Kura zikipigwa leo, hakika anarudi zake kisiwani

Kura zikipigwa leo, hakika anarudi zake kisiwani

Unaweza ukaona vile,ila pesa 85% inaishia kwenye mifuko ya watu ,Kama nchi inafunguka why matozo yote mpaka kwenye mafuta?
Watanzania sio wajinga,
Hapo sasa. Yaani Tozo imebaki kuwekwa kwenye hewa tu. .
 
CCM , 2025 ndo mwisho, may be uchaguzi usifanyike, ukifanyika tutafia vituon , ya zambia yanakuja 2025, Iyo sijui piga kura nenda nyumbani hakuna, 2023 lazima pamoja na Mambo mengine kuanza utoaji elim hasa KWa vijana KILA mahali Tz nzima na kua na mkakati wa pamoja namna ya kulinda kura.

Hii ni sehem ambayo tumekua hatujiandai nayo, inakuja kutolewa wakati wa campeni tu.
So 2023, lazima kuwa na mtandao wa ulindaji wa kura anzia kitongoji mpaka mkoa, mpaka taifa, na lazima kuunda kikosi kazi KWa ajili ya kuratibu elim hii na mtandao mzima kabla ya uchaguzi
Inawezekana kura yangu moja inayoibiwa ndo inafanya maisha yangu ,na mwingine kuwa magumu Sasa KWa nini nisilinde kura yangu?
Imetosha sasa
Wewe umesema kweli, hakuna uchawa wa kisengerema tena!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hari ilivyo huku mtaani.

Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.

Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.

CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.

Ni hayo tu.
Hujamaliza "Arobaini"!!!!?
 
Pamoja na mambo mengi ya kijamii ambayo hayajakaa sawa nitampigia kura huyu mama nadhani Kuna watu wanamhujumu.

Lakini ni Bora huyu kuliko kupata watu aina ya jiwe tuanze kuuwana na kuishi Kwa hofu
jiwe kaondoka tayari hapa tuko na mama.

jikite kwenye mada tafadhali.
 
Sio kulamba asali, hakuna serikali itakayokuletea Hela hata aje nani, sisi tunapambana kitaa tunachohitaji ni amani, usalama na uhuru wa kufanya mambo yetu

Ukikaaq kuilaumu serikali Kila siku wakati huna uwezo wa kubadilisha mambo ni kukaribisha umaskini wewe na kizazi chako

Otherwise pambana na wewe uwe Rais Ili urekebishe pale palipopwaya

Kwaiyo mkuu unataka kusema mambo yapo Sawa kwenye taifa lako? Kwaiyo mambo kutokuwa sawa inabidi tuwe maraisi?
 
Nani alikwambia CCM inategemea kura kukaa madarakani?!! Zenji kule CUF na kwa sasa ACT wanalamba asali, huku bara ni wakina Kingai ndiyo wanahakikisha CCM wanabaki madarakani.
 
Kwa hari ilivyo huku mtaani.

Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.

Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.

CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.

Ni hayo tu.

Vyama ambavyo havitampigia ni Chadema, ACT wengine waelewa kama mimi. Lakini hawa CCM. Watapiga kura nchi nzima. Ina maana kama wana wanachama milioni 10 basi watapiga kura milioni 7. Kwasababu CCM bado wanafaidika na mfumo. Wanaamini katika hilo. Milioni zingine tatu zitachakachuliwa. Kwa mantiki hoyo mama ushungi bado ataendelea kuongeza gharama za mafuta na kusema wazi wazi mafuta yataendelea kupanda. Na wafanya biashara watayapqndisha mpaka kufika 5700 kwa lita.
 
Kwani wakati wa dhalimu mambo yalikuwa marahisi, au unadhani tumesahau?
wewe kima si ulisema mama amekulainishia???

dhalimu aliwafilimba sana,kwa sasa mambo ni malaini mno.
 
Kumbuka Mahera bado kashikilia tume na inaelekea bado wanamtaka aendelee na cheo chake ..... Imani itaanza kunirudi kidogo siku Mahera akiondoka kwenye hiyo position.
Akitoka Mahere atakuja mtu aina ya Mahere, ile nafasi anahitajika mtu ambaye atakuwa tayari 'kukabidhi' ubongo Lumumba. (Yani unateuliwa na Rais & Mwenyekiti wa CCM halafu uende kinyume).
 
Pamoja na mambo mengi ya kijamii ambayo hayajakaa sawa nitampigia kura huyu mama nadhani Kuna watu wanamhujumu.

