafanya kazi yake inachochea na wewe unakuwa na ego Tena Ile ya kujiona kidume kuwa umeyawezea maisha u mjanja na mwerevu kuliko Elon Musk ama adani Kama sio Jeff Benzos.




Sasa ukishakamatwa na hizo two human emotions huchomoki nakuapia niga. Utashangaa umepewa interests ndogo mno even ya 4-8% per year. Unawapa hizo 500M kiulaini na huku ukapewa viji incentives fulani like crdb/nmb hat,tisheti,begi,kalamu,kikombe,n.k huku na maneno kedekede just to feed your ego those words are fodders to filll your bank accounts of your ego and euphoria yako lakini huku wao waki fill their bank accounts za hela wewe una fill bank account of your emotions ndugu. Hili Ni kweli tupu.




Sasa si umewapa hela kwa kukufanya uwe kidume na mtt mkali anapiga marashi ambayo Ana Oda uk direct yanakuja na flight yaani utadhani yametoka kuzimu na umekaa room iliyo na ac na air fresh yenye harufu nzuri kwa ajili ya ku trigger your stressors/organs sensory zako.

Baadaye wanapata lijamaa moja wanalitembelea lenye assets na cash flow ya Mana na huyo huyo mdada Tena wanaweza wakamfuata na v8 wakamshawishi Kuna 500M jaza fomu uchukue hela tupatie 15- 20% interest kwa mwaka.


Sasa cheki wenzako waliosoma unadhani walienda kuuza sura chuo na kuwaza deodorant
We we unapewa 5/100 times 500M kwa mwaka unakitu like 25M tow 10% withholding tax bet yako Ni 22.5M ukigawa kila mwezi almost wanakuwa wanakupa kitu Kama 22.5/12 =1.875M.

Wao net yao Sasa kwa aliyekopeshwa tuje 15/100 times 500M wanayo 75M wakitoa ya kwako 25 wanabakia na 50M. Kwa miaka mitano wanayo 250M almost half bilioni huku wewe unayo 125M.

Sasa cheki ilo gepu kwa ujinga wako wa kupewa chai or tangawizi ya asali na keki ama na biscuits za asa mour. Gharama zake wewe umepoteza nyingi wao wanapata nyingi.


Financial literacy imefichwa kwa wachache mno.
Elewa Kuna automatic maneuvering among ourselves,bear in your mind people eats people always. We're no any different from how predator kills and eats prey. So where are you in financial chain are you prey or predator. Kuwa predator you've to be strong both mind, mental and brain.


Naomba mno nipate billions of dollars niajiri watu yaani Basi tu wafanyakazi wangu watakuwa wananifurahia wanagkmbania Kuja kufanya kazi kwangu.


Mana I know what people need.



So usijione kuwa u mjanja ama Ni Raha kumbe Ni vice versa. Wao wanapeleka watt wao uk Sydney Madrid Paris kusoma wa kwako unapeleka kwa mtoghole tandika wanaishia udsm unajiona u kidume.
Aiseee...haya madini ni balaa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nimepitia hoja zote kwenye huu uzi. hoja zenu zote ni nzuri na kila mtu kachangia kwa experience yake. Nimejifunza pia kuna vitu nilikuwa sijui. Pia nimeona watu wakichanganya kati ya Bond Fund ya UTT na Treasury Bond ya Serikali

Ni vyema kujua kuwa hivi vitu viwili ni tofauti.

Nimeona pia watu wakisema Treasury Bond (T-Bonds) ni biashara kichaa, hoja zao kuu ni mbili. Ya kwanza, mfumuko wa bei (inflation rate) na ya pili kuwa faida yake ndogo (low return).

Kwa hoja hizo mbili pekee wapo sahihi ila hawapo sahihi kwasababu ya hoja zifuatazo (nitazesema huku chini).

Nimeona pia baadhi ya watu wameringanisha (compare) kati ya T-Bonds na Real estate. Na kwa hoja nyingi zilipo humu wengi wamechagua Real estate over Bonds. Si jambo baya pia.

