Kupotea Kwa Thamani ya Familia au Ndoa

Kupotea Kwa Thamani ya Familia au Ndoa

Kumwaga sio shida ila umri unaposogea kuna wakati utahitaji msaidizi.
Mi fumo yetu ya Nchi Iko Hovyo ila la umuhimu ni kua na Pesa Tu maana wanadamu wanapenda sana Hela,Hata huyo msaidizi anataka Hela....
 
Inatakiwa ufanye fujo mapema saa hizi unatulia tu raia wa mfano.
Yalivyokuwa hayanaga adabu kuna muda utajisahau alafu utanasa tena kwenye mtego ili mradi kikulambe tu uzalilike.🤣🤣
 
Siku hizi hata wanaume wengi hawana uwezo wa kusimamia ndoa nayo nisababu kubwa Kwa wanawake kuwa nguvu,
Mfano mwanaume badala ya kumweka mke sawa ila yeye kazi yake mpaka aongee na mama yake au dada zake unategemea nini ? Badala ya kuongea na baba yake ampe mikakati ya kuishi na mkewe hakuna, mwanaume anamnunia mkewe kweli?😐😐😅😅 Hapo unategemea atakuwa na akili ya kutoa amri Kwa mkewe? Mme kama kichwa inatakiwa akisema hilo hapana ni hapana kweli, lakini nyie wa sasa mnakaa na dada zenu na mama zenu mnamsengenya mke uwiii!!!!!
Vijana wasasa kaeni na watoto wenu wawe wanaume sio mtoto wa kiume.
 
Yani huu mwaka hadi uishe hamna rangi tutaacha ona kwakweli hili swala la mahusiano kila mtu atachanganyikiwa wakati wake,ni swala la muda tu,yani wakati ukifika haijalishi umejifichia wapi utatolewa huko ulipo upewe dozi kisha utulie usikilizie Maumivu.
Tupambane kutafuta familia tuuh sio kuoa
 
Iko wazii mkuu💯
Sema hii mifumo ambayo imewekwa ulimwenguni kuna muda naona ni kama trap 🪤 yani haikupi chaguzi za nje na hapo zinakulazimisha ufuate mifumo yao ili wakutese kama swala la ndoa ki ukweli sikuona umuhimu wake sema Ndio mifumo ambayo tumeikuta ulimwenguni na ndio inatakiwa tuishi humo.
 
Siku hizi hata wanaume wengi hawana uwezo wa kusimamia ndoa nayo nisababu kubwa Kwa wanawake kuwa nguvu,
Mfano mwanaume badala ya kumweka mke sawa ila yeye kazi yake mpaka aongee na mama yake au dada zake unategemea nini ? Badala ya kuongea na baba yake ampe mikakati ya kuishi na mkewe hakuna, mwanaume anamnunia mkewe kweli?😐😐😅😅 Hapo unategemea atakuwa na akili ya kutoa amri Kwa mkewe? Mme kama kichwa inatakiwa akisema hilo hapana ni hapana kweli, lakini nyie wa sasa m akaa na dada zenu na mama zenu mnamsengenya mke uwiii!!!!!
Vijana wasasa kaeni na watoto wenu wawe wanaume sio mtoto wa kiume.
Hatari sana
 
Tupambane kutafuta familia tuuh sio kuoa
Familia unaitafutia wapi ? Ndiyo unazalisha wanawake tofauti halafu nani aje kuwatunza? Ndiyo yale kila mtoto anakuja natabia za mama yake siku ya siku unanyoosha mwenyewe
 
Hatari sana
Wapo busy na mama zao na dada zao badala yakusimamia ndoa zao mpaka unashangaa na wengi dada zao wanazslishwa huko halafu mizigo ya hao kina kaka, huo muda wa kukaa na mke hana yupo na watoto wa shemeji yake, mke atafanyaje hapo!
 
Kweli kabisa maana hata wao wenyewe wameshtuka sasa hv utawasikia wakisema nataka nizae katoto kangu ka moja tu kisha niendelee kutafuta maisha hawataki kusikia habari za ndoa.
Hivyo hivyo kila mtu apambane na hali yake.
 
Kweli kabisa maana hata wao wenyewe wameshtuka sasa hv utawasikia wakisema nataka nizae katoto kangu ka moja tu kisha niendelee kutafuta maisha hawataki kusikia habari za ndoa.
Daah kiukwel tunawatakat mgumu sanaaa
 
Yalivyokuwa hayanaga adabu kuna muda utajisahau alafu utanasa tena kwenye mtego ili mradi kikulambe tu uzalilike.🤣🤣
Inatakiwa saa hizi ushapanda bei hata kupatikana mpaka upewe intro na mutual friend Turks and Caicos.

Yani hata sabuni haikupati.

No foam, no erection. 😂😂😂
 
Sasa tatizo kubwa ni (mabadiliko ya P. E. S. T. E. L kwa ujumla political, Economical, social, technology and legal aspects)

Watu kama kina
mzabzab "mutu unakuta ana miaka 46 harafu 🤣hajawowa yuko munyewe tu anapiga mukunyeto kwanini mzabzab usiwowe "
 
Inatakiwa saa hizi ushapanda bei hata kupatikana mpaka upewe intro na mutual friend Turks and Caicos.

Yani hata sabuni haikupati.

No foam, no erection. 😂😂😂
🤣🤣
 
Back
Top Bottom