Lakini ni Bora huyu kuliko kupata watu aina ya jiwe tuanze kuuwana na kuishi Kwa hofu
Kwamba wanao muhudumu Wana madaraka kuliko yeye

Kwamba hana vyombo vya usalama kumpa taarifa

Ukweli usemwe uwezo wake ni mdg mnooooooooooo
 
Wanamhujumu? Wanamhujumu yeye akiwa wapi? Anahujumiwa yeye AKILI za kujua anahujumiwa akiwa amezikodishia wapi? Anahujumiwa vipi ilhali ana Vyombo lukuki vya Dola vya kumkusanyia faarifa? Amewezaje kujua Magawio ya Mashirika ya Umma enzi za Magufuli yalikuwa yanakopwa Bank na ashindwe kujua kuwa anahujumiwa?
Tatizo letu Ni Unafiki. Alipoboronga Marehemu Magufuli hakuwa anahujumiwa ila huyu kila Failure anahujumiwa! Hivi Kwa nini hatutaki kuelewa kuwa Nchi hii kimahitaji na Changamoto zake haviwiani na uwezo wa Mama? Mungu sio mjinga kutuumba Kwa uwezo tofauti. Hata Malaika wanazidiana Uwezo. Mama HANA UWEZO WA KIAKILI wa kutosha kabisa kuongoza Nchi kama hii. Kama CCM wakiwa wakweli tu Kwa nafsi Zao na Kwa kuzingatia Mahitaji ya Watanzania basi hawatampa mama tena Nafasi. Mimi nkionana naye huo ukweli nitampa.
Waliosema JIWE anahujumiwa mbona walikuwepo wengi sana!
 
Kinachomsaidia huyo mama ni kuwa ameondosha tu wasiojulikana basi....
Mengine yote ni zero
Kifupi wasiojulikana walikuwa na haraka za wakubwa hata sasa mama akitaka msaada wao ni simu 1 tu
 
Vyama ambavyo havitampigia ni Chadema, ACT wengine waelewa kama mimi. Lakini hawa CCM. Watapiga kura nchi nzima. Ina maana kama wana wanachama milioni 10 basi watapiga kura milioni 7. Kwasababu CCM bado wanafaidika na mfumo. Wanaamini katika hilo. Milioni zingine tatu zitachakachuliwa. Kwa mantiki hoyo mama ushungi bado ataendelea kuongeza gharama za mafuta na kusema wazi wazi mafuta yataendelea kupanda. Na wafanya biashara watayapqndisha mpaka kufika 5700 kwa lita.
Wanaccm watakao mpigia kura lambda ni hao viongozi aliowateuwa. Lakini ninaoishi nao huku kitaa ni shidaaa.

Asuburi surprise la hatari, tena wa-mama ndio hawaelewi kabisa. Wanaona tu mwana mama mwenzao anavyo zingua.
 
Wewe umesema kweli, hakuna uchawa wa kisengerema tena!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mkuu tumekua watu wakulishwa maneno eti piga kura nenda nyumbani police watalinda, wapi ilipobainishwa kwamba wakati wa uchaguzi kazi ya police ni kulinda kura? alafu inafuata kauli eti ukikaa utapata kipigo cha mbwa Koko!! Iyo 2025 hakuna, kura zitalindwa umbali wa mita 100, full stop
2025 uchaguzi utakua mtam ni swala la mda tu
 
CCM , 2025 ndo mwisho, may be uchaguzi usifanyike, ukifanyika tutafia vituon , ya zambia yanakuja 2025, Iyo sijui piga kura nenda nyumbani hakuna, 2023 lazima pamoja na Mambo mengine kuanza utoaji elim hasa KWa vijana KILA mahali Tz nzima na kua na mkakati wa pamoja namna ya kulinda kura.

Hii ni sehem ambayo tumekua hatujiandai nayo, inakuja kutolewa wakati wa campeni tu.
So 2023, lazima kuwa na mtandao wa ulindaji wa kura anzia kitongoji mpaka mkoa, mpaka taifa, na lazima kuunda kikosi kazi KWa ajili ya kuratibu elim hii na mtandao mzima kabla ya uchaguzi
Inawezekana kura yangu moja inayoibiwa ndo inafanya maisha yangu ,na mwingine kuwa magumu Sasa KWa nini nisilinde kura yangu?
Imetosha sasa
Acha kujidanganya, nafasi ya URAIS Kwa KATIBA hii hutoipata, usijitoe UFAHAMU!!!!!

JECHA unamkumbuka? SheIn alitamka na akasikika akisema nitakubali nimeshindwa,

Ben akamjibu nenda Kiri ww umeshindwa, na Si CCM.

Kama uko serious ungana na HARAKATI kuhakikisha hakuna UCHAGUZI kabla ya KATIBA mpya.

Ameeeeen.
 
Hili linaitwa dua la kuku, hivi tunavyoandika huko Songwe imetua ndege kubwa kama zile zinazotua KIA kila siku.

Nchi imefungua na itazidi kufunguka, haya malalamiko mnayoyaandika ni kama vile upeo ni zero kabisa.

Utalii huko kaskazini magari yote ya kupeleka wazungu maporini kwa sasa yapo kazini.
Hiyo ndege ilinunuliwa chini ya utawala gani? akilini mwako umejaza kinyesi!
 
Back
Top Bottom