Kupotea Kwa Thamani ya Familia au Ndoa

Kupotea Kwa Thamani ya Familia au Ndoa

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
Siku zinavyozidi kusogea ndivyo, Thamani ya Ndoa au Familia ndivyo inavyozidi kupotea.

Kuna mambo Mengi yanayopoteza Thamani ya Familia au Ndoa.

1. Tamaa
Kumekua na Tamaa kubwa sana ususani katika jamii yetu mtu anapoamua kuanzisha familia au kuingia katika Ndoa anaingia kimkakati, Tayari anakua na malengo yake ya kutimizi anachokitaka kukipata ambacho amelenga kua ni Faida yake

2. Upendo wa Dhati Hakuna, Mwanadamu atapenda kwa kua utamtimizia mahitaji yake, sasa swali la kujiuliza utaweza mtimizia mwanadamu mahitaji yake, jibu ni No maana ni Ngumu kumtimizia mwanadamu mahitaji yake.

3.Kwa Duniani ya Sasa kuupata Upendo wa kweli ni Ngumu kwani watu wanapenda kitu au Mali unazomiliki sio kukupenda wewe, na utatambua tu siku utakapokua hauna uwezo wa kuwapa mahitaji yao kwa wakati.

4.Shauku ya watu walio Wengi ipo katika Mali na Fedha, mtu ni Laisi sana kupenda Fedha ulio nayo sio kukupenda, wewe

Mfano.
Kuna binti aliulizwa swali
'' Unampenda Tony" Jibu lake alisema" Simpendi Tony ninachopenda ni Hela zake"kitu cha kuzingatia ni kua mtu anapenda unachomiliki sio kukupenda wewe

5.Familia au Ndoa Inaonekana kama Jambo ambalo linafaida kwa mwanamke zaidi pia inatumika kama njia ya uraghai au kufilisika kwa Mwanaume usipokua makini. Ndomana baadhi ya watu wanaogopa kuoa kwa kuogopa kupoteza Mali zao kwa kupitia Ndoa au Familia kufunjika.

Kiuhalisia Sheria zinambeba zaidi mwanamke na ndomana mwanamke amekua na Nguvu kubwa katika Jamii kiasi watu Wenye Mali nyingi utazama swala la Ndoa au Familia kwa umakini zaidi Ili asipoteze Mali yake.

6.Ongezeko la watu Single/ Single parent.


Siku zinavyo zidi ndivyo watu wanavyoongezeka kua single na kuongeza matumizi ya sex Toy.
Na Kutakia na ongezeko la matumizi ya Robot za kusex na wanadamu.

Sababu watu watakua wanakwepa Gharama za mahusiano, na malingo ya kujiona special kwa baadhi ya Binadamu.
 
Siku zinavyozidi kusogea ndivyo, Thamani ya Ndoa au Familia ndivyo inavyozidi kupotea.
Kuna mambo Mengi yanayopoteza Thamani ya Familia au Ndoa.
1. Tamaa
Kumekua na Tamaa kubwa sana ususani ktk jamii yetu mtu anapoamua kuanzisha familia au kuingia ktk Ndoa anaingia kimkakati, Tayari anakua na malengo yake ya kutimizi anachokitaka kukipata ambacho amelenga kua ni Faida yake
2. Upendo wa Dhati Hakuna, Mwanadamu atapenda kwa kua utamtimizia mahitaji yake, sasa swali la kujiuliza utaweza mtimizia mwanadamu mahitaji yake, jibu ni No maana ni Ngumu kumtimizia mwanadamu mahitaji yake.
3.Kwa Duniani ya Sasa kuupata Upendo wa kweli ni Ngumu kwani watu wanapenda kitu au Mali unazomiliki sio kukupenda wewe, na utatambua tu siku utakapokua hauna uwezo wa kuwapa mahitaji yao kwa wakati.
4.Shauku ya watu walio Wengi ipo ktk Mali na Fedha, mtu ni Laisi sana kupenda Fedha ulio nayo sio kukupenda, wewe
Mfano.
Kuna binti aliulizwa swali
'' Unampenda Tony" Jibu lake alisema" Simpendi Tony ninachopenda ni Hela zake"
kitu cha kuzingatia ni kua mtu anapenda unachomiliki sio kukupenda wewe
5.Familia au Ndoa Inaonekana kama Jambo ambalo linafaida kwa mwanamke zaidi pia inatumika kama njia ya uraghai au kufilisika kwa Mwanaume usipokua makini. Ndomana baadhi ya watu wanaogopa kuoa kwa kuogopa kupoteza Mali zao kwa kupitia Ndoa au Familia kufunjika. Kiuhalisia Sheria zinambeba zaidi mwanamke na ndomana mwanamke amekua na Nguvu kubwa ktk Jamii kiasi watu Wenye Mali nyingi utazama swala la Ndoa au Familia kwa umakini zaidi Ili asipoteze Mali yake.
6.Ongezeko la watu Single/ Single parent.
Siku zinavyo zidi ndivyo watu wanavyoongezeka kua single na kuongeza matumizi ya sex Toy.
Na Kutakia na ongezeko la matumizi ya Robot za kusex na wanadamu.
Sababu watu watakua wanakwepa Gharama za mahusiano, na malingo ya kujiona special kwa baadhi ya Binadamu.
Yani huu mwaka hadi uishe hamna rangi tutaacha ona kwakweli hili swala la mahusiano kila mtu atachanganyikiwa wakati wake,ni swala la muda tu,yani wakati ukifika haijalishi umejifichia wapi utatolewa huko ulipo upewe dozi kisha utulie usikilizie Maumivu.
 
