Kura za kanda ya ziwa huwa zinatoa maamuzi makubwa kwenye uchaguzi mkuu hapa nchini. Mwaka 2010 watu wa kanda ya ziwa waliikataa CCM dhidi ya upinzani

Kura za kanda ya ziwa huwa zinatoa maamuzi makubwa kwenye uchaguzi mkuu hapa nchini. Mwaka 2010 watu wa kanda ya ziwa waliikataa CCM dhidi ya upinzani

Dah...Mama Katisha...Sijaamini Macho Yangu Wala Masikio Yangu Juu Ya Kauli Za Mama.....!

Hivi ni Kweli Huyu huyu Mama Alikuwa Sehemu Ya Awamu ile..?

Anaturudisha Kule Kule...Sisi Wakereketwa enzi Zile Unavaa Jezi Ya Chama Kariakoo UNAZOMEWA mchana Kweupe..!!
 
Nyie watu wa kanda ya ziwa mtulie sasa,,,.mnadhani nyie kura zenu zina thamani sana kuliko kanda zingine?
 
Kumbuka Wasukuma ni hazina ya kura. Wasukuma na ndugu zao Wanyamwezi wana wapiga kura millioni sita. Ukiongeza ndugu zao wa kanda ya ziwa kuna zaidi ya wapiga kura milliomi 10. Kwa hasira CHADEMA ikivuna hawa, hata kama haitapata uraisi, inaweza kutikisa bunge! Tatizo hapa lipo kwenye matusi ya rejareja ya watu wa CHADEMA ambayo watawakimbiza wapiga kura kuliko kuwavutia.
Magufuli hakuwa msukuma. Zindukaaaaa kijana
 
Nani anajifanya kusahau juu ya uchaguzi wa 2010?

Wananchi wa kanda ya ziwa waliikataa CCM ya kifisadi na matokeo ya uchaguzi yalikuwa juu kwa upinzani hasa Chadema.

Upinzani ulipata madiwani, wabunge na kura nyingi za urais toka kanda ya ziwa.


Mwaka 2025 utathibitisha hili bila chenga. Tuombe uzima na yetu ni macho.
Nakubali mkuu mwache ajiachie sana ila ngoja tuone 2014 watakavyomfanya vibaya
 
Mnapandisha mapigo ya moyo bure.Yule "mpendwa" wenu hakuwa mtakatifu.Ifike mahali mkubali kwamba kuna mambo alipuyanga sana kwa udhaifu wa kibinadamu.😂😂😂😂
Ni ujinga kujaribu kutumia kupuyanga kwa mtu mwingine kama justification ya wewe kupuyanga zaidi.
 
Tangu mfiwe mmekuwa watu wa kuhangaika sana , sasa huu uzi unamaanisha nini? Poleni lakini sasa mambo iko Zenjiberi aka Kizimkazi, Poleni sana Bhangosha.
 
Nani anajifanya kusahau juu ya uchaguzi wa 2010?

Wananchi wa kanda ya ziwa waliikataa CCM ya kifisadi na matokeo ya uchaguzi yalikuwa juu kwa upinzani hasa Chadema.

Upinzani ulipata madiwani, wabunge na kura nyingi za urais toka kanda ya ziwa.


Mwaka 2025 utathibitisha hili bila chenga. Tuombe uzima na yetu ni macho.
Mmeacha kuiba kura? Hizo kura zenu hazina maana yoyote. Tutakuja na zetu kwenye mabox zikiwa tayari zimepigwa
 
Nani anajifanya kusahau juu ya uchaguzi wa 2010?

Wananchi wa kanda ya ziwa waliikataa CCM ya kifisadi na matokeo ya uchaguzi yalikuwa juu kwa upinzani hasa Chadema.

Upinzani ulipata madiwani, wabunge na kura nyingi za urais toka kanda ya ziwa.


Mwaka 2025 utathibitisha hili bila chenga. Tuombe uzima na yetu ni macho.
Ulishasikia wapi nchi hii toka uchaguzi wa vyama vingi wananchi wanamchagua rais.hiyo kanda ya ziwa hata mpige kura ya kuchaguwa nani hata tangawzwa
 
Ni ujinga kujaribu kutumia kupuyanga kwa mtu mwingine kama justification ya wewe kupuyanga zaidi.
Siyo kujustify jambo.Hapo ni kukumbushana kutorudia na kutoenenda kwa makosa yaliyotendwa.Hata yeye alikuwepo kwenye uongozi na aliona ubaya wake.
 
Hadi sasa huyu mama tushamkataa kanda ya ziwa, hata akitumia policcm na TICCM lazma ieleweke kura zetu tutampa mtu ambaye atapambana nae 2025.

Sio kwa matusi haya kwa Hayati JPM anaongea kana kwamba hakuwa msaidizi wake wa karibu, shame on Her.

Huyu ni zaidi ya YUDA
Huyu mwanamke ni zaidi ya Mchawi


Yaan unamsema JPM Rais alopendwa na Watanzania ,na akapendwa na Mungu kiasi kwamba Siku mauti yanampata Tetemeko la Ardhi likapita Kanda ya ziwa.


Ebwanaa Kufa usemwe.
 
Huyu ni mnafiki zaidi karma itacheza nae lazma ile kwake 🙏🏾
Wasukuma mmefura.

Hata mwendakuzimu alikuwa mnafki.

Tena yeye alijitokeza bila ya kificho na woga akimshambulia kikwete.

Yeye akisakamwa wachunga ng'ombe mnakuja juu!
 
Aisee
Mnaemsema vibaya huyu hapa

Tukutane 2025
JamiiForums-1905404282.jpg
 
Back
Top Bottom