Kura zikipigwa leo, hakika anarudi zake kisiwani

Kura zikipigwa leo, hakika anarudi zake kisiwani

Pamoja na mambo mengi ya kijamii ambayo hayajakaa sawa nitampigia kura huyu mama nadhani Kuna watu wanamhujumu.

Lakini ni Bora huyu kuliko kupata watu aina ya jiwe tuanze kuuwana na kuishi Kwa hofu
[emoji1787]
 
Ule msemo ni kwa sababu ya kuwabana walio kuwa wanafuja mali za umma. Lakini watu walikuwa wabunifu kuanzisha biashara na wengi walibuni mbinu mbali mbali na uhuru wa kufanya hivyo ulikuwa mwingi. Kwa sasa bila pesa ndefu huwezi anzisha biashara. Maana lazima uwe na pesa ya pango. Pesa ziko na wachache.
Pesa zmerud kwa wenyewe,,
 
Kwa hari ilivyo huku mtaani.

Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.

Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.

CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.

Ni hayo tu.
💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯
 
Kwa hari ilivyo huku mtaani.

Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.

Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.

CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.

Ni hayo tu.
Hili linaitwa dua la kuku, hivi tunavyoandika huko Songwe imetua ndege kubwa kama zile zinazotua KIA kila siku.

Nchi imefungua na itazidi kufunguka, haya malalamiko mnayoyaandika ni kama vile upeo ni zero kabisa.

Utalii huko kaskazini magari yote ya kupeleka wazungu maporini kwa sasa yapo kazini.
 
Wanamhujumu? Wanamhujumu yeye akiwa wapi? Anahujumiwa yeye AKILI za kujua anahujumiwa akiwa amezikodishia wapi? Anahujumiwa vipi ilhali ana Vyombo lukuki vya Dola vya kumkusanyia faarifa? Amewezaje kujua Magawio ya Mashirika ya Umma enzi za Magufuli yalikuwa yanakopwa Bank na ashindwe kujua kuwa anahujumiwa?
Tatizo letu Ni Unafiki. Alipoboronga Marehemu Magufuli hakuwa anahujumiwa ila huyu kila Failure anahujumiwa! Hivi Kwa nini hatutaki kuelewa kuwa Nchi hii kimahitaji na Changamoto zake haviwiani na uwezo wa Mama? Mungu sio mjinga kutuumba Kwa uwezo tofauti. Hata Malaika wanazidiana Uwezo. Mama HANA UWEZO WA KIAKILI wa kutosha kabisa kuongoza Nchi kama hii. Kama CCM wakiwa wakweli tu Kwa nafsi Zao na Kwa kuzingatia Mahitaji ya Watanzania basi hawatampa mama tena Nafasi. Mimi nkionana naye huo ukweli nitampa.
Royal Tour inaanza kujibu huko Arusha na Moshi, watu wapo kazini na watalii muda huu wewe unapiga makelele ya maumivu hapa JF.

Badilikeni achaneni na haya mawazo mgando hayana msaada kwa maisha yenu.
 
Hili linaitwa dua la kuku, hivi tunavyoandika huko Songwe imetua ndege kubwa kama zile zinazotua KIA kila siku.

Nchi imefungua na itazidi kufunguka, haya malalamiko mnayoyaandika ni kama vile upeo ni zero kabisa.

Utalii huko kaskazini magari yote ya kupeleka wazungu maporini kwa sasa yapo kazini.
Hela zinaenda wapi sasa?
 
Makamba,Nchemba,Nnauye,Kanali Kinana na wengine wa kaliba hiyo,wasingekubali aisee,yaani asali ndo inazidi kukolea kwao,watoke,aisee,hawatakubali.
 
Huelewi maana ya kuwa huru? Hebu jaribu kuwaza Nje ya maana ya kukosekana kukoromewa. Kuwa huru kunaenda mbali sana mpaka kumaanisha kuwa na uwezo wa kufikiri Nje ya uwanda wa kawaida. Kama mpaka usawa huu hujaelewa kuwa tuna Ombwe la Uongozi, huo Uhuru unaouimba uko wapi?
Uhuru ni pamoja na haya mnayoandika sasa hv bila kuhofia wasiojulikana.
Ben Sanane aliandika makala moja tu mpk leo amebaki history.

