Tukaupoteza 2015 mpk 2021Tunataka maendeleo, uhuru tushapata tangu 1961.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukaupoteza 2015 mpk 2021Tunataka maendeleo, uhuru tushapata tangu 1961.
Sawa si mmezoea, twende tu utayakumbuka maneno haya, jana sio leo na KILA nyakati na nyakati zake,Kelele zenu huwa ni humu humu.
Ingekuwa CUF ile ya 2000 ningeamini
[emoji1787]Pamoja na mambo mengi ya kijamii ambayo hayajakaa sawa nitampigia kura huyu mama nadhani Kuna watu wanamhujumu.
Lakini ni Bora huyu kuliko kupata watu aina ya jiwe tuanze kuuwana na kuishi Kwa hofu
Pesa zmerud kwa wenyewe,,Ule msemo ni kwa sababu ya kuwabana walio kuwa wanafuja mali za umma. Lakini watu walikuwa wabunifu kuanzisha biashara na wengi walibuni mbinu mbali mbali na uhuru wa kufanya hivyo ulikuwa mwingi. Kwa sasa bila pesa ndefu huwezi anzisha biashara. Maana lazima uwe na pesa ya pango. Pesa ziko na wachache.
💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯Kwa hari ilivyo huku mtaani.
Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.
Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.
CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.
Ni hayo tu.
Hili linaitwa dua la kuku, hivi tunavyoandika huko Songwe imetua ndege kubwa kama zile zinazotua KIA kila siku.Kwa hari ilivyo huku mtaani.
Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.
Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.
CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.
Ni hayo tu.
Royal Tour inaanza kujibu huko Arusha na Moshi, watu wapo kazini na watalii muda huu wewe unapiga makelele ya maumivu hapa JF.Wanamhujumu? Wanamhujumu yeye akiwa wapi? Anahujumiwa yeye AKILI za kujua anahujumiwa akiwa amezikodishia wapi? Anahujumiwa vipi ilhali ana Vyombo lukuki vya Dola vya kumkusanyia faarifa? Amewezaje kujua Magawio ya Mashirika ya Umma enzi za Magufuli yalikuwa yanakopwa Bank na ashindwe kujua kuwa anahujumiwa?
Tatizo letu Ni Unafiki. Alipoboronga Marehemu Magufuli hakuwa anahujumiwa ila huyu kila Failure anahujumiwa! Hivi Kwa nini hatutaki kuelewa kuwa Nchi hii kimahitaji na Changamoto zake haviwiani na uwezo wa Mama? Mungu sio mjinga kutuumba Kwa uwezo tofauti. Hata Malaika wanazidiana Uwezo. Mama HANA UWEZO WA KIAKILI wa kutosha kabisa kuongoza Nchi kama hii. Kama CCM wakiwa wakweli tu Kwa nafsi Zao na Kwa kuzingatia Mahitaji ya Watanzania basi hawatampa mama tena Nafasi. Mimi nkionana naye huo ukweli nitampa.
Hela zinaenda wapi sasa?Hili linaitwa dua la kuku, hivi tunavyoandika huko Songwe imetua ndege kubwa kama zile zinazotua KIA kila siku.
Nchi imefungua na itazidi kufunguka, haya malalamiko mnayoyaandika ni kama vile upeo ni zero kabisa.
Utalii huko kaskazini magari yote ya kupeleka wazungu maporini kwa sasa yapo kazini.
Ulitaka zikufuate hapo nyumbani kwako?. Toka nje ufanye kazi mkuu.Hela zinaenda wapi sasa?
Uhuru ni pamoja na haya mnayoandika sasa hv bila kuhofia wasiojulikana.Huelewi maana ya kuwa huru? Hebu jaribu kuwaza Nje ya maana ya kukosekana kukoromewa. Kuwa huru kunaenda mbali sana mpaka kumaanisha kuwa na uwezo wa kufikiri Nje ya uwanda wa kawaida. Kama mpaka usawa huu hujaelewa kuwa tuna Ombwe la Uongozi, huo Uhuru unaouimba uko wapi?
