Abdull hamid
Member
- May 20, 2020
- 26
- 20
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi Ni dada[emoji3526]
ipe nyungu hiyo kabla haijakupinduaHabari zenu ndugu zangu mwenzenu nina tatizo linanisumbua inafika mwezi sasa pua yangu huwa zinapishana kuziba mda huu inaziba tundu la kulia na mda mwengine linaziba la kushoto na sipati harufu kabisa inafika mwezi sasa naomba ushauri wadau nimeshaenda hosptal ila bdo halii hii inanitesa sana jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu najua zinaziba pua kwa zamu zamuAmesema huwa pua zinaziba upande kwa upande. Na nyama za pua haziathiri pua moja kwa zamu
[emoji7][emoji7]ahsante dada nitafanya ivoMimi Ni dada[emoji3526]
Nenda kwanza hospital mkuu..waangalie kama ni lenyewe au hapana.
Operation Ni last options..hili tatizo Tiba yake ni kuniepusha na mazingira yanayochochea tatizo..ukiweza kuniepusha na vitu hivyo basi tatizo linaisha na lako inaonyesha limekuanza hivi karibuni ..uwezekano wa kulidhibiti ni mkubwa.
Kuna dawa pia za anti aleji huwa wanatoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wewe unajua ni tatizo la nyama za pua mbona hujaenda kukatwa?Mkuu najua zinaziba pua kwa zamu zamu
Hata mimi ninazo.
Matundu ya pua yanapeana zamu kuziba
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kwanza kwa wataalam wa pua wathibitishe kama ni lenyewe.
Kaka nyungu nimepija vibaya mno labda niendeleze tuipe nyungu hiyo kabla haijakupindua
Ahsante kwa ushauri mungu akubariki sanaNenda kwanza kwa wataalam wa pua wathibitishe kama ni lenyewe.
Wao wanajua namna ya kukutibia.
Pole Sana,hata mimi Nina hilo tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishauriwa kuepuka mazingira yanayochochea tatizo.Kwa hiyo wewe unajua ni tatizo la nyama za pua mbona hujaenda kukatwa?
Nyama za pua sio allergy, ni tissue growth.Nilishauriwa kuepuka mazingira yanayochochea tatizo.
Nikapewa dawa pia za kuzuia hiyo aleji ya pua
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulipewa dawa za aina gani mana mm nilishaenda hosptali sana wananipa tu vidonge na dawa ya kutia kwenye pua ila haijanisaidiaNilishauriwa kuepuka mazingira yanayochochea tatizo.
Nikapewa dawa pia za kuzuia hiyo aleji ya pua
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba unielekeze hiiTatizo la sinus. Tumia maji ya chumv yenye uvuguvugu kufanya kitu inaitwa sinus flush kwa kutumia Neti pot
Basi mimi niliambiwa inasababishwa na aleji.Nyama za pua sio allergy, ni tissue growth.
Nami nilipewa kama hizohizoUlipewa dawa za aina gani mana mm nilishaenda hosptali sana wananipa tu vidonge na dawa ya kutia kwenye pua ila haijanisaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ata mm sijapoteza taste ya chakula ila nimepoteza ya kunusaNami nilipewa kama hizohizo
Ila Kuna muda naona zinanisaidia kwa kiasi..Mimi sijapoteza taste ya chakula.
Walinambia nisichoke kutumia maana zinafanya kazi taratibu [emoji1745]
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh pole sana mkuu.
Corrona ???kwanino dalili ya corona ni kuziba pua na kupoteza uwezo wa kunusa?Duh pole sana mkuu.
Mimi Sina shida kabisa kwenye taste na kunusa.
Angalia isije kuwa ni Corona mkuu(kidding)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sijui mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Corrona ???kwanino dalili ya corona ni kuziba pua na kupoteza uwezo wa kunusa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa bhana nitaenda kwa doctor bingwa wa pua kuna mtu alinambia nitumie malimau na tangawizi ila leo sijamuona akaja kunielekeza jinsi ya kutumia