Ndo mana twajiona tuko huru sasa hv ht kumtusi mama
 
Wakati unaambiwa pambana na hali yako wese lilitoka Tzs 2,3OO hadi kufikia Tzs 1,5OO kuendana na dondoko la bei duniani. Bei za nafaka zikiwa affordable ilifikia stage mchele unachagua kati ya 1,3OO-1,5OO Super.

Tuje kwa mkojani sasa, wese Tzs. 2,3OO hadi Tzs. 3,41O. Hata bei ikishuka huenda ikaondolewa hio senti 1O tu ikabakia 3,4OO. Nafaka hazishikiki sababu mbole kuna ongezeko la 9O% toka bei ya awali. Hivi mtu wa aina hii utasema watu wana chuki nae au ana underperform?
Mtu wa namna hii tunaambiwa anahujumiwa? Mtu wa namna hii anajigamba eti huwa analala usiku wa Manane akijibu meseji. Unajiuliza meseji za aina gani anajibu ikiwa mambo yako ulivyoyaeleza hapo Juu?
 
Wakati unaambiwa pambana na hali yako wese lilitoka Tzs 2,3OO hadi kufikia Tzs 1,5OO kuendana na dondoko la bei duniani. Bei za nafaka zikiwa affordable ilifikia stage mchele unachagua kati ya 1,3OO-1,5OO Super.

Tuje kwa mkojani sasa, wese Tzs. 2,3OO hadi Tzs. 3,41O. Hata bei ikishuka huenda ikaondolewa hio senti 1O tu ikabakia 3,4OO. Nafaka hazishikiki sababu mbole kuna ongezeko la 9O% toka bei ya awali. Hivi mtu wa aina hii utasema watu wana chuki nae au ana underperform?
Mafuta 1500 yaliuzwa mwaka gani hapa Tanzania? Unataka kutudanganya tukiwa macho? Je, mafuta yaliwahi kushuka hapa Tanzania enzi ya Magufuli baada ya soko la dunia kupanda? Labda nikukumbushe bei za mafuta ya petrol kwa DSM

1. Mwaka 2015 sh 2115
2. Mwaka 2016 sh 2063
3. Mwaka 2017 sh 2014
4. Mwaka 2018 sh. 2409
5. Mwaka 2019 sh. 2319


Bei za mafuta zimepanda duniani kote; tunaweza tu kulaumu kama bei zikipanda Tanzania pekee
 
Sio kulamba asali, hakuna serikali itakayokuletea Hela hata aje nani, sisi tunapambana kitaa tunachohitaji ni amani, usalama na uhuru wa kufanya mambo yetu

Ukikaaq kuilaumu serikali Kila siku wakati huna uwezo wa kubadilisha mambo ni kukaribisha umaskini wewe na kizazi chako

Otherwise pambana na wewe uwe Rais Ili urekebishe pale palipopwaya
Tozo tozo tozo Tozonia, kila na hotafuta Tozo, Tozo tozo
Mafuta juuuuu
Mishahara Ugaigai,, danganya toto,
Miamala simu Tozo,,
Miamala benki Tozo,,
Umeme Tozooo,,
Ukame mwaka huuu wangeliangalia hilo,,
 
Kwa hari ilivyo huku mtaani.

Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.

Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.

CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.

Ni hayo tu.


Labda uwabadilishe Watanganyika na Wanzanzibari ndo apigiwe kura ya kuondolewa.

Kwa Watanganyika ninaowajua, mazezeta hawa? Hangaya tunaye mpaka 2030. Zoea mapema upunguze maradhi ya moyo.
 
Hili linaitwa dua la kuku, hivi tunavyoandika huko Songwe imetua ndege kubwa kama zile zinazotua KIA kila siku.

Nchi imefungua na itazidi kufunguka, haya malalamiko mnayoyaandika ni kama vile upeo ni zero kabisa.

Utalii huko kaskazini magari yote ya kupeleka wazungu maporini kwa sasa yapo kazini.
Unaweza ukaona vile,ila pesa 85% inaishia kwenye mifuko ya watu ,Kama nchi inafunguka why matozo yote mpaka kwenye mafuta?
Watanzania sio wajinga,
 
Back
Top Bottom