kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Id yako ni jibu tosha kuwa wewe ni mpumbavuNyie watu wa kanda ya ziwa mtulie sasa,,,.mnadhani nyie kura zenu zina thamani sana kuliko kanda zingine?
Mnajiona watu special sana na mnahisi kama nyie ndo wenye hati miliki ya hii nchi!...sasa kwa taarifa yenu hata msipopiga kura kanda nzima, mother atatoboa tu mtake msitakeId yako ni jibu tosha kuwa wewe ni mpumbavu
Magufuli hakuwa msukuma. Zindukaaaaa kijanaKumbuka Wasukuma ni hazina ya kura. Wasukuma na ndugu zao Wanyamwezi wana wapiga kura millioni sita. Ukiongeza ndugu zao wa kanda ya ziwa kuna zaidi ya wapiga kura milliomi 10. Kwa hasira CHADEMA ikivuna hawa, hata kama haitapata uraisi, inaweza kutikisa bunge! Tatizo hapa lipo kwenye matusi ya rejareja ya watu wa CHADEMA ambayo watawakimbiza wapiga kura kuliko kuwavutia.
๐Mnajiona watu special sana na mnahisi kama nyie ndo wenye hati miliki ya hii nchi!...sasa kwa taarifa yenu hata msipopiga kura kanda nzima, mother atatoboa tu mtake msitake
Nakubali mkuu mwache ajiachie sana ila ngoja tuone 2014 watakavyomfanya vibayaNani anajifanya kusahau juu ya uchaguzi wa 2010?
Wananchi wa kanda ya ziwa waliikataa CCM ya kifisadi na matokeo ya uchaguzi yalikuwa juu kwa upinzani hasa Chadema.
Upinzani ulipata madiwani, wabunge na kura nyingi za urais toka kanda ya ziwa.
Mwaka 2025 utathibitisha hili bila chenga. Tuombe uzima na yetu ni macho.
๐Nakubali mkuu mwache ajiachie sana ila ngoja tuone 2014 watakavyomfanya vibaya
Kwani kupata ukweli kuwa mlimtosa Jakaya kwa ukanda wa kikaskazini halijulikani?
Ni ujinga kujaribu kutumia kupuyanga kwa mtu mwingine kama justification ya wewe kupuyanga zaidi.Mnapandisha mapigo ya moyo bure.Yule "mpendwa" wenu hakuwa mtakatifu.Ifike mahali mkubali kwamba kuna mambo alipuyanga sana kwa udhaifu wa kibinadamu.๐๐๐๐
Mwacheni mama afanye kazi. Huyo mnayemwabudu alishatangulia akhera. Hatarudi tena duniani milele.Mi kanikera sana! Hawezi kufanya vitu vyake mpaka amtaje Magufuli! Very stupid behaviour!
Mmeacha kuiba kura? Hizo kura zenu hazina maana yoyote. Tutakuja na zetu kwenye mabox zikiwa tayari zimepigwaNani anajifanya kusahau juu ya uchaguzi wa 2010?
Wananchi wa kanda ya ziwa waliikataa CCM ya kifisadi na matokeo ya uchaguzi yalikuwa juu kwa upinzani hasa Chadema.
Upinzani ulipata madiwani, wabunge na kura nyingi za urais toka kanda ya ziwa.
Mwaka 2025 utathibitisha hili bila chenga. Tuombe uzima na yetu ni macho.
Ulishasikia wapi nchi hii toka uchaguzi wa vyama vingi wananchi wanamchagua rais.hiyo kanda ya ziwa hata mpige kura ya kuchaguwa nani hata tangawzwaNani anajifanya kusahau juu ya uchaguzi wa 2010?
Wananchi wa kanda ya ziwa waliikataa CCM ya kifisadi na matokeo ya uchaguzi yalikuwa juu kwa upinzani hasa Chadema.
Upinzani ulipata madiwani, wabunge na kura nyingi za urais toka kanda ya ziwa.
Mwaka 2025 utathibitisha hili bila chenga. Tuombe uzima na yetu ni macho.
Siyo kujustify jambo.Hapo ni kukumbushana kutorudia na kutoenenda kwa makosa yaliyotendwa.Hata yeye alikuwepo kwenye uongozi na aliona ubaya wake.Ni ujinga kujaribu kutumia kupuyanga kwa mtu mwingine kama justification ya wewe kupuyanga zaidi.
Huyu mwanamke ni zaidi ya MchawiHadi sasa huyu mama tushamkataa kanda ya ziwa, hata akitumia policcm na TICCM lazma ieleweke kura zetu tutampa mtu ambaye atapambana nae 2025.
Sio kwa matusi haya kwa Hayati JPM anaongea kana kwamba hakuwa msaidizi wake wa karibu, shame on Her.
Huyu ni zaidi ya YUDA
Kwani sensa ya kanda ya ziwa inasemaje?
Huyu ni mnafiki zaidi karma itacheza nae lazma ile kwake ๐๐พHuyu mwanamke ni zaidi ya Mchawi
Yaan unamsema JPM Rais alopendwa na Watanzania ,na akapendwa na Mungu kiasi kwamba Siku mauti yanampata Tetemeko la Ardhi likapita Kanda ya ziwa.
Ebwanaa Kufa usemwe.
Wasukuma mmefura.Huyu ni mnafiki zaidi karma itacheza nae lazma ile kwake ๐๐พ