Siku zinavyozidi kusogea ndivyo, Thamani ya Ndoa au Familia ndivyo inavyozidi kupotea.

Kuna mambo Mengi yanayopoteza Thamani ya Familia au Ndoa.

1. Tamaa
Kumekua na Tamaa kubwa sana ususani katika jamii yetu mtu anapoamua kuanzisha familia au kuingia katika Ndoa anaingia kimkakati, Tayari anakua na malengo yake ya kutimizi anachokitaka kukipata ambacho amelenga kua ni Faida yake

2. Upendo wa Dhati Hakuna, Mwanadamu atapenda kwa kua utamtimizia mahitaji yake, sasa swali la kujiuliza utaweza mtimizia mwanadamu mahitaji yake, jibu ni No maana ni Ngumu kumtimizia mwanadamu mahitaji yake.

3.Kwa Duniani ya Sasa kuupata Upendo wa kweli ni Ngumu kwani watu wanapenda kitu au Mali unazomiliki sio kukupenda wewe, na utatambua tu siku utakapokua hauna uwezo wa kuwapa mahitaji yao kwa wakati.

4.Shauku ya watu walio Wengi ipo katika Mali na Fedha, mtu ni Laisi sana kupenda Fedha ulio nayo sio kukupenda, wewe

FACT
 
Yani huu mwaka hadi uishe hamna rangi tutaacha ona kwakweli hili swala la mahusiano kila mtu atachanganyikiwa wakati wake,ni swala la muda tu,yani wakati ukifika haijalishi umejifichia wapi utatolewa huko ulipo upewe dozi kisha utulie usikilizie Maumivu.
Haaaa. Niliachaga mke Miaka 8 imepita sasa hivi ni umalaya tu ndo ukibakia a
 
Yani huu mwaka hadi uishe hamna rangi tutaacha ona kwakweli hili swala la mahusiano kila mtu atachanganyikiwa wakati wake,ni swala la muda tu,yani wakati ukifika haijalishi umejifichia wapi utatolewa huko ulipo upewe dozi kisha utulie usikilizie Maumivu.
Kama ulikuwa mlevi ukaacha pombe Kwa mfano ,😀Sasa km mapenzi mtu uyawezi c uachane nayo tu mkuu ulipie hudumaa upite hv,,ilaa km unataka kujenga familiaa inakubidi uingie Kwenye mfumo ukuteseee Kwanzaa mpk usemee😀
 
Siku zinavyozidi kusogea ndivyo, Thamani ya Ndoa au Familia ndivyo inavyozidi kupotea.

Kuna mambo Mengi yanayopoteza Thamani ya Familia au Ndoa.

1. Tamaa
Kumekua na Tamaa kubwa sana ususani katika jamii yetu mtu anapoamua kuanzisha familia au kuingia katika Ndoa anaingia kimkakati, Tayari anakua na malengo yake ya kutimizi anachokitaka kukipata ambacho amelenga kua ni Faida yake

2. Upendo wa Dhati Hakuna, Mwanadamu atapenda kwa kua utamtimizia mahitaji yake, sasa swali la kujiuliza utaweza mtimizia mwanadamu mahitaji yake, jibu ni No maana ni Ngumu kumtimizia mwanadamu mahitaji yake.

3.Kwa Duniani ya Sasa kuupata Upendo wa kweli ni Ngumu kwani watu wanapenda kitu au Mali unazomiliki sio kukupenda wewe, na utatambua tu siku utakapokua hauna uwezo wa kuwapa mahitaji yao kwa wakati.

