Dr. Sajjad Fazel
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 435
- 428
Jinsi ya kujenga kinga ya mwili
Kwenye video hii naeleza vitu vinne vitakavyo imarisha kinga ya mwili yako.
Kwenye video hii naeleza vitu vinne vitakavyo imarisha kinga ya mwili yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasemaga hio ni mojawapo ya dalili, jifulize mkuu inaisha hio
Ok ndugu kuna dawa yyte ya kukata hii dalili mana siumwi na kitu chochote zaidi ya ikoWanasemaga hio ni mojawapo ya dalili, jifulize mkuu inaisha hio
Jifukize na mvuke tu wa maji unazibua pua japo note permanent, au vikskingo au coftaOk ndugu kuna dawa yyte ya kukata hii dalili mana siumwi na kitu chochote zaidi ya iko
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh ss hali itaondoka wenyewe ama vpFuta hilo linapambana na kinga ya mwili.
Nitaanza kujaribu na hii kakaJifukize na mvuke tu wa maji unazibua pua japo note permanent, au vikskingo au cofta
Yawezekana una mafua ya kawaida ambayo yatapona auHabari zenu ndugu zangu mwenzenu nina tatizo linanisumbua inafika mwezi sasa pua yangu huwa zinapishana kuziba mda huu inaziba tundu la kulia na mda mwengine linaziba la kushoto na sipati harufu kabisa inafika mwezi sasa naomba ushauri wadau nimeshaenda hosptal ila bdo halii hii inanitesa sana jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la sinus. Tumia maji ya chumv yenye uvuguvugu kufanya kitu inaitwa sinus flush kwa kutumia Neti potHabari zenu ndugu zangu mwenzenu nina tatizo linanisumbua inafika mwezi sasa pua yangu huwa zinapishana kuziba mda huu inaziba tundu la kulia na mda mwengine linaziba la kushoto na sipati harufu kabisa inafika mwezi sasa naomba ushauri wadau nimeshaenda hosptal ila bdo halii hii inanitesa sana jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka ayo maji ya uvuguvugu nikishaweka chumvi hlf nifanye vp sijaielewa hiiTatizo la sinus. Tumia maji ya chumv yenye uvuguvugu kufanya kitu inaitwa sinus flush
Ok kaka hizi nyama kitaalamu si wanatoaga kwa upresheni?Yawezekana una mafua ya kawaida ambayo yatapona au
Nenda kapime pia huu ugonjwa wetu mpya...
Google sinus flush using neti pot tafuta picha za Youtube jinsi ya kufanyaKaka ayo maji ya uvuguvugu nikishaweka chumvi hlf nifanye vp sijaielewa hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Ashaanza nini?Amna kusingizia kitu apa tarehe moja mwezi wa sita wahi chuo
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Amesema huwa pua zinaziba upande kwa upande. Na nyama za pua haziathiri pua moja kwa zamuYawezekana una mafua ya kawaida ambayo yatapona au
Nenda kapime pia huu ugonjwa wetu mpya
Au yawekana tatizo la nyama za pua kitaalam linaitwa nasal polyps la kwako ni antrochoanal polyps hizi huwa zinaziba pua moja...