Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yalivyokuwa hayanaga adabu kuna muda utajisahau alafu utanasa tena kwenye mtego ili mradi kikulambe tu uzalilike.🤣🤣Inatakiwa ufanye fujo mapema saa hizi unatulia tu raia wa mfano.
Tupambane kutafuta familia tuuh sio kuoaYani huu mwaka hadi uishe hamna rangi tutaacha ona kwakweli hili swala la mahusiano kila mtu atachanganyikiwa wakati wake,ni swala la muda tu,yani wakati ukifika haijalishi umejifichia wapi utatolewa huko ulipo upewe dozi kisha utulie usikilizie Maumivu.
Sema hii mifumo ambayo imewekwa ulimwenguni kuna muda naona ni kama trap 🪤 yani haikupi chaguzi za nje na hapo zinakulazimisha ufuate mifumo yao ili wakutese kama swala la ndoa ki ukweli sikuona umuhimu wake sema Ndio mifumo ambayo tumeikuta ulimwenguni na ndio inatakiwa tuishi humo.Iko wazii mkuu💯
Hatari sanaSiku hizi hata wanaume wengi hawana uwezo wa kusimamia ndoa nayo nisababu kubwa Kwa wanawake kuwa nguvu,
Mfano mwanaume badala ya kumweka mke sawa ila yeye kazi yake mpaka aongee na mama yake au dada zake unategemea nini ? Badala ya kuongea na baba yake ampe mikakati ya kuishi na mkewe hakuna, mwanaume anamnunia mkewe kweli?😐😐😅😅 Hapo unategemea atakuwa na akili ya kutoa amri Kwa mkewe? Mme kama kichwa inatakiwa akisema hilo hapana ni hapana kweli, lakini nyie wa sasa m akaa na dada zenu na mama zenu mnamsengenya mke uwiii!!!!!
Vijana wasasa kaeni na watoto wenu wawe wanaume sio mtoto wa kiume.
Familia unaitafutia wapi ? Ndiyo unazalisha wanawake tofauti halafu nani aje kuwatunza? Ndiyo yale kila mtoto anakuja natabia za mama yake siku ya siku unanyoosha mwenyeweTupambane kutafuta familia tuuh sio kuoa
Kweli kabisa maana hata wao wenyewe wameshtuka sasa hv utawasikia wakisema nataka nizae katoto kangu ka moja tu kisha niendelee kutafuta maisha hawataki kusikia habari za ndoa.Tupambane kutafuta familia tuuh sio kuoa
Wapo busy na mama zao na dada zao badala yakusimamia ndoa zao mpaka unashangaa na wengi dada zao wanazslishwa huko halafu mizigo ya hao kina kaka, huo muda wa kukaa na mke hana yupo na watoto wa shemeji yake, mke atafanyaje hapo!Hatari sana
Hivyo hivyo kila mtu apambane na hali yake.Kweli kabisa maana hata wao wenyewe wameshtuka sasa hv utawasikia wakisema nataka nizae katoto kangu ka moja tu kisha niendelee kutafuta maisha hawataki kusikia habari za ndoa.
Daah kiukwel tunawatakat mgumu sanaaaKweli kabisa maana hata wao wenyewe wameshtuka sasa hv utawasikia wakisema nataka nizae katoto kangu ka moja tu kisha niendelee kutafuta maisha hawataki kusikia habari za ndoa.
kila mtu atakula kwa jasho lake.Hivyo hivyo kila mtu apambane na hali yake.
Ohooo ni kwelikila mtu atakula kwa jasho lake.
Kila mtu akikutana na mm ananiuliza vp bado hujaoa,nabakigi najichekesha chekesha kama zuzu.Daah kiukwel tunawatakat mgumu sanaaa
Inatakiwa saa hizi ushapanda bei hata kupatikana mpaka upewe intro na mutual friend Turks and Caicos.Yalivyokuwa hayanaga adabu kuna muda utajisahau alafu utanasa tena kwenye mtego ili mradi kikulambe tu uzalilike.🤣🤣
Hakika 👊Nahisi sababu sio ni watu hatujipendi wenyewe. Hivyo inakua ngumu kumpenda mtu kwa jinsi alivyo
🤣🤣Inatakiwa saa hizi ushapanda bei hata kupatikana mpaka upewe intro na mutual friend Turks and Caicos.
Yani hata sabuni haikupati.
No foam, no erection. 😂😂😂