4.Shauku ya watu walio Wengi ipo katika Mali na Fedha, mtu ni Laisi sana kupenda Fedha ulio nayo sio kukupenda, wewe

Mfano.
Kuna binti aliulizwa swali
'' Unampenda Tony" Jibu lake alisema" Simpendi Tony ninachopenda ni Hela zake"kitu cha kuzingatia ni kua mtu anapenda unachomiliki sio kukupenda wewe

5.Familia au Ndoa Inaonekana kama Jambo ambalo linafaida kwa mwanamke zaidi pia inatumika kama njia ya uraghai au kufilisika kwa Mwanaume usipokua makini. Ndomana baadhi ya watu wanaogopa kuoa kwa kuogopa kupoteza Mali zao kwa kupitia Ndoa au Familia kufunjika.

Kiuhalisia Sheria zinambeba zaidi mwanamke na ndomana mwanamke amekua na Nguvu kubwa katika Jamii kiasi watu Wenye Mali nyingi utazama swala la Ndoa au Familia kwa umakini zaidi Ili asipoteze Mali yake.

6.Ongezeko la watu Single/ Single parent.

Siku zinavyo zidi ndivyo watu wanavyoongezeka kua single na kuongeza matumizi ya sex Toy.
Na Kutakia na ongezeko la matumizi ya Robot za kusex na wanadamu.

Sababu watu watakua wanakwepa Gharama za mahusiano, na malingo ya kujiona special kwa baadhi ya Binadamu.
Bora Binti alisema ukweli na tony akae akijua asipoendelea kuwa na pesa bac ajue Binti c wake Tena...

Kila la heri Tony ktk safari Yako ya mapenzi na chuma uletee wako...

Nowadays, there is a very big Confrontation between The Marriage Contract versus Marriage Business Contract.
That's why unaona kwamba siku hizi kuna HARUSI nyingi sana lakini NDOA zimekuwa chache sana kupita kiasi.
 
If you wish to marry well, inquire well. Associations through “hanging out” or exchanging information on the Internet are not a sufficient basis for marriage. There should be dating, followed by careful and thoughtful and thorough courtship. There should be ample opportunities to experience the prospective spouse’s behavior in a variety of circumstances. Fiances should learn everything they can about the families with whom they will soon be joined in marriage. In all of this, we should realize that a good marriage does not require a perfect man or a perfect woman. It only requires a man and a woman committed to strive together toward perfection.
 
Kama ulikuwa mlevi ukaacha pombe Kwa mfano ,😀Sasa km mapenzi mtu uyawezi c uachane nayo tu mkuu ulipie hudumaa upite hv,,ilaa km unataka kujenga familiaa inakubidi uingie Kwenye mfumo ukuteseee Kwanzaa mpk usemee😀
Mkuu haya mswala tukitumia muda kuyachambua tuta changanyikiwa bure,haya hayanaga formula kama
1739991827270.png

hili swala ni zito sana ulimwenguni kote,nashauri tukae kwa kutulia tufanye yaliyo ndani ya uwezo wetu maana ni kutiana uchizi usio kuwa na sababu.
 
Nowadays, there is a very big Confrontation between The Marriage Contract versus Marriage Business Contract.
That's why unaona kwamba siku hizi kuna HARUSI nyingi sana lakini NDOA zimekuwa chache sana kupita kiasi.
Iko wazi 💯
 
Yani huu mwaka hadi uishe hamna rangi tutaacha ona kwakweli hili swala la mahusiano kila mtu atachanganyikiwa wakati wake,ni swala la muda tu,yani wakati ukifika haijalishi umejifichia wapi utatolewa huko ulipo upewe dozi kisha utulie usikilizie Maumivu.
Inatakiwa ufanye fujo mapema saa hizi unatulia tu raia wa mfano.
 
Mkuu haya mswala tukitumia muda kuyachambua tuta changanyikiwa bure,haya hayanaga formula kama View attachment 3242169
hili swala ni zito sana ulimwenguni kote,nashauri tukae kwa kutulia tufanye yaliyo ndani ya uwezo wetu maana ni kutiana uchizi usio kuwa na sababu.
Iko wazii mkuu💯
 
Tatizo sio kuzijua sababu za kufeli kwa taasisi ya ndoa/familia, tatizo ni kupata suluhisho lake.

By the way
#Kataa Ndoa usitake kujua sababu, ukibisha oa utazijua sababu
 
Back
Top Bottom