Umeniwahi. Nilitaka nimwambie hivo.Mwehu wewe, halafu ktk jf unajifanya mlokole
Mafunzo ya ukakamavu uliyopewa utaacha mtu apoteze maisha huku unamtazama kwa sababu wewe siyo zimamoto au uokoaji? Hao raia wa kawaida wanaofanya hayo wao wamepewa mafunzo? Idiot!Hapo polisi wanahusika vip unajua kazi ya polisi na je unajua kazi ya jeshi la zima moto au jeshi la uwokoaji? Umekalili vibaya
Aamen.yaani nimekuta nawaza sana kama mimi leo asubuhi nilirushwa na umeme wakati nadeki nyumba nzima ilipiga short kila kitu kimezima. sikulichukulia maanani sana ila sasa baada ya kupata taarifa ya kuporomoka nimejikuta nawaza sana. kama hao waliokutwa na umauti wameondoka na kuaga familia zao. wengine ndo walikuwa tegemezi ee Mwenyezi Mungu watie nguvu familia zao na uponye wale waliokutwa na majanga.
Mambo mengine tuwe tunajiwajibisha ,wewe unajenga jengo bila kufuata standards ,unasubiri nani awajibike kama sio wewe kwanza kuwajibika ,kama si udumavu wa akili ni nini ?Na mamlaka zinazohusika zipo zinapokea 10pa tu!!!Hii nchi ya kifa*l sana
oya huyo sio bibi ni mdada mrembo sana ukimwona HUTAAMINI alafu ana KISHUNDU cha kiaina, yaan mashaallahWakati mwingine jitahidi kuficha ujinga wako Bibi bomba..
Inasikitisha mno kwani bado tunalipa pia kodi ili mambo hayo yawezeshwe/yafanyike lakini wapi Kodi imeenda ; huduma na uwajibikaji sifuri.Ni hatari sana.
Tatizo kubwa zaidi lililopo Tanzania ni kwamba Hakuna mamlaka madhubuti za kudhibiti viwango na ubora wa Majengo pamoja na ubora wa bidhaa zingine mbalimbali.
Watanzania tunaishi kwa nguvu ya Mungu tu peke yake.
Kuna Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kila siku ni kuvaa sare na kukimbiza gari barabarani, waende eneo la tukio kumaliza changamoto iliyojitokeza.Wanajeshi walitakiwa wasaidie.
Huzijui codes za mwisho wa mwaka siyo?Mwisho wa Mwaka una husianaje hapo?
Uzembe wetu alafu tunatafuta sababu za kijinga hautamaliza matatizo yetu..
Ukisema hivyo ina maana kila linalotokea Sababu ni mwisho wa Mwaka?.
Police Force and TISS are the Paramilitary Wings of the Ruling Party, don't you know it?Polisi badala ya kujitosa kwenye vifusi naona wanazuia watu wasikaribie jengo, hivi hawa polisi zaidi ya kuzuia maandamano kuna jambo lingine wanaloweza kweli? Mishahara wanayolipwa ni ya kazi gani kama majukumu yao wanafanya raia wa kawaida wakati wao ndiyo kazi yao na vifaa wanavyo?
F..v..ck
Sikia si kila idara ina mafunzo yake jeshi la uokoaji wale wanapewa mafunzo yote kikamifu kwaajili ya uokoaji wa matatizo mbalimbaliMafunzo ya ukakamavu uliyopewa utaacha mtu apoteze maisha huku unamtazama kwa sababu wewe siyo zimamoto au uokoaji? Hao raia wa kawaida wanaofanya hayo wao wamepewa mafunzo? Idiot!
Hajapangiwa lakini tumefunzwa kushukuru.Sio lazima mmeshaanza kumpangia cha kufanya
Huyo mwenye jengo Hadi anatumia hao wahuni wa mtaani mamlaka husika hazioni???Mambo
Mambo mengine tuwe tunajiwajibisha ,wewe unajenga jengo bila kufuata standards ,unasubiri nani awajibike kama sio wewe kwanza kuwajibika ,kama si udumavu wa akili ni nini ?
Au hizo standards walioziweka ni wapumbavu , mtu hata mafundi anaitumia ni wahuni tu wa mitaani ,wewe unategemea nini hapo ?
Sasa unasemaje akatoe sadaka kwa watu wenyehuitaji?Hajapangiwa lakini tumefunzwa kushukuru.
Shida hamjui utaratibu that why mnalopokaWanajeshi walitakiwa wasaidie.
Wanaweza kupoteza maisha yao au wanaowaokoa kwa sababu hapo unahitajika weledi wa uokozi, kumbuka MV Bukoba 1996 ilizama kwa sababu watu wasio na weledi waliitoboa ili kuokoa watu kumbe lile ombwe lilikuwa ndio linasaidia kutomalizikia kuzaa, mamia wakafaMafunzo ya ukakamavu uliyopewa utaacha mtu apoteze maisha huku unamtazama kwa sababu wewe siyo zimamoto au uokoaji? Hao raia wa kawaida wanaofanya hayo wao wamepewa mafunzo? Idiot!
Hakuna anachojua wamekalia lawamaWanaweza kupoteza maisha yao au wanaowaokoa kwa sababu hapo unahitajika weledi wa uokozi, kumbuka MV Bukoba 1996 ilizama kwa sababu watu wasio na weledi waliitoboa ili kuokoa watu kumbe lile ombwe lilikuwa ndio linasaidia kutomalizikia kuzaa, mamia wakafa