Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024

Nilitegemea kauli ya kwanza kwa Chalamila na Mliro ni kufunga ule mtaa immediately then rescue team iingie kazini.
 
Nani anayezuia matumizi ya majengo chakavu? Kulikuwa na stop oder yoyote kuhusu matumizi?
Kwa sasa sio wakati wa kumtafuta "mchawi" eti ni kosa la nani. Kwa sasa tungejikita ni kwa nini wahusika zima moto, Polisi, Jw na hata raia wenye uwezo na kazi ya uokozi hawajaonesha hawajitokezi juhudi zao??
 
Ndio akili za wafia dini wa jf. Halafu unampa jengo mtu kama huyu asimamie akiona fundi mtaalam kavaa kibaraghashia anamfukuza anaweka mvaa + , halafu jengo linajengwa kiwango cha chini
Kila sehemu unajitahidi kuchomeka itikadi zako mbovu za kidini zisizokuwa na kichwa wala miguu,ukiambiwa mmiliki wa jengo ni mwarabu utakuja hapa umeinamisha kichwa kwa aibu.

Na najua hadi sasa hapo ulipo unafanya juhudi za kumjua mmiliki kama ni muislam au mkristo ili uanze kuandika mada za mashambulizi.
 
Hii list yako mbona wengine umewatambulisha kwa dini yao na wengine umeandik tu majina yao.

Wewe ni mzima kichwani?
 
Kosa ni CCM kutokusimamia kanuni na taratibu za ujenzi wa majengo.Tumia akili chawa wa mama wenu.
 
JW ndio wanaingia sasa,baada ya masaa 5 tangu tukio litokee
kitaalamu hii ni sahihi kabisa katika response ya Majanga...huwezi kimbiza rasilimali zote at per kwenye eneo active la ajali ...unajuaje ajali nyingine inaweza kuendelea??Umejiridhisha vipi kama sio tukio "chambo" ili muingie kichwa kichwa ??
Tupunguze lawama pasipohitaji lawama.
Unaikumbuka Septemba 11 ??Jengo la kwanza limepigwa wote wakakimbilia pale halafu likapigwa na jengo la pili ...sasa baada ya hapo wahanga na waokoaji wote wakawa wahanga.
 
Hao watu kama wapo uko chini si wanaiva jamani wawapitishie ata maji na chakula
Umewaza mbali lakini shida yako au matamanio yako yanaweza kuwa ndo mauti kwao. Unawapaje maji na chakula i.e. unapita/unapitisha wapi? Halafu FAHAMU kwamba binadamu anauwezo wa kuishi bila chakula siku 5-7 halafu bila maji ni siku 3 (tatu). Sasa hapo hata saa 24 (siku moja) haijapita. Ila Asante kwa Huruma yako inaonesha UNAJALI.
 
Kongole mkuu. Umetoa jawabu la Kitaalam sana . Wachache watakuelewa inaweza kuwa ni tukio "Chambo"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…