Wengine pia wamefanya comparison ya Mifuko ya UTT pamoja Hisa. Hapa kulikuwa na ukinzani, pande moja ilikubali UTT kuwa bora zaidi pande nyengine ikasema heri uwekeze tu mwenyewe kwenye hisa.

Kwanza kabla sijaendelea lazima tujue kuwa kuna utofauti kati ya Biashara na Uwekezaji. Ni kama jambo moja hivi kwasababu vyote vinahitaji pesa na lengo kuu ni kuleta faida lakini utofauti upo.

SWALI: Utofauti uko wapi? Nitakujibu

Watu wanatakiwa kujifunza sana Elimu ya uwekezaji. Elimu ya biashara imeonekana kwenye hoja nyingi sana humu ila elimu ya uwekezaji kwakweli ni kwa kiasi kidogo sana.

"Tatizo hilo"

Blah blah blah nimeongea sana sasa na mimi nitoe hoja zangu. Ngoja nifungue friji nitoe chochote kitu, nawarudia
View attachment 2372047

UTOFAUTI KATI YA BOND FUND NA TREASURY BOND (T-BONDS)

Bond fund ni mfuko wa pamoja unaotolewa na UTT AMIS, lengo lake kuu ni kukuza mtaji pamoja na kutoa gawio kwa wawekezaji wake. Gawio linatolewa kwa kila mwezi au kila baada ya miezi 6 inategemea na kiasi ulichowekeza.

Ukiwekeza kuanzia elfu 50 utakuwa kwenye mpango wa kukuza mtaji (hautopata gawio labda riba ya mwisho wa mwaka). Ukiwekeza 5M utapata gawio kila baada ya mieizi 6. Ukiwekeza 10M utapata gawio kila mwezi.

Mpango wa gawio la kila mwezi hauna kikomo cha uwekezaji unaweza kuwekeza hata Billioni

Sasa gawio linatolewaje? Gawio ni 1% ya uwekezaji wako. Tuchukulie umewekeza 200M. Ina maana utakuwa kwenye mpango wa kupata gawio kila mwezi. Kwa pesa hiyo gawio lako ni 2M kila mwezi. Yaan utapata 2M kila mwezi na pesa yako 200M itabaki kama mtaji, tena tarajia kuongezeka kwa mtaji kulingana na thamani ya vipande kukua (ila tarajia kushuka pia kwa mtaji kwasababu thamani ya vipande pia hushuka).

?????

Em Chill kiasi, pata kinywaji piga fundo moja
View attachment 2372048

Haya tuendelee sasa....

Hakuna namna unaweza kuingiza pesa bila ya kuwa na risks. Hata T-Bonds zina risks zake, moja wapo ni serikali ikifirisika na kushindwa kulipa madeni yake. Ushawahi waza nini kitatokea? Em jiulize alafu tafuta habari kuhusu Bonds za Ugiriki na Hispania nini kiliwapata wawekezaji wake.

Cha muhimu ni kupima je risks ni kubwa kiasi gani.? Risk inaendana na faida inayotarajiwa kupatikana? Mifuko ya UTT-AMIS, pamoja na T-Bonds kwakweli ni vitu venye risk ndogo sana. Risk yaje inaendana na faida tarajiwa, hivyo ondoa shaka.

Hii Bomd Fund ya UTT-AMIS haina kikomo cha muda unlike T-Bonds ambayo lazima mkubaliane na Serikali pesa yako itawekezwa kwa muda gani.

Haya turudi kwenye T-Bonds.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo nawahangaisha ee? Mara twende huku mara turudu huku. Lakini ndo maisha cha msingi kufahamishana

T-Bonds yenyewe unaikopesha serikali kwa muda maalumu na kwa riba maalumu. Riba haipandi wala haishuki kwa muda wote mliokubaliana. Kwa Tanzania, T-Bonds zipo za miaka 2, 5, 7, 10, 15, 20, na 25. Zote hizi zina riba tofauti tofauti. Kama ifuatavyo
View attachment 2372053
Miaka 2 riba 7.9312%
Miaka 5 riba 9.0775%
Miaka 7 riba 9.4633%
Miaka 10 riba 10.4547%
Miaka 15 riba 11.4060%
Miaka 20 riba 12.0307%
Miaka 25 riba 12.4308%

UTOFAUTI KATI YA BIASHARA NA UWEKEZAJI.

