serikali 1.zanzibar iwe mkoa tu au wilaya.nchi gani ina idadi ya wakazi sawa na jimbo la ubungo?
Wazenji wapo 1.5 million tu ! Lakini ni wajanja zaidi wamewekeza kwenye Ubunge Uwaziri na vyeo vingi tu wao ni wachache lakini Viongozi ni wengi sana ambapo wanalipwa na pesa ya Jasho la Tanganyika kisha wakishiba wanaanza kulalamikia lalamika ili kuwapumbaza watanganyika wasijitfmbue Kuwa Wanachunwa Kama buzi