Naamini hauko kwenye maisha ya kitanzania ndugu yangu.Hakuna Kipindi Mambo yalikua magumu kama Kipindi Kile cha bwana yule tena kipindi kile sio tu uchumi kuwa mbovu alienda mbali na Kupora watu haki na uhuru wao.Sasa hivi Tupo huru hata wewe unapata nafasi ya kutoa maoni yako kama hivi na hautakamatwa na wasiojulikana na uchumi sasa hivi unaimarika. Prediction yangu Kura zikipigwa leo atashinda kwa 93.7%. Muacheni afanye kazi na uache Ramli chonganishi
SIO VIBAYA KUOTA, NI VIBAYA KUOTA UKIWA UNATEMBEA.....Kwa hari ilivyo huku mtaani.
Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.
Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.
CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.
Ni hayo tu.
Heshima kitu muhimu sana! Kwani hamuwezi kujenga hoja kistaarabu? Pls...🙏🙏🙏[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hakika huyu bibi ni sifuri tupu.
Acha hizo wewe. wengi waliingizwa mkenge na wanasiasa uchwara lakini badae walipogundua kwamba mzee anataka Tanzania ya Viwanda na wara hana shida na mtu walirudi wenyewe na kuanzisha biashara.Ulichokiandika sio kweli ....ule utawala biashara za watu wengi zilikufa kibudu.....
Ukweli mchunguCCM haitegemei kura kukaa madarakani acha upotoshaji wakijinga.
Shida yeye alishasema ni mzenji..sio mtanganyika hivyo shida za Tanganyika na watanganyika hazimuumi..Kwa hari ilivyo huku mtaani.
Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.
Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.
CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.
Ni hayo tu.
Wanajilazimisha kujisahaulisha.Kwani wakati wa dhalimu mambo yalikuwa marahisi, au unadhani tumesahau?
Hayo ni mawazo yako. Huyu mama hakuna anachokifanya yuko pale kulamba asali.Hakuna Kipindi Mambo yalikua magumu kama Kipindi Kile cha bwana yule tena kipindi kile sio tu uchumi kuwa mbovu alienda mbali na Kupora watu haki na uhuru wao.Sasa hivi Tupo huru hata wewe unapata nafasi ya kutoa maoni yako kama hivi na hautakamatwa na wasiojulikana na uchumi sasa hivi unaimarika. Prediction yangu Kura zikipigwa leo atashinda kwa 93.7%. Muacheni afanye kazi na uache Ramli chonganishi
Haya, kalale usingizi labda utapewa ubongo mpya uweze kufikiri sawasawa.Kwa hari ilivyo huku mtaani.
Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.
Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.
CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.
Ni hayo tu.
Yaani kama Magufuli aliweza basi Mama is better than Marehemu yule Dhalimu mkkuWanamhujumu? Wanamhujumu yeye akiwa wapi? Anahujumiwa yeye AKILI za kujua anahujumiwa akiwa amezikodishia wapi? Anahujumiwa vipi ilhali ana Vyombo lukuki vya Dola vya kumkusanyia faarifa? Amewezaje kujua Magawio ya Mashirika ya Umma enzi za Magufuli yalikuwa yanakopwa Bank na ashindwe kujua kuwa anahujumiwa?
Tatizo letu Ni Unafiki. Alipoboronga Marehemu Magufuli hakuwa anahujumiwa ila huyu kila Failure anahujumiwa! Hivi Kwa nini hatutaki kuelewa kuwa Nchi hii kimahitaji na Changamoto zake haviwiani na uwezo wa Mama? Mungu sio mjinga kutuumba Kwa uwezo tofauti. Hata Malaika wanazidiana Uwezo. Mama HANA UWEZO WA KIAKILI wa kutosha kabisa kuongoza Nchi kama hii. Kama CCM wakiwa wakweli tu Kwa nafsi Zao na Kwa kuzingatia Mahitaji ya Watanzania basi hawatampa mama tena Nafasi. Mimi nkionana naye huo ukweli nitampa.