Hizi ni vitu viwili tofauti, kwa haraka haraka unaweza usikubaliane na mimi lakini ndo ukweli. Biashara inahitaji sana uwe active, uhusike moja kwa moja kwenye operation zake. Ikiwemo kutafuta wateja, masoko, kupiga mahesabu ya kila siku na mambo mengine mengi

(kabla hujaendelea kusoma, em niandikie hapo, mambo gani mengine kwenye biashara inakupaswa kufanya).

Kama wewe ni mfanyabiashara utakubaliana na mimi. Uwekezaji hauhitaji mambo yote hayo, unakuwa passive earner wewe unakuwa observer. Una oversee kipi kimeenda vyema kipi hakiko sawa. Muwekezaji ni mfanyaji maamuzi lakini sio mtendaji. Yeye huangalia biashara ipi inafanya vizuri aweke pesa zake zimletee faida.

Mfano:-
Umenunua hisa za TCC, kwenye Annual General Meeting (AGM) wanahisa mtakutana kujadili mambo kadhaa kuhusu kampuni yenu, mtatoa mapendekezo labda tuongeze uzalishaji katika product fulani (tuseme labda embassy). Hakuna mwanahisa atahusika moja kwa moja kwenye kuongeza uzalishaji wa embassy labda kama ni muajiriwa wa TCC.

Ni rahisi kwa muwekezaji kuwekeza sehemu tofauti Tofauti hata 10 na zote zikamletea faida kuliko mfanyabiashara kufanya biashara 10 na zote zimletee faida. Kumbuka biashara inahitaji muda wako.

Tofauti nyengine ni kiwango cha faida kinachotengenezwa kwenye biashara kwa mwezi ni tofauti na kwenye uwekezaji. Ila hapa kuna mushkeri kidogo.
Mara nyingi mfanyabiashara hutengeza pesa nyingi sana (kwa %) kwenye biashara yake tofauti na muwekezaji.

NOTE TO TAKE
Kumbuka nimesema mara nyingi sio mara zote. Usijichanganye ukanywa tui la nazi ukidhani ni maziwa, kama ni sumu itakuua.
View attachment 2372054
Mfanyabiashara anaweza kutengeneza faida ya hadi 40% ya mtaji wake kwa mwezi, kuna biashara zengine hata 100%. Ila hizi business za 100% hizi [emoji23][emoji23][emoji23] sio za kuziamini mara nyingi huwa za msimu au magendo (illegal)

Muwekezaji hawezi kupata faida hii kwa mwezi, na kama upo huo uwekezaji em tuambiane. Kumbuka lengo ni kufahamishana.

Em jiulize maswali yafuatayo alafu nipe jibu

SWALI LA 1:- Je? Mtu akianza biashara ikakua na kufikia hatua haimuhitaji yeye awepo ndo apate faida, yaani biashara ikianza kujiendesha yenyewe. Hiyo tutaendelea kuita biashara au uwekezaji?

SWALI LA 2:- Watu kama akina Mo Dewji, Bakhresa, au GSM. Ni wafanyabiashara au wawekezaji?

MAMBO NI MENGI SANA KUHUSU HATIFUNGANI. FAIDA NI NYINGI SANA SIWEZI KUZIANDIKA ZOTE HAPA. UNAWEZA KUTEMBELEA WEBSITE YA B.O.T KWAAJILI YA KUJIFUNZA ZAIDI

AU

Unaweza kununua nakala ya kitabu changu "IJUE HATIFUNGANI" humo nimeelezea mambo mengi sana. Faida na hasara zake, hatifungani vs instruments zengine za uwekezaji. Namna bora ya kunufaiki kupitia hatifungani na mambo mengine meeeengi

Soft Copy 10,000/=
Hard Copy 20,000/=

Nicheki PM
Kwa maelekezo zaidi
Bora uuze hardcopy pekee. Hiyo soft itatembea kwenye ma-group mwisho ukaua soko la hardcopy.
 