Mtu wa namna hii tunaambiwa anahujumiwa? Mtu wa namna hii anajigamba eti huwa analala usiku wa Manane akijibu meseji. Unajiuliza meseji za aina gani anajibu ikiwa mambo yako ulivyoyaeleza hapo Juu?Wakati unaambiwa pambana na hali yako wese lilitoka Tzs 2,3OO hadi kufikia Tzs 1,5OO kuendana na dondoko la bei duniani. Bei za nafaka zikiwa affordable ilifikia stage mchele unachagua kati ya 1,3OO-1,5OO Super.
Tuje kwa mkojani sasa, wese Tzs. 2,3OO hadi Tzs. 3,41O. Hata bei ikishuka huenda ikaondolewa hio senti 1O tu ikabakia 3,4OO. Nafaka hazishikiki sababu mbole kuna ongezeko la 9O% toka bei ya awali. Hivi mtu wa aina hii utasema watu wana chuki nae au ana underperform?
Mafuta 1500 yaliuzwa mwaka gani hapa Tanzania? Unataka kutudanganya tukiwa macho? Je, mafuta yaliwahi kushuka hapa Tanzania enzi ya Magufuli baada ya soko la dunia kupanda? Labda nikukumbushe bei za mafuta ya petrol kwa DSMWakati unaambiwa pambana na hali yako wese lilitoka Tzs 2,3OO hadi kufikia Tzs 1,5OO kuendana na dondoko la bei duniani. Bei za nafaka zikiwa affordable ilifikia stage mchele unachagua kati ya 1,3OO-1,5OO Super.
Tuje kwa mkojani sasa, wese Tzs. 2,3OO hadi Tzs. 3,41O. Hata bei ikishuka huenda ikaondolewa hio senti 1O tu ikabakia 3,4OO. Nafaka hazishikiki sababu mbole kuna ongezeko la 9O% toka bei ya awali. Hivi mtu wa aina hii utasema watu wana chuki nae au ana underperform?
Sio Mahera aondoke, rais asiwe na madaraka ya kumteua Mahera! Katiba mpya! Ccm ni manyang'au kabisa!Kumbuka Mahera bado kashikilia tume na inaelekea bado wanamtaka aendelee na cheo chake ..... Imani itaanza kunirudi kidogo siku Mahera akiondoka kwenye hiyo position.
Tozo tozo tozo Tozonia, kila na hotafuta Tozo, Tozo tozoSio kulamba asali, hakuna serikali itakayokuletea Hela hata aje nani, sisi tunapambana kitaa tunachohitaji ni amani, usalama na uhuru wa kufanya mambo yetu
Ukikaaq kuilaumu serikali Kila siku wakati huna uwezo wa kubadilisha mambo ni kukaribisha umaskini wewe na kizazi chako
Otherwise pambana na wewe uwe Rais Ili urekebishe pale palipopwaya
Kwa hari ilivyo huku mtaani.
Sioni namna anatoboa. Cha kushangaza hadi walioimba anaupiga mwingi, walioimba anaupiga hadi unamwagikia kwa sasa wako zii. Kitu kina mcost ni lack of consistence, kukosa msimamo.
Wengine wanaenda mbali hadi wanaingiza mambo ya jinsia kwenye uongozi. Alicho baki nacho ni ulinzi tu alio nao.
CCM anzeni maandalizi ya mtu mwingine.
Ni hayo tu.
Unaweza ukaona vile,ila pesa 85% inaishia kwenye mifuko ya watu ,Kama nchi inafunguka why matozo yote mpaka kwenye mafuta?Hili linaitwa dua la kuku, hivi tunavyoandika huko Songwe imetua ndege kubwa kama zile zinazotua KIA kila siku.
Nchi imefungua na itazidi kufunguka, haya malalamiko mnayoyaandika ni kama vile upeo ni zero kabisa.
Utalii huko kaskazini magari yote ya kupeleka wazungu maporini kwa sasa yapo kazini.
Ukute hujawahi ht kuandamana tu.Sawa si mmezoea, twende tu utayakumbuka maneno haya, jana sio leo na KILA nyakati na nyakati zake,