Wakati unaambiwa pambana na hali yako wese lilitoka Tzs 2,3OO hadi kufikia Tzs 1,5OO kuendana na dondoko la bei duniani. Bei za nafaka zikiwa affordable ilifikia stage mchele unachagua kati ya 1,3OO-1,5OO Super.hivi ule msemo wa pambana na hali yako na vyuma vimekaza ulikuwa ni kipindi gani? Tuache chuki
Kelele zenu huwa ni humu humu.CCM , 2025 ndo mwisho, may be uchaguzi usifanyike, ukifanyika tutafia vituon , ya zambia yanakuja 2025, Iyo sijui piga kura nenda nyumbani hakuna, 2023 lazima pamoja na Mambo mengine kuanza utoaji elim hasa KWa vijana KILA mahali Tz nzima na kua na mkakati wa pamoja namna ya kulinda kura.
Hii ni sehem ambayo tumekua hatujiandai nayo, inakuja kutolewa wakati wa campeni tu.
So 2023, lazima kuwa na mtandao wa ulindaji wa kura anzia kitongoji mpaka mkoa, mpaka taifa, na lazima kuunda kikosi kazi KWa ajili ya kuratibu elim hii na mtandao mzima kabla ya uchaguzi
Inawezekana kura yangu moja inayoibiwa ndo inafanya maisha yangu ,na mwingine kuwa magumu Sasa KWa nini nisilinde kura yangu?
Imetosha sasa
Wacha ijiendeshe tu. Muhimu tupo huru sasaNaamini hauko kwenye maisha ya kitanzania ndugu yangu.
Wewe unaona mama anaongoza nchi ama nchi inajiendesha? Sema tu ukweli wako.
Wachache ndio wanalamba asali.
Inakera sana Mkuu kuona tunatoa majibu mepesimepesi Kwa mambo mazito. Ni kweli kwamba baada ya Kifo cha Magufuli Ni yeye alipaswa ku-takeover. Lakini baada ya muda wake kuisha kama Ni mkweli na Mnyenyekevu kama anavyoimbwa na kupambwa Nafsi yake inapaswa kumuambia kuwa Hastahili hata kulegeza Gidamu za Viatu vya mama Tanzania tena. Hii Nchi sio ya kuachiana mihula ya kuongoza. Kama tumefikia mahali tunaona iko haja ya kutawaliwa kijinsia wako wanawake Wenye uwezo mkubwa sana kuliko huyo mama!Umeeleweka.
Natamani wewe ndio ungeanzisha huu uzi.
Yeah, ni kwelie kabisa.Inakera sana Mkuu kuona tunatoa majibu mepesimepesi Kwa mambo mazito. Ni kweli kwamba baada ya Kifo cha Magufuli Ni yeye alipaswa ku-takeover. Lakini baada ya muda wake kuisha kama Ni mkweli na Mnyenyekevu kama anavyoimbwa na kupambwa Nafsi yake inapaswa kumuambia kuwa Hastahili hata kulegeza Gidamu za Viatu vya mama Tanzania tena. Hii Nchi sio ya kuachiana mihula ya kuongoza. Kama tumefikia mahali tunaona iko haja ya kutawaliwa kijinsia wako wanawake Wenye uwezo mkubwa sana kuliko huyo mama!
Mnajochosha bure.Inakera sana Mkuu kuona tunatoa majibu mepesimepesi Kwa mambo mazito. Ni kweli kwamba baada ya Kifo cha Magufuli Ni yeye alipaswa ku-takeover. Lakini baada ya muda wake kuisha kama Ni mkweli na Mnyenyekevu kama anavyoimbwa na kupambwa Nafsi yake inapaswa kumuambia kuwa Hastahili hata kulegeza Gidamu za Viatu vya mama Tanzania tena. Hii Nchi sio ya kuachiana mihula ya kuongoza. Kama tumefikia mahali tunaona iko haja ya kutawaliwa kijinsia wako wanawake Wenye uwezo mkubwa sana kuliko huyo mama!
Huelewi maana ya kuwa huru? Hebu jaribu kuwaza Nje ya maana ya kukosekana kukoromewa. Kuwa huru kunaenda mbali sana mpaka kumaanisha kuwa na uwezo wa kufikiri Nje ya uwanda wa kawaida. Kama mpaka usawa huu hujaelewa kuwa tuna Ombwe la Uongozi, huo Uhuru unaouimba uko wapi?Wacha ijiendeshe tu. Muhimu tupo huru sasa