Naomba niongelee hapa sio kuwa naku attack Bali naongelea iyo Hali ya ubongo kila mtu anayo Ila inatakiwa ujue why una feel ivyo.


Yaani hao wamesoma economic behavioural,wanajua how human being do we behave financially or when money comes in line as Engineer understands how the materials like iron,concrete , asphalt and soil behave when subjected into heat,snow,rain or conditions that may affect them functionality.
The same hao jamaa wamesoma how to play with your limbic brain /emotions minds. Najua huwezi nielewa kwa normal brain Ila you need another eye to see into what am talking.



Sasa hapo wanacheza na your limbic brain especially amygdala ambayo Ina bypass information into thinking brain so unakuwa unaamuwa emotionally na usikute unawekewa na mwanamke hapo bonge la kifaa mazafaka sketi iko juu ya goti na paja jeupe lazima udindidindiii, titi Ilo limekubali even hata Plastic surgery liko saa sita na akaku hug ama mkakaa naye kwa sofa la watu wawili Mara hapo Kuna tv Ina movie ama nyimbo matata laini hata Celine Dion. Mtt ananunua perfume anaonekana Kama anajikomba kwako ili akufahamu anakujaza hapo kuwa unaonekana kuwa wewe Ni hard worker let say Johnson,una kazi nzuri anakuwa anakusifiasifia na kukushika bega smt.



Sasa wakisha trigger emotion fulani ndani ya ubongo wako ambayo Ni kutokana bodychemistry ambayo inakufanya unakuwa na rah,furaha mno ,unajisikia kuwa wewe ndiye kidume umependwa umeshobokewa na mtt mkali na kishakuomba namba ama amekuomba business kadi.
Iyo chemical inaitwa dopamine ambayo inakufanya una feel euphoria yaani kuwa euphoria Ni kuwa juu ya dunia ,you can walk on the water, you're better than any human being.
So iyo euphoria inafanya kazi yake inachochea na wewe unakuwa na ego Tena Ile ya kujiona kidume kuwa umeyawezea maisha u mjanja na mwerevu kuliko Elon Musk ama adani Kama sio Jeff Benzos.




Sasa ukishakamatwa na hizo two human emotions huchomoki nakuapia niga. Utashangaa umepewa interests ndogo mno even ya 4-8% per year. Unawapa hizo 500M kiulaini na huku ukapewa viji incentives fulani like crdb/nmb hat,tisheti,begi,kalamu,kikombe,n.k huku na maneno kedekede just to feed your ego those words are fodders to filll your bank accounts of your ego and euphoria yako lakini huku wao waki fill their bank accounts za hela wewe una fill bank account of your emotions ndugu. Hili Ni kweli tupu.




Sasa si umewapa hela kwa kukufanya uwe kidume na mtt mkali anapiga marashi ambayo Ana Oda uk direct yanakuja na flight yaani utadhani yametoka kuzimu na umekaa room iliyo na ac na air fresh yenye harufu nzuri kwa ajili ya ku trigger your stressors/organs sensory zako.

Baadaye wanapata lijamaa moja wanalitembelea lenye assets na cash flow ya Mana na huyo huyo mdada Tena wanaweza wakamfuata na v8 wakamshawishi Kuna 500M jaza fomu uchukue hela tupatie 15- 20% interest kwa mwaka.


Sasa cheki wenzako waliosoma unadhani walienda kuuza sura chuo na kuwaza deodorant
We we unapewa 5/100 times 500M kwa mwaka unakitu like 25M tow 10% withholding tax bet yako Ni 22.5M ukigawa kila mwezi almost wanakuwa wanakupa kitu Kama 22.5/12 =1.875M.

Wao net yao Sasa kwa aliyekopeshwa tuje 15/100 times 500M wanayo 75M wakitoa ya kwako 25 wanabakia na 50M. Kwa miaka mitano wanayo 250M almost half bilioni huku wewe unayo 125M.

Sasa cheki ilo gepu kwa ujinga wako wa kupewa chai or tangawizi ya asali na keki ama na biscuits za asa mour. Gharama zake wewe umepoteza nyingi wao wanapata nyingi.


Financial literacy imefichwa kwa wachache mno.
Elewa Kuna automatic maneuvering among ourselves,bear in your mind people eats people always. We're no any different from how predator kills and eats prey. So where are you in financial chain are you prey or predator. Kuwa predator you've to be strong both mind, mental and brain.


Naomba mno nipate billions of dollars niajiri watu yaani Basi tu wafanyakazi wangu watakuwa wananifurahia wanagkmbania Kuja kufanya kazi kwangu.


Mana I know what people need.



So usijione kuwa u mjanja ama Ni Raha kumbe Ni vice versa. Wao wanapeleka watt wao uk Sydney Madrid Paris kusoma wa kwako unapeleka kwa mtoghole tandika wanaishia udsm unajiona u kidume.

"Ukitaka kula sharti uliwe" Jakaya Kikwete 2009
 
"Ukitaka kula sharti iliwe" Jakaya Kikwete 2009

Umeongea vema ila kumbuka kuwa si kila mtu anaweza kuiendeleza pesa yake kwanza uelewa tumatofautina,
Elimu pia tunatofautiana
Lakini pia mzungukuo wa dunia hii ili uendelee vizur lazima kuwepo kuzidiana hivi kama wote tungekuwa na uelewa kama wako nani angethubutu kuwekeza ,jibu hakuna kwaiyo ili mambo yaendelee lazima tuzidiane
Hatuwezi kuwa wote matajiri nani atamtumikia mwenzake??
 
Naomba niongelee hapa sio kuwa naku attack Bali naongelea iyo Hali ya ubongo kila mtu anayo Ila inatakiwa ujue why una feel ivyo.


Yaani hao wamesoma economic behavioural,wanajua how human being do we behave financially or when money comes in line as Engineer understands how the materials like iron,concrete , asphalt and soil behave when subjected into heat,snow,rain or conditions that may affect them functionality.
The same hao jamaa wamesoma how to play with your limbic brain /emotions minds. Najua huwezi nielewa kwa normal brain Ila you need another eye to see into what am talking.



Sasa hapo wanacheza na your limbic brain especially amygdala ambayo Ina bypass information into thinking brain so unakuwa unaamuwa emotionally na usikute unawekewa na mwanamke hapo bonge la kifaa mazafaka sketi iko juu ya goti na paja jeupe lazima udindidindiii, titi Ilo limekubali even hata Plastic surgery liko saa sita na akaku hug ama mkakaa naye kwa sofa la watu wawili Mara hapo Kuna tv Ina movie ama nyimbo matata laini hata Celine Dion. Mtt ananunua perfume anaonekana Kama anajikomba kwako ili akufahamu anakujaza hapo kuwa unaonekana kuwa wewe Ni hard worker let say Johnson,una kazi nzuri anakuwa anakusifiasifia na kukushika bega smt.



Sasa wakisha trigger emotion fulani ndani ya ubongo wako ambayo Ni kutokana bodychemistry ambayo inakufanya unakuwa na rah,furaha mno ,unajisikia kuwa wewe ndiye kidume umependwa umeshobokewa na mtt mkali na kishakuomba namba ama amekuomba business kadi.
Iyo chemical inaitwa dopamine ambayo inakufanya una feel euphoria yaani kuwa euphoria Ni kuwa juu ya dunia ,you can walk on the water, you're better than any human being.
So iyo euphoria inafanya kazi yake inachochea na wewe unakuwa na ego Tena Ile ya kujiona kidume kuwa umeyawezea maisha u mjanja na mwerevu kuliko Elon Musk ama adani Kama sio Jeff Benzos.




Sasa ukishakamatwa na hizo two human emotions huchomoki nakuapia niga. Utashangaa umepewa interests ndogo mno even ya 4-8% per year. Unawapa hizo 500M kiulaini na huku ukapewa viji incentives fulani like crdb/nmb hat,tisheti,begi,kalamu,kikombe,n.k huku na maneno kedekede just to feed your ego those words are fodders to filll your bank accounts of your ego and euphoria yako lakini huku wao waki fill their bank accounts za hela wewe una fill bank account of your emotions ndugu. Hili Ni kweli tupu.




Sasa si umewapa hela kwa kukufanya uwe kidume na mtt mkali anapiga marashi ambayo Ana Oda uk direct yanakuja na flight yaani utadhani yametoka kuzimu na umekaa room iliyo na ac na air fresh yenye harufu nzuri kwa ajili ya ku trigger your stressors/organs sensory zako.

Baadaye wanapata lijamaa moja wanalitembelea lenye assets na cash flow ya Mana na huyo huyo mdada Tena wanaweza wakamfuata na v8 wakamshawishi Kuna 500M jaza fomu uchukue hela tupatie 15- 20% interest kwa mwaka.


Sasa cheki wenzako waliosoma unadhani walienda kuuza sura chuo na kuwaza deodorant
We we unapewa 5/100 times 500M kwa mwaka unakitu like 25M tow 10% withholding tax bet yako Ni 22.5M ukigawa kila mwezi almost wanakuwa wanakupa kitu Kama 22.5/12 =1.875M.

Wao net yao Sasa kwa aliyekopeshwa tuje 15/100 times 500M wanayo 75M wakitoa ya kwako 25 wanabakia na 50M. Kwa miaka mitano wanayo 250M almost half bilioni huku wewe unayo 125M.

Sasa cheki ilo gepu kwa ujinga wako wa kupewa chai or tangawizi ya asali na keki ama na biscuits za asa mour. Gharama zake wewe umepoteza nyingi wao wanapata nyingi.


Financial literacy imefichwa kwa wachache mno.
Elewa Kuna automatic maneuvering among ourselves,bear in your mind people eats people always. We're no any different from how predator kills and eats prey. So where are you in financial chain are you prey or predator. Kuwa predator you've to be strong both mind, mental and brain.


Naomba mno nipate billions of dollars niajiri watu yaani Basi tu wafanyakazi wangu watakuwa wananifurahia wanagkmbania Kuja kufanya kazi kwangu.


Mana I know what people need.



So usijione kuwa u mjanja ama Ni Raha kumbe Ni vice versa. Wao wanapeleka watt wao uk Sydney Madrid Paris kusoma wa kwako unapeleka kwa mtoghole tandika wanaishia udsm unajiona u kidume.
Hii imekaa poa zaidi. Tatizo kubwa la watu ni wavivu wa hesabu. Benki wanachofanya ni kucheza na namba tu.
Kuwekeza kwenye ardhi ni bora sana..kwa fedha hiyo atafute nyumba kwenye miji mikubwa alafu azipangishe. Fikira yake isiwe pango, iwe ni kukuza thamani ya jengo kutokana na muda. After 2 to 3 anaweza kuta ana hiyo 500mil x 4 = 200mil.
Tuache uvivu wa kufikiri.
 
Check recent bond rates, ni ndogo sana, ni kama 7% hivi. Rate huwa kubwa iwapo Serikali inahitaji fedha za dharura ili kutatua shida zake. Nje ya hapo TB huwa na rate slice haswa
 
Check recent bond rates, ni ndogo sana, ni kama 7% hivi. Rate huwa kubwa iwapo Serikali inahitaji fedha za dharura ili kutatua shida zake. Nje ya hapo TB huwa na rate slice haswa
Bond za chini ya miaka 10 ndio Zina rate hiyo,Ila bond za miaka 10+ ni rate ya 10 to 12%
 
Back